PostGE2025 Mahakama Kuu Pemba kusikiliza kesi ya uchaguzi ya wagombea 8 wa ACT Wazalendo leo Desemba 16

PostGE2025 Mahakama Kuu Pemba kusikiliza kesi ya uchaguzi ya wagombea 8 wa ACT Wazalendo leo Desemba 16

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

PAYE

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2025
Posts
354
Reaction score
395
Mahakama Kuu ya Zanzibar Kanda ya Pemba leo Desemba 16,2025 inatarajiwa kusikiliza kesi ya walalamikaji wa Uchaguzi, wakiwemo waliokuwa wagombea wanane wa Chama cha ACT Wazalendo, dhidi ya wasimamizi wa uchaguzi na Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.

Walalamikaji wanadai ukiukwaji wa sheria za uchaguzi na matumizi mabaya ya nguvu za dola katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, ikiwemo visanduku vya kura vilivyochukuliwa bila kuhesabiwa na ulinzi mkali wa mawakala wa ACT Wazalendo wakati wa kuhesabu kura. Kesi iliyoanza kusikilizwa leo saa tatu asubuhi.
 
Back
Top Bottom