Mahakama kuu imefikia uamuzi huo baada ya kikao chake kilichofanyika huko Kilwa Kusini; hivyo kufanya Mbunge kupitia tiketi ya CUF kuendelea na wadhifa wake huo; huku aliyekuwa mgombea wa CCM aliyetoa pingamizi hilo akitoka kichwa chini.
Source: tbc1 taarifa ya habari saa 2 usiku leo;
Source: tbc1 taarifa ya habari saa 2 usiku leo;