Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,646
Kuniita kichwa nundu haikufanyi uwe umenishinda kwa hoja ila umejithibitishia mwenyewe kuwa una akili fupi!Halafu unajua kusoma?Wapi nimesema kuwa ukiwa na urafiki na tajiri kuwa utakuwa tajiri?Umuhimu wa masikini kuwa na urafiki na fukara kama Magufuli anavyofanya ni upi?
Msuveni ndiyo mshirika wake mkuuMeko sasa hivi amekuwa kama zezeta,hakuna kinachoenda na kila anachojaribu kufanya ni kituko.Imagine sasa hivi mdau mkubwa wa maendeleo wa Tanzania na rafiki mkubwa ni Zimbabwe.Yaani nchi masikini mdau wake mkubwa wa maendeleo na rafiki yake mkubwa wala siyo nchi tajiri au hata nchi masikini kama yeye bali ni nchi fukara!Nchi tajiri wanakejeliwa kuwa ni mabeberuView attachment 1630891
Masikini atakusaidia nini?kumuita magu jina lolote hakumfanyi yeye kuwa sio rais wako na ukoo wenu.hukumbuki ni wapi umeandika sababu unatililika tu huelewi unachokiandika sawa sawa.
labda kama wewe kiazi baada ya kifanikiwa kubadirisha mchicha na chinese,utaanza kuwatenga wenzako mtaani kisa wanakula maharage kila siku,lakini magufuli haoni kwamba kuna nchi isiyo na umuhimu kwa tz,ndio maana anafungamana na yeyote muhimu tu awe anajitambua.
narudia tena kuuliza sasa,wewe masikini ukikaa na tajiri unakuwa tajiri!!
Masikini atakusaidia nini?
Uliza ccm ndiyo wanaoongoza nchi miaka 50 na bado maskini..wewe kichwa nundu unadhani kuwa na urafiki na tajiri nawewe unakuwa tajiri???
labda ungejiuliza kipindi chote urafiki na hao matajiri umeifikisha wapi tanzania ya leo ambayo bado inategemea misaada??
Aliomba lini mkuu au unaandika tu kwasababu ya kanuni ya huko utopoloni Bavicha.Sasa mtu ambae anaomba fedha za kupambana na Corona kutoka EU tena mabilioni ya hela wakati ameshaitangazia dunia kuwa Tanzania hakuna Corona wala hana mpango wa kutake any measures, na watu hakuna haja ya kuvaa barakoa wala kufanya vipimo wala kukwepa mikusanyiko wala kuchukua hatua yoyote ile unataka nimwite jina gani linalomfaa zaidi ya hilo?
Mzee yupi na nimemfanyia nini kibaya?Hivi umetumwaaaa Au ni nini ? ?
Naanza kupata wasi wasi mkubwa kwako
Umewazidi hata wapinzani wakongwe humu, unakuwa kama unashikiwa remote nyuma, kwani huyo Mzee kakufanya nini hasaa ? ?
Hujajibu maswali yangu na kitendo chako cha kudai kuwa magufuli haoni kwamba kuna nchi isiyo na umuhimu kwa tz ni sentensi isiyokuwa na maana kwa sababu kwa Magufuli kuna nchi ambazo kwake huwa anaona kuwa hazina umuhimu kwa tz na nchi hizo huwa anazikejeli kuwa ni mabeberu.Si sahihi kwamba Magufuli kuna nchi ambazo huwa anaona kuwa hazina umuhimu kwa tz na huwa anaziita ni mabeberu?
Kuniita kichwa nundu haikufanyi uwe umenishinda kwa hoja ila umejithibitishia mwenyewe kuwa una akili fupi!Halafu unajua kusoma?Wapi nimesema kuwa ukiwa na urafiki na tajiri kuwa utakuwa tajiri?Umuhimu wa masikini kuwa na urafiki na fukara kama Magufuli anavyofanya ni upi?
Uliza ccm ndiyo wanaoongoza nchi miaka 50 na bado maskini..
Achana nae hajui ukiwa rafiki na tajiri,anaweza kukuambia how he get there...
Kwani hao weupe yeyote unaodai ni wanyonyaji hawana nchi?hakuna nchi specific inayoitwa beberu na jpm,labda kama unaijua hapa uitaje.
beberu ni mweupe yeyote mnyonyaji.
tunakubaliana katika win win situation,nipe nikupe.unapoanza kuingilia maswala ya ndani kwa kigezo cha kunipa msaada unageuka mbuzi beberu.maana unakuwa umejipa ubwana mkubwa.
Kwani hao weupe yeyote hawana nchi?
Alifanyia ufisadi lini. Hebu thibitisha hilo wewe utopolo wa UFIPANI😁Awe aliomba au hajaomba haitaondoa fact kwamba Magufuli amefanya ufisadi wa kutisha katika hela za COVID-19.Kwani awe aliomba au hajaomba inaondoa ukweli kwamba Magufuli amezifanyia ufisadi hela za COVID-19?
Hivi hapa mtu akikuambiwa huna akili anakua anakuoena, kwani tunamzungumzia nani hapa ?Mzee yupi na nimemfanyia nini kibaya?
Ni nchi ipi hiyo ambayo watu weupe wana msimamo wa kunyonya watu(kama mnavyowaita ni mabeberu) lakini nchi kama nchi haina shida kabisa na wala haina msimamo huo wa kunyonya watu na Magufuli anashirikiana na nchi hiyo vizuri kabisa lakini hao watu weupe katika nchi hiyo(mabeberu) hataki kushirikiana nao kwa sababu ni mabeberu na wanyonyaji?wanazo nchi,lakini sababu sio msimamo wa nchi husika ndio maana nimekwambia hivyo.