Nimeona magugu maji yameziba njia ya busisi je ni hali ya hewa au kuna kitu kinasababisha iwe hivyo.
Pili hamna wafugaji hapo maana wangeyavuna hayo magugu maji kwa chakula cha mifugo, nasikia huko Kenya Mombasa wanayatumia kutengeneza karatasi na fuel.
Je hapa nchini? Naiona hii kama fursa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pili hamna wafugaji hapo maana wangeyavuna hayo magugu maji kwa chakula cha mifugo, nasikia huko Kenya Mombasa wanayatumia kutengeneza karatasi na fuel.
Je hapa nchini? Naiona hii kama fursa.
Sent using Jamii Forums mobile app