Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,507
Alisema mwenyewe walitaka kumbaka lakini kwenye mashitaka hakulitaja hilo sijui kama aliona aibu, lakini hata hivyo kwani yeye angekuwa mwananke wa kwanza kubakwa.Najua unataka habari yako isisimue lakini kuwa na adabu hata kwako mwenyewe. Lini huyu mama kasema maneno hayo au ndiyo "fabrications" zinaletwa humu ili kukoleza ushabiki wa kivyama? Wanawake wana hadhi kubwa sana sasa hivi katika jamii ya watanzania ni lazima kama sisi tunataka kujenga jamii iliyo sawa na huru ni lazima tuwaheshimu wanawake hata kama wamekosea.