Magufuli yupo Arusha kikazi

Magufuli yupo Arusha kikazi

Gininiga

Member
Joined
Mar 6, 2015
Posts
28
Reaction score
16
Leo Dr.Magufuli kapokelewa Arusha ambapo atakagua Ujenzi wa barabara na kumkaribisha Makamu wa Rais kwenye Ujenzi wa barabara ya Kia kwenda Mererani.
 
Niko mkoani Arusha hapa! Jembe Dr. Magufuli yupo hapa kikazi wizara ya ujenzi. Lakini wanainchi wa arusha wanahamu ya kumsalimia na kila anapopita watu wanashangilia rais rais.

Ki ukweli jamaa bonge la jembe anakubalika kila kona. Check picha kidogo hapa chini. Nitawaletea kila nitakacho nasa hapa mambo "alisema"
 

Attachments

  • 1438237961803.jpg
    1438237961803.jpg
    126.6 KB · Views: 7,142
  • 1438238009090.jpg
    1438238009090.jpg
    55.2 KB · Views: 6,335
Niko mkoani Arusha hapa! Jembe Dr. Magufuli yupo hapa kikazi wizara ya ujenzi. Lakini wanainchi wa arusha wanahamu ya kumsalimia na kila anapopita watu wanashangilia rais rais. Ki ukweli jamaa bonge la jembe anakubalika kila kona. Check picha kidogo hapa chini.. Nitawaletea kila nitakacho nasa hapa mambo "aleselema"

Hao watu wanaomshangilia wao wana umeme? maana umeme kila siku ni mgao usiotangazwa na wananchi hatujui nini kinaendelea. Au hao wanaomshangilia ni wale ambao shughuli zao zimesimama kwa kukosa umeme hivyo hawana la kufanya zaidi ya kumshangila Magufuli?
 
Watu wapo kibao ila kwa kuwa yuko kikazi zaidi acha apige kazi kwanza maana kwake hiyo ndo priority.
 
Sijaona watu, hata ivo arusha tena? Ni pale chadema hata kama ni mbuzi kavalishwa chedema anapewa, sasa makufuli hawezi pata
 
Hao watu wanaomshangilia wao wana umeme? maana umeme kila siku ni mgao usiotangazwa na wananchi hatujui nini kinaendelea. Au hao wanaomshangilia ni wale ambao shughuli zao zimesimama kwa kukosa umeme hivyo hawana la kufanya zaidi ya kumshangila Magufuli?

Yupo kikazi zaidi na kampeni hazijaanza na naona wapambe wanajitahidi kuwazuia.
 
Niko mkoani Arusha hapa! Jembe Dr. Magufuli yupo hapa kikazi wizara ya ujenzi. Lakini wanainchi wa arusha wanahamu ya kumsalimia na kila anapopita watu wanashangilia rais rais. Ki ukweli jamaa bonge la jembe anakubalika kila kona. Check picha kidogo hapa chini.. Nitawaletea kila nitakacho nasa hapa mambo "aleselema"

Hao c wafanyakazi wa halmashauri.?
 
Najua inauma sana pale unapoamini kwamba una ngome alafu watu wanatia team na kiulaini. Tena kw taarifa yako mwenyekiti wa CCM mkoa na Mh. Olesendeka wote watamtembelea muda si mrefu. Na kwa ujumla wembe ni uleule"kata kata" jipangeni sana nchi hapewi genge la wahuni na wala rushwa hawana nafasi Ikulu.
 
Back
Top Bottom