Magufuri sio rais ni mgombea urais

Magufuri sio rais ni mgombea urais

Eduin

Senior Member
Joined
May 15, 2014
Posts
189
Reaction score
136
habari za asbui majiran zangu, naomba tusaidiane katika hili kua Mr J.P Magufuri sio raisi wa nchi hii, nimesema haya baada ya kushuhudia sherehe za gharama na zisizo za gharama, mayowe, nderemo, vifijo, na selebrates mbalimbali za kumtukuza huyu bwana hasa uku kwetu Geita Chato Bukoba sijui Mwanza na Shinyanga.
"nimefurahi sana tena sanaaana kanda ya ziwa tumetoa raisi kwa awamu ya pili sasa" sauti hii ilinukuliwa live na mwanazuo mmoja SAUT Bukoba, na huko Geita mkulima alisikika "nawise wasukuma twafunyaga ntemi wa tanzania" kama utaweza kutafasiri tusaidie. kwa kule chato biharamulo ngala nyanghware sengerema ndio bhaaaaaaaaasi kabisa.
ni hayo tu majirani tusaidizane kwa walio kanda ya ziwa wengi wao wiki hii wanajua wanaenda kumlaki raisi JPMagufuri, raisi mpya. katika mbio za ssm kumtambulisha mgombea uraisi huyo katika kanda hio-kanda yake.

Mr John Pombe Magufuri.
 
CCM wengi wao hawalijui hilo, ila wataujua ukweli baada ya October 2015 ingawa hawataamini.
 
magufuli si presidential material yy anafaa kuwa mtendaji c mtendewaji watanzania leo tunafurah bt atujui tofauti ya mtendaji akawa mtendewaji coz tabia za mtendaji akiwa mtendewaji ataona wanao mtendea awajuhi hapo ndo ataona kama wanakosea kosea ndo kwa mara ya kwanza Tanzania rais kufanya kazi ambayo anatakiwa kufanya mwenyekiti wa serikali ya mtaa
 
ndugu wana JF, kwa kuweza kupata mafanikio makubwa ya kumuondoa huyu nyoka wa kijan, mwenye sumu iliyojificha nikuhakikisha kila m2 amejiandikisha nakupata kitambulisho. Hcho ndicho pekee kitakachofanikisha mabadiliko
 
ndugu wana JF, kwa kuweza kupata mafanikio makubwa ya kumuondoa huyu nyoka wa kijan, mwenye sumu iliyojificha nikuhakikisha kila m2 amejiandikisha nakupata kitambulisho. Hcho ndicho pekee kitakachofanikisha mabadiliko

well, registations its all about.
and to vote for.
 
habari za asbui majiran zangu, naomba tusaidiane katika hili kua Mr J.P Magufuri sio raisi wa nchi hii, nimesema haya baada ya kushuhudia sherehe za gharama na zisizo za gharama, mayowe, nderemo, vifijo, na selebrates mbalimbali za kumtukuza huyu bwana hasa uku kwetu Geita Chato Bukoba sijui Mwanza na Shinyanga.
"nimefurahi sana tena sanaaana kanda ya ziwa tumetoa raisi kwa awamu ya pili sasa" sauti hii ilinukuliwa live na mwanazuo mmoja SAUT Bukoba, na huko Geita mkulima alisikika "nawise wasukuma twafunyaga ntemi wa tanzania" kama utaweza kutafasiri tusaidie. kwa kule chato biharamulo ngala nyanghware sengerema ndio bhaaaaaaaaasi kabisa.
ni hayo tu majirani tusaidizane kwa walio kanda ya ziwa wengi wao wiki hii wanajua wanaenda kumlaki raisi JPMagufuri, raisi mpya. katika mbio za ssm kumtambulisha mgombea uraisi huyo katika kanda hio-kanda yake.

Mr John Pombe Magufuri.
Magufuli sio mgombea urais mpaka sasa mpaka apitishwe na Tume ya Uchaguzi kuwa mgombea Urais kupitia CCM. Nafasi aliyonayo mpaka sasa ni kuwa amepitishwa au kupendkekezwa na CCM kugombea urais kupitia chama hicho. baada ya hapo inabidi akachukue fomu ya kuomba kugombea urais kutoka NEC akipitishwa ndipo anaweza kujiita mgombea urais. Tume ya uchaguzi ndiyo inayotangaza majina ya wagombea urais baada ya kupitia vigezo muhimu na kama kutakuwa hakuna pingamizi au kama pingamizi lipo na kama limeshindwa. Kumbuka kunaweza kuwekwa pingamizi na kama likionekana ni la msingi anatupwa na NEC. Mapingamizi ya msingi ni kama vile uraia, udanganyifu katika sifa nk. Kingine nikukumbushe ni kuwa hiyo kanda ya ziwa unayosema ambako utaipata mikoa ya Kagera, Mwanza na mkoa wa Mara ambao imepakana na Arusha ni kanda ya kaskazini tu mwa nchi kama ilivyo Arusha, Kilimanjaro na Tanga isipokuwa zinaweza kugawanywa kwa upande mmoja kuwa kaskazini mashariki na kwingine magharibi. Lisingekuwepo Ziwa kungeitwaje wakati tunasema upande wa kaskazini tunapakana na Uganda na kenya ambako ndiko iliko hiyo mikoa niliyotaja? Magufuli anatoka kaskazini mwa nchi kama ilivyo kwa Lowassa, Nyerere, Slaa, Mbowe, Migiro, Wassira, Sumaye, Muhongo, Mbatia, Mrema, Kinana na Makongoro
 
Magufuli sio mgombea urais mpaka sasa mpaka apitishwe na Tume ya Uchaguzi kuwa mgombea Urais kupitia CCM. Nafasi aliyonayo mpaka sasa ni kuwa amepitishwa au kupendkekezwa na CCM kugombea urais kupitia chama hicho. baada ya hapo inabidi akachukue fomu ya kuomba kugombea urais kutoka NEC akipitishwa ndipo anaweza kujiita mgombea urais. Tume ya uchaguzi ndiyo inayotangaza majina ya wagombea urais baada ya kupitia vigezo muhimu na kama kutakuwa hakuna pingamizi au kama pingamizi lipo na kama limeshindwa. Kumbuka kunaweza kuwekwa pingamizi na kama likionekana ni la msingi anatupwa na NEC. Mapingamizi ya msingi ni kama vile uraia, udanganyifu katika sifa nk. Kingine nikukumbushe ni kuwa hiyo kanda ya ziwa unayosema ambako utaipata mikoa ya Kagera, Mwanza na mkoa wa Mara ambao imepakana na Arusha ni kanda ya kaskazini tu mwa nchi kama ilivyo Arusha, Kilimanjaro na Tanga isipokuwa zinaweza kugawanywa kwa upande mmoja kuwa kaskazini mashariki na kwingine magharibi. Lisingekuwepo Ziwa kungeitwaje wakati tunasema upande wa kaskazini tunapakana na Uganda na kenya ambako ndiko iliko hiyo mikoa niliyotaja? Magufuli anatoka kaskazini mwa nchi kama ilivyo kwa Lowassa, Nyerere, Slaa, Mbowe, Migiro, Wassira, Sumaye, Muhongo, Mbatia, Mrema, Kinana na Makongoro

asante mkuu, nimekubari hoja hii na ninaiunga mkono.
 
Back
Top Bottom