Chumchang Changchum
JF-Expert Member
- Nov 1, 2013
- 6,134
- 6,419
Bakwata na ccm uji na mgonjwa
Kwani masheikh wote ni BAKWATA?
Katu abadani mashekh wote si Bakwata asilani na wengine awanunuliki kwa kumuogopa Subhana watalaah...
Bakwata na ccm uji na mgonjwa
Kwani masheikh wote ni BAKWATA?
mimi mgeni nchi hii hebu tuambiane huyo magufuli ndo nani.?
Mgombea Urais wa CCM ndugu JP Magufuri amepokelewa na kupewa baraka zote na wazee wa Chalinze. Aidha wameonyesha kuwa na imam kubwa ya kuweza kuwavusha na kuwapeleka kwenye uchumi wa kati.