AZUSA STREET
JF-Expert Member
- Oct 31, 2013
- 2,007
- 1,898
Kati ya vitu vinavyoniuma moyo ni serikali yetu kutegemea misaada ya wazungu. hii MCCG ambayo tumenyimwa na wamarekan limeshakuwa gumzo, wazungu wanatumia kama fimbo kutuchapia, kipindi cha kikwete walizuia misaada na kuvuruga kabisa bajeti yetu. wakati wa bajeti waliahidi kutoa misaada, tukaweka ahadi zao kwenye bajeti, wakafika katikati wakasema hatutoi misaada tuliyoahidi. huu ni unyama wa hali ya juu. ndugu yangu magufuli naomba unisikilize:
1. kama tukibana mianya yote ya ubadhilifu, tutaweza kukusanya kodi ya kutosha kuendesha nchi.
2. bandari na TRA kuwekewe task force maalumu kuchunguza uchafu wote, na kuzuia uchafu wote ili tukusanye hela.
3. watu waanze kulipa kodi, machine za EFD zianze kutumika ipasavyo.
4. makontena 5000 tu yakipita na kulipa kodi ni hela nyingi sana, angalia hayo waliyotuibia akina masamaki, hela nyingi kumbe inaweza kupatikana kama tukiwa na ulinzi mzuri kuziba mianya ya ubadhilifu.
5. bandari ya dsm, reli ya tazara na ya kati ziboreshwe.
6. USIJIKOMBE KWA WAZUNGU, usijikombe kabisa kwa wamarekani na waingereza, ninachokushauri, angalia nani yupo pamoja na wewe then ambatana na huyo (kwa caution, usiende miguu yote), kwamfano; wachina na wajapan sasaivi wanaonekana hawajatutupa mkono sana, ambatana na hao, watembelee hata nchini kwao. marekani, uingereza na hao mabepari waliokata misaada, achana nao kabisa, waweke pembeni na uonyesha kuwa umewaweka pembeni. USIJIKOMBE, usiwalambe miguu, ukiwaweka pembeni, haitapita muda watarudi wenyewe wakijibembeleza kwako. angalia mwenzio kagame alipowaweka ufaransa pembeni, walijuta wafaransa hadi rais wao akaja rwanda. usihangaike na nchi ambayo haina faida kwa watanzania.
angalia kwamfano hao wa CANADA, na wamarekani ambao wanachimba migodini kwetu ACACIA na geita etc, wanachuma sana lakini hawatoi misaada mingi kwenye nchi zetu, wewe waweke pembeni na anza kuwashughulikia.
UKITAKA NCHI YETU IHESHIMIKE, wafanya hao wazungu wajue kuwa wakija kwetu hawaji kutusaidia tu, wao pia wanapata faida nyingi toka kwetu, hivyo kama hawatakuwa na adabu watashughulikiwa vilevile.
pia, kama wamagaribi wataleta nyodo, waonyeshe kujiunga na uchina, nenda ziarani uchina, wewe kama rais ziara sio siku zote kitu kibaya, mkwere alikuwa anatoka nje ya nchi mara nyingi lakini sio kwamba kwenda nchi za nje ni kitu kibaya moja kwa moja, unatakiwa kubalance, nenda kwenye zile safari za muhimu tu. nenda china, nenda japan. andaa safari yako ya china na japan, india usienda hawana faida kwetu na hawana historia hiyo.
usifikiri kukaa bila kusafiri unapata masifa kwa watanzania waone kama unatunza pesa, kwenda nje kidogo ni kutafuta madili vilevile. sasa ona, wazungu wamezuia msaada ambao ulikuwa unategemea ungesaidia kwenye umeme, ili kuwakomesha waonyeshe kwamba sio lazima sana tuwe marafiki za wazungu, hata wachina na wajapan tunaweza kushirikiana nao. wasalaam!
1. kama tukibana mianya yote ya ubadhilifu, tutaweza kukusanya kodi ya kutosha kuendesha nchi.
2. bandari na TRA kuwekewe task force maalumu kuchunguza uchafu wote, na kuzuia uchafu wote ili tukusanye hela.
3. watu waanze kulipa kodi, machine za EFD zianze kutumika ipasavyo.
4. makontena 5000 tu yakipita na kulipa kodi ni hela nyingi sana, angalia hayo waliyotuibia akina masamaki, hela nyingi kumbe inaweza kupatikana kama tukiwa na ulinzi mzuri kuziba mianya ya ubadhilifu.
5. bandari ya dsm, reli ya tazara na ya kati ziboreshwe.
6. USIJIKOMBE KWA WAZUNGU, usijikombe kabisa kwa wamarekani na waingereza, ninachokushauri, angalia nani yupo pamoja na wewe then ambatana na huyo (kwa caution, usiende miguu yote), kwamfano; wachina na wajapan sasaivi wanaonekana hawajatutupa mkono sana, ambatana na hao, watembelee hata nchini kwao. marekani, uingereza na hao mabepari waliokata misaada, achana nao kabisa, waweke pembeni na uonyesha kuwa umewaweka pembeni. USIJIKOMBE, usiwalambe miguu, ukiwaweka pembeni, haitapita muda watarudi wenyewe wakijibembeleza kwako. angalia mwenzio kagame alipowaweka ufaransa pembeni, walijuta wafaransa hadi rais wao akaja rwanda. usihangaike na nchi ambayo haina faida kwa watanzania.
angalia kwamfano hao wa CANADA, na wamarekani ambao wanachimba migodini kwetu ACACIA na geita etc, wanachuma sana lakini hawatoi misaada mingi kwenye nchi zetu, wewe waweke pembeni na anza kuwashughulikia.
UKITAKA NCHI YETU IHESHIMIKE, wafanya hao wazungu wajue kuwa wakija kwetu hawaji kutusaidia tu, wao pia wanapata faida nyingi toka kwetu, hivyo kama hawatakuwa na adabu watashughulikiwa vilevile.
pia, kama wamagaribi wataleta nyodo, waonyeshe kujiunga na uchina, nenda ziarani uchina, wewe kama rais ziara sio siku zote kitu kibaya, mkwere alikuwa anatoka nje ya nchi mara nyingi lakini sio kwamba kwenda nchi za nje ni kitu kibaya moja kwa moja, unatakiwa kubalance, nenda kwenye zile safari za muhimu tu. nenda china, nenda japan. andaa safari yako ya china na japan, india usienda hawana faida kwetu na hawana historia hiyo.
usifikiri kukaa bila kusafiri unapata masifa kwa watanzania waone kama unatunza pesa, kwenda nje kidogo ni kutafuta madili vilevile. sasa ona, wazungu wamezuia msaada ambao ulikuwa unategemea ungesaidia kwenye umeme, ili kuwakomesha waonyeshe kwamba sio lazima sana tuwe marafiki za wazungu, hata wachina na wajapan tunaweza kushirikiana nao. wasalaam!