Magufuri apokelewa na mashehe Chalinze

Magufuri apokelewa na mashehe Chalinze

Galang

Member
Joined
Nov 5, 2010
Posts
40
Reaction score
20
Mgombea Urais wa CCM ndugu JP Magufuri amepokelewa na kupewa baraka zote na wazee wa Chalinze. Aidha wameonyesha kuwa na imam kubwa ya kuweza kuwavusha na kuwapeleka kwenye uchumi wa kati.
 

Attachments

  • 1438198924148.jpg
    1438198924148.jpg
    56.6 KB · Views: 744
  • 1438199025045.jpg
    1438199025045.jpg
    64.7 KB · Views: 647
  • 1438199048520.jpg
    1438199048520.jpg
    46.4 KB · Views: 641
mgombea urais wa ccm ndugu jp magufuri amepokelewa na kupewa baraka zote na wazee wa chalinze. Aidha wameonyesha kuwa na imam kubwa ya kuweza kuwavusha na kuwapeleka kwenye uchumi wa kati.

halafu nimekumbuka.hawa si waliendaga na dodoma kumshawishi lowasa agombee urais? Inamaana hawajasikia kuwa atagombea sasa?
 
Magyfuri nimjuaye mimi ni huyu " VTS_01_2.VOB - https://drive.google.com/file/d/0B8mxhcpfEdUQZGpObmpjUHp4Y28/view?usp=docslist_api"
 
Mgombea Urais wa CCM ndugu JP Magufuri amepokelewa na kupewa baraka zote na wazee wa Chalinze. Aidha wameonyesha kuwa na imam kubwa ya kuweza kuwavusha na kuwapeleka kwenye uchumi wa kati.
Mashehe UBWABWA!!! Teh!! Teh!!
 
Mgombea Urais wa CCM ndugu JP Magufuri amepokelewa na kupewa baraka zote na wazee wa Chalinze. Aidha wameonyesha kuwa na imam kubwa ya kuweza kuwavusha na kuwapeleka kwenye uchumi wa kati.

Atawapeleka wapi?kupitia wapi?
 
ccm mabingwa wa kukata noa kisu chenu kilele katilia mbali shetani mwenye tamaa ya kuingia nyumba ya mungu kwa mlango wa nyuma,
 
Back
Top Bottom