Magufuli, tupambane tuachane na kutegemea misaada!

Magufuli, tupambane tuachane na kutegemea misaada!

AZUSA STREET

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2013
Posts
2,007
Reaction score
1,898
Kati ya vitu vinavyoniuma moyo ni serikali yetu kutegemea misaada ya wazungu. hii MCCG ambayo tumenyimwa na wamarekan limeshakuwa gumzo, wazungu wanatumia kama fimbo kutuchapia, kipindi cha kikwete walizuia misaada na kuvuruga kabisa bajeti yetu. wakati wa bajeti waliahidi kutoa misaada, tukaweka ahadi zao kwenye bajeti, wakafika katikati wakasema hatutoi misaada tuliyoahidi. huu ni unyama wa hali ya juu. ndugu yangu magufuli naomba unisikilize:

1. kama tukibana mianya yote ya ubadhilifu, tutaweza kukusanya kodi ya kutosha kuendesha nchi.

2. bandari na TRA kuwekewe task force maalumu kuchunguza uchafu wote, na kuzuia uchafu wote ili tukusanye hela.

3. watu waanze kulipa kodi, machine za EFD zianze kutumika ipasavyo.

4. makontena 5000 tu yakipita na kulipa kodi ni hela nyingi sana, angalia hayo waliyotuibia akina masamaki, hela nyingi kumbe inaweza kupatikana kama tukiwa na ulinzi mzuri kuziba mianya ya ubadhilifu.

5. bandari ya dsm, reli ya tazara na ya kati ziboreshwe.

6. USIJIKOMBE KWA WAZUNGU, usijikombe kabisa kwa wamarekani na waingereza, ninachokushauri, angalia nani yupo pamoja na wewe then ambatana na huyo (kwa caution, usiende miguu yote), kwamfano; wachina na wajapan sasaivi wanaonekana hawajatutupa mkono sana, ambatana na hao, watembelee hata nchini kwao. marekani, uingereza na hao mabepari waliokata misaada, achana nao kabisa, waweke pembeni na uonyesha kuwa umewaweka pembeni. USIJIKOMBE, usiwalambe miguu, ukiwaweka pembeni, haitapita muda watarudi wenyewe wakijibembeleza kwako. angalia mwenzio kagame alipowaweka ufaransa pembeni, walijuta wafaransa hadi rais wao akaja rwanda. usihangaike na nchi ambayo haina faida kwa watanzania.

angalia kwamfano hao wa CANADA, na wamarekani ambao wanachimba migodini kwetu ACACIA na geita etc, wanachuma sana lakini hawatoi misaada mingi kwenye nchi zetu, wewe waweke pembeni na anza kuwashughulikia.

UKITAKA NCHI YETU IHESHIMIKE, wafanya hao wazungu wajue kuwa wakija kwetu hawaji kutusaidia tu, wao pia wanapata faida nyingi toka kwetu, hivyo kama hawatakuwa na adabu watashughulikiwa vilevile.

pia, kama wamagaribi wataleta nyodo, waonyeshe kujiunga na uchina, nenda ziarani uchina, wewe kama rais ziara sio siku zote kitu kibaya, mkwere alikuwa anatoka nje ya nchi mara nyingi lakini sio kwamba kwenda nchi za nje ni kitu kibaya moja kwa moja, unatakiwa kubalance, nenda kwenye zile safari za muhimu tu. nenda china, nenda japan. andaa safari yako ya china na japan, india usienda hawana faida kwetu na hawana historia hiyo.

usifikiri kukaa bila kusafiri unapata masifa kwa watanzania waone kama unatunza pesa, kwenda nje kidogo ni kutafuta madili vilevile. sasa ona, wazungu wamezuia msaada ambao ulikuwa unategemea ungesaidia kwenye umeme, ili kuwakomesha waonyeshe kwamba sio lazima sana tuwe marafiki za wazungu, hata wachina na wajapan tunaweza kushirikiana nao. wasalaam!
 
Umeugusa moyo wangu. Hata waswahili wanasema "MTEGEMEA CHA NDUGUYE HUFA MASIKINI" "AMELAANIWA AMTEGEMEAYENMWANADAMU NA KUMFANYA KINGA YAKE..."

Queen Esther

Kati ya vitu vinavyoniuma moyo ni serikali yetu kutegemea misaada ya wazungu. hii MCCG ambayo tumenyimwa na wamarekan limeshakuwa gumzo, wazungu wanatumia kama fimbo kutuchapia, kipindi cha kikwete walizuia misaada na kuvuruga kabisa bajeti yetu. wakati wa bajeti waliahidi kutoa misaada, tukaweka ahadi zao kwenye bajeti, wakafika katikati wakasema hatutoi misaada tuliyoahidi. huu ni unyama wa hali ya juu. ndugu yangu magufuli naomba unisikilize:


1. kama tukibana mianya yote ya ubadhilifu, tutaweza kukusanya kodi ya kutosha kuendesha nchi.

2. bandari na TRA kuwekewe task force maalumu kuchunguza uchafu wote, na kuzuia uchafu wote ili tukusanye hela.

3. watu waanze kulipa kodi, machine za EFD zianze kutumika ipasavyo.

4. makontena 5000 tu yakipita na kulipa kodi ni hela nyingi sana, angalia hayo waliyotuibia akina masamaki, hela nyingi kumbe inaweza kupatikana kama tukiwa na ulinzi mzuri kuziba mianya ya ubadhilifu.

5. bandari ya dsm, reli ya tazara na ya kati ziboreshwe.

6. USIJIKOMBE KWA WAZUNGU, usijikombe kabisa kwa wamarekani na waingereza, ninachokushauri, angalia nani yupo pamoja na wewe then ambatana na huyo (kwa caution, usiende miguu yote), kwamfano; wachina na wajapan sasaivi wanaonekana hawajatutupa mkono sana, ambatana na hao, watembelee hata nchini kwao. marekani, uingereza na hao mabepari waliokata misaada, achana nao kabisa, waweke pembeni na uonyesha kuwa umewaweka pembeni. USIJIKOMBE, usiwalambe miguu, ukiwaweka pembeni, haitapita muda watarudi wenyewe wakijibembeleza kwako. angalia mwenzio kagame alipowaweka ufaransa pembeni, walijuta wafaransa hadi rais wao akaja rwanda. usihangaike na nchi ambayo haina faida kwa watanzania.

angalia kwamfano hao wa CANADA, na wamarekani ambao wanachimba migodini kwetu ACACIA na geita etc, wanachuma sana lakini hawatoi misaada mingi kwenye nchi zetu, wewe waweke pembeni na anza kuwashughulikia.

UKITAKA NCHI YETU IHESHIMIKE, wafanya hao wazungu wajue kuwa wakija kwetu hawaji kutusaidia tu, wao pia wanapata faida nyingi toka kwetu, hivyo kama hawatakuwa na adabu watashughulikiwa vilevile.

pia, kama wamagaribi wataleta nyodo, waonyeshe kujiunga na uchina, nenda ziarani uchina, wewe kama rais ziara sio siku zote kitu kibaya, mkwere alikuwa anatoka nje ya nchi mara nyingi lakini sio kwamba kwenda nchi za nje ni kitu kibaya moja kwa moja, unatakiwa kubalance, nenda kwenye zile safari za muhimu tu. nenda china, nenda japan. andaa safari yako ya china na japan, india usienda hawana faida kwetu na hawana historia hiyo.
usifikiri kukaa bila kusafiri unapata masifa kwa watanzania waone kama unatunza pesa, kwenda nje kidogo ni kutafuta madili vilevile. sasa ona, wazungu wamezuia msaada ambao ulikuwa unategemea ungesaidia kwenye umeme, ili kuwakomesha waonyeshe kwamba sio lazima sana tuwe marafiki za wazungu, hata wachina na wajapan tunaweza kushirikiana nao. wasalaam!
 
Nchi ina kila dalili ya kujutegemea iwapo mianya ya ukwepaji kodi ikifungwa, hongera jpm kwa kuonyesha njia muafaka ili nchi ijikombowe kifkira tuondokane na kuombaomba
 
Tatua mgogoro wa Zanzibar kwanza hayo mengine yatakuja yenyewe......

Hatuwezi kuendesha nchi kwa amri za wahisani, kesho kutwa watatwambia tumalize mgogoro wa wakulima na wafugaji ndo tupewe hela za MCC!
 
Hapo ndipo utakapomjua Mzungu ni Nani, Nyerere alikoma kwa hao na akasema kabisa kuwa hata korosho wakiamua wanaweza kutupangia bei ya kuuza.

Tena aendelee kujifanya anakomaa uone katika kipindi kigumu kuwahi kutokea katika historian ya Tz itakuwa ni hiki cha Magufuli.

Nyie wengine mnajua kuandika mithamiati tu humu, Watz kwa uchumi tunawazidi Iran? Hebu jaribu kuiangalia Zimbabwe Leo ikoje? Ushauri mbovu sana huu.

Bandari wanaoleta Leo kesho wakipigwa mkwala washushe Mombasa je utakula nini? Na dhadabu yako ukiambiwa haikidhi kiwango? Acheni kasumba za kibantu.
 
Hao jamaa tuachane nao kabisa. Hizo hela zao ndio makusanyo ya mwezi mmoja kwa sasa.

Waambiwe Matonya keshamaliza muda wake wa uongozi. Hadi sasa angekuwa keshaemda Marekani mara tatu au zaidi.
 
Tatua mgogoro wa Zanzibar kwanza hayo mengine yatakuja yenyewe......
zanzibar haitanawiri kama bara hawajanawiri. anyway, tusiingie sana huko, lakini point uliyoitoa ni sifuri. kama wewe mzenji, rudini kwenu pemba mkatatue matatizo yenu, msitegemee tuwatatulie sisi, wenzenu kwasasahivi tunachoongea ni hapa kazi tu. na mkifanya mchezo, tutawaacha hatua nyingi sana na kisiwa chenu hicho kinachotegemea tu utalii na biashara za dsm kitakuwa makao ya popo ma wavuta unga. badilikeni.
 
Hapo ndipo utakapomjua Mzungu ni Nani, Nyerere alikoma kwa hao na akasema kabisa kuwa hata korosho wakiamua wanaweza kutupangia bei ya kuuza.

Tena aendelee kujifanya anakomaa uone katika kipindi kigumu kuwahi kutokea katika historian ya Tz itakuwa ni hiki cha Magufuli.

Nyie wengine mnajua kuandika mithamiati tu humu, Watz kwa uchumi tunawazidi Iran? Hebu jaribu kuiangalia Zimbabwe Leo ikoje? Ushauri mbovu sana huu.

Bandari wanaoleta Leo kesho wakipigwa mkwala washushe Mombasa je utakula nini? Na dhadabu yako ukiambiwa haikidhi kiwango? Acheni kasumba za kibantu.

Unatakaje, kuendesha nchi kwa remote ya wadhungu!
 
Hao jamaa tuachane nao kabisa. Hizo hela zao ndio makusanyo ya mwezi mmoja kwa sasa.

Waambiwe Matonya keshamaliza muda wake wa uongozi. Hadi sasa angekuwa keshaemda Marekani mara tatu au zaidi.
umesema ukweli kabisa. msaada wanaotupatia wazungu, ni sawa na hela ambayo tunaweza kukusanya kwa mwezi mmoja tu hapa Tanzania. na kama tukibana mianya ya rushwa na ubadhilifu, tukawanyonga mafisadi, tunaweza kukusanya hata mara mbili yake na misaada yao tukaikataa. heshima yetu itabaki.
 
MCC zetu zipo kwenye bandari, maliasili, gesi nk.

TRA ijipange vizuri na mchwa wa shughulini we bila ajizi.
 
Hapo ndipo utakapomjua Mzungu ni Nani, Nyerere alikoma kwa hao na akasema kabisa kuwa hata korosho wakiamua wanaweza kutupangia bei ya kuuza.

Tena aendelee kujifanya anakomaa uone katika kipindi kigumu kuwahi kutokea katika historian ya Tz itakuwa ni hiki cha Magufuli.

Nyie wengine mnajua kuandika mithamiati tu humu, Watz kwa uchumi tunawazidi Iran? Hebu jaribu kuiangalia Zimbabwe Leo ikoje? Ushauri mbovu sana huu.

Bandari wanaoleta Leo kesho wakipigwa mkwala washushe Mombasa je utakula nini? Na dhadabu yako ukiambiwa haikidhi kiwango? Acheni kasumba za kibantu.
ulimwengu huu wa sasa sio kama ule wa zamani. kwasasaivi wazungu wanatuhitaji sana na tumeingiliana kibiashara kiasi kwamba nao wanaweza kuadhibiwa vilevile. and due to the rise of china, wana hofu sana, ndio maana rais wa china alipotembelea tu tanzania, marais wa marekani walikuja watatu (obama, bush, clinton) kwasababu wanajua kuwa tukiamua kuwatupa watakosa kitu fulani toka kwetu na ukanda huu. kwa miaka ya siku hizi, adhabu pekee watakayoweza kuifanya ni kutugombanisha sisi wa sisi wawapatie waasi silaha ili tupigane, ila mambo mengine hawawezi nakuapia.

migodini wanajibembeleza toka kwetu, gas tuliyogundua wanajibembeleza toka kwetu, na ukiwa na rais ambaye ni msafi na mchapa kazi, wanakosa hata sababu ya kukushughulikia. enzi za nyerere sio enzi hizi za kwetu. funguka.

hakuna mtu anayeweza kuamuru wafanyabiashara washushe mzigo mombasa badala ya dsm kwa bidhaa kadhaa. ujue bidhaa nyingi zinatoka bara asia kama china, singapore, japan etc, hivyo kama wamagaribi watapiga marufuku meli zao kutua dsm, basi kwa bidhaa za burundi, congo, zambia, malawi na tz yenyewe wachina wataingiza meli zao za biashara, wa singapore na wengine na tutaishi tu, na wao watapata hasara kwa kuwa na wateja wachache kwenye hizo meli zao. usiwe na hofo na kutokujiamini kiasi hicho.
 
Wanakwapua ela uku then wanrudisha kama misaada.
Ipo siku wanasema JPM hafai kuwa raisi hawa US sio wa kuwatumainia hawa na symbion yao.
Tuna wese gesi uranium chuma dhahabu ardhi ya rutuba kutojitegemea ni kujitakia
 
Hatuwezi kuendesha nchi kwa amri za wahisani, kesho kutwa watatwambia tumalize mgogoro wa wakulima na wafugaji ndo tupewe hela za MCC!

Hakuna issue ya waisani issue ni uchaguzi wa Zanzibar,ata mwana Ccm mwenye akili timamu hawezifurahia kuvurugwa kwa makusudi uchaguzi wa Zanzibar.
 
Ngoja Putin akanyage Tanzania utaona watakavyozitumbukiza haraka kwenye account zetu!
 
Hatuwezi kuishi kwa mihemko, eti tukiambiwa ukweli ndio tujitutumue. Ni kweli tunapaswa kujitegemea, lakini sababu za kunyimwa misaada nazo zina mashiko.

Kama watu wamewekwa tu ndani kwa kosa la kujumlisha matokeo, mlitaka hao wazungu wakae kimya? Juzi Japan imeipa msaada India, ina maana tumewaacha nyuma India au?

Wakati mnajinasibu hapa na makusanyo ya bandari, mkumbuke kuwa huyo mnayemwambia akaze kamba akiumwa utamwona MBIO, yuko huko kutibiwa, hatotibiwa na Kigwangala.

Tujitegemee, lakini tuache na unafiki. Zanzibar ni AGENDA isiyopaswa kufumbiwa macho. Hizi shamra shamra za kutumbua majipu hazitoshi kuifikisha nchi tunapotaka, unless kama nia yetu ni kucheka cheka wkt wa taarifa ya habari kwa waziri kufanya kazi ya kufunga mageti.
 
watu wenye mawazo kama wewe mngekuwa 20 tu hii nchi ingekuwa mbali. Magufuli akupe ubunge kisha uwaziri au tume ya mipango unahitajika pale ndugu yangu. safi sana.
 
Back
Top Bottom