Mahakama Moshi yaruhusu kilimo kuendelea kwenye shamba la Mbowe

Uthibitisho kuwa anachafua mazingira ni upi?

Sent from my TECNO-L5 using JamiiForums mobile app
Wivu na Roho mbaya ya Kikolomije, Roho za Visasi kwa kuwa ni Mpinzani. Upande wa pili yupo Mzungu wa Maua anapeta.
 
Wewe unashangiria Mbowe Kuharibu Chanzo cha maji!
Kweli Kibendera ni kibendera tu





"UKISHINDWA KUPAMBANA NAO UNGANA NAO"
Wewe unakijua chanzo cha mto Weruweru? Kama hikijui kafanye utafiti kwanza.

Sent from my TECNO-W3LTE using JamiiForums mobile app
 
Sophist Hapa ndipo hoja yangu ilipo.
Mkuu kuna watu wanaamini hisia zao kuliko uhalisia. Na kwa kuwa wanakuwa wameruhusu akili iendeshwe na hisia hawawezi kukuelewa. Nimeona jinsi ambavyo umekuwa fair ktka maelezo yako kwenye post zako. Hujawa upande mmoja, umejaribu kuonesha kasoro za pande zote. Anayesoma ili aelewe ataelewa, lakini anayesoma ili akujibu.....!!
 
mkuu umeandika kwa busara sana, ila kuna baadhi ya kesi huwa zinaonekana dhahiri kuwa kuna maelekezo kutoka juu ndio maana huwa tunasema hivyo, mfano kipindi Lema yuko mahabusu alikuwa ananyimwa dhamana na hakimu hatoi sababu ya kumnyima dhamana, au kesi ile Mbunge wa Kilombero.
NB: UMEANDIKA KWA BUSARA SANA NA SIAMINI KAMA WEWE NI CCM
 
Wewe unashangiria Mbowe Kuharibu Chanzo cha maji!
Kweli Kibendera ni kibendera tu





"UKISHINDWA KUPAMBANA NAO UNGANA NAO"
Acha kutumika
Unahakika ni chanzo cha maji?,hilo eneo alipewa na nni

Sent from my TECNO L8 Lite using JamiiForums mobile app
 
Hapa patamu sana. Lazima huyo mknd akamuliwe hizo pesa zipitie kwenye qumer yake. Aliharipu mazao ya KUB kisiasa, sasa atayalipa kiuchumi.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Lowasa pia chadema waliimba miaka 20 kuwa fisadi ghafla wakasema lowasa mtakatifu na jina lake wakaliondoa list Of shame huyo jaji hukumu yake aliyotoa jaji mkuu atoe ufafanuzi Kama imezingatia sheria zote ikiwemo ya mazingira
Hii inahusianaje na vandalism ya miundombinu na kesi mahakamani?

Sent from my SM-J710F using JamiiForums mobile app
 
Wewe unashangiria Mbowe Kuharibu Chanzo cha maji!
Kweli Kibendera ni kibendera tu





"UKISHINDWA KUPAMBANA NAO UNGANA NAO"
Umeliona hilo shamba liko kwenye chanzo cha maji?

Sent from my ALE-UL00 using JamiiForums mobile app
 
Angalia kesho utajua kuwa serekile yako ilivyo na uchama

Sent from my ALE-UL00 using JamiiForums mobile app
 
Yule DC Alitarajia Magufuli atapjgia simu jaji, mahaji wameshamshtukia Magu.Ndio naana hawapokei simu zake siku hjzi.

Sent from my SM-J111F using JamiiForums mobile app
 
Mabashite ya ccm tabu kweli huyo raisi atakuja kaa pembenI si Mungu wala si raisi wa maisha
 
Bora kuna judge huyu anajitambua. Hasara za kukurupuka. Tunaendelea next..... tutafanikiwa tu!
 
Ajabu ni kwamba Mkuu wa Mkoa mpya wa Kimanjaro,Anna Mghwira, alipongeza uamuzi wa kuharibiwa shamba hilo.
 
Mimi nimwana CCM, kitendo cha Mkuu wa Wilaya ni cha mtu asiyeenda shule.
Kisiasa na kibinadamu hakina mantiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…