Ni mjivuni na mwenye kiburi cha kishamba.Bila kusahau kupenda sifa ndio sifa yake kuu.
Magufuli sifa yake kubwa ni UKUTUPUKAJI kwenye uraisi hatufai hata kidogo
Magufuli sifa yake kubwa ni UKUTUPUKAJI kwenye uraisi hatufai hata kidogo
yaan binafsi nawashangaa wanaompigia chapuo magufuli wakidhani uraisi kila mtu ana weza,
angebaki kwenya mabarabara yake ya chini ya kiwango nafasi ile kidogo alikuwa anaweza kufanya maigizo yake.
tuwe wakweli tuache unafiki urasi hauwezi magufuli jamani
crabat,
..Magufuli anahitaji kuwa na mtu juu yake ambaye atam-moderate frm time to time.
..huyu akiwa ndiyo raisi wa Tz, kwa maana ndiyo alfa na omega, anaweza kusababisha madhara makubwa sana.
..jambo lingine linalotia shaka ni mtizamo wake kuhusu vyama vya siasa na demokrasia ya vyama vingi. sina uhakika kama ataheshimu uhuru wa vyama vya siasa, vyombo vya habari, uhuru wa kujieleza, na maandamano.
Hivi Lowassa na Magufuli nani anauwezo wa kidiplomasia?
Sio huyu Lowassa aliyekurupuka na kutangaza vita na Malawi wakati jukumu sio lake na hakuna viashiria vyovyote vya kivita.?
Huwezi kumjadili Magufuli bila kumtaja Lowassa, maana ndio mpinzani wake mkubwa.Lowassa naye tutamjadili , hiyo itakuwa topics nyengine...topic hii inamhusu magufuli. hivyo lete fikta zako vipi unamuona Magufuli , bila ya kutukana jadili constructively😛ray2:
Hivi Lowassa na Magufuli nani anauwezo wa kidiplomasia?
Sio huyu Lowassa aliyekurupuka na kutangaza vita na Malawi wakati jukumu sio lake na hakuna viashiria vyovyote vya kivita.?
We unadhani Rais analala na mkewe halafu asubuhi anasema jeshi liende somalia? Labda mgombea wa chama chenu ndo atakuwa na sifa hizo.
Maamuzi ya Rais yanatoka baada ya kujadiliana na baraza la Mawaziri, washauri wa Rais kwenye suala husika na hata usalama wa taifa pale inapobidi.
Hakuna Rais mtaalamu wa kila kitu, hata Magufuli hajui kila kitu ndo maana atakuw ana baraza la mawaziri na washauri wake
mwahiyo wewe ulitaka lowassa aanze kuchekacheka kwenye maswala ya siliasi huoni alivyo ongea vile saizi wamalawi wametuliaNi kweli Magufuli na Lowasa wote wanamaamuzi ya haraka bila kuangalia hatari ya mbele.
Kwamfano. Magufuli alishawahi kuvunja mikataba ambayo serikari iliingia hasara kulipa.
Lowasa alisababisha hatari ya kutokea vita dhidi ya Malawi pale alipo kurupuka na kutoa kauli iliyoashiria kutangaza vita.
mwahiyo wewe ulitaka lowassa aanze kuchekacheka kwenye maswala ya siliasi huoni alivyo ongea vile saizi wamalawi wametulia
Malawi na Tanzania walipigana lini?.
Nmekupata ktka hoja yakwanza, ya kuhitaj mshauri.
Naomba ufafanizi hapo kwnye vyama vya siasa na democrasia ya vyama vingi
..fuatilia hotuba zake mbalimbali na jinsi anavyovipiga vijembe vyama vya upinzani.
..kwa muda mrefu amekuwa akipiga vijembe vyama vya upinzania, haswa suala la maandamano.
..hali hiyo inatilia shaka kama ana-appreciate umuhimu wa vyama vya upinzani. zaidi kama anaamini ktk maandamano kama njia ya watawaliwa kupeleka ujumbe kwa watawala--uwe mzuri au mbaya.
..pia kama ameshindwa kutofautisha mabadiliko yaliyotokea Libya, Iraq, Zaire, na hiki kinachoendelea hapa Tanzania, basi huenda huyu akawa mtu hatari sana kwa demokrasia yetu ya vyama vingi.
cc crabat
..fuatilia hotuba zake mbalimbali na jinsi anavyovipiga vijembe vyama vya upinzani.
..kwa muda mrefu amekuwa akipiga vijembe vyama vya upinzania, haswa suala la maandamano.
..hali hiyo inatilia shaka kama ana-appreciate umuhimu wa vyama vya upinzani. zaidi kama anaamini ktk maandamano kama njia ya watawaliwa kupeleka ujumbe kwa watawala--uwe mzuri au mbaya.
..pia kama ameshindwa kutofautisha mabadiliko yaliyotokea Libya, Iraq, Zaire, na hiki kinachoendelea hapa Tanzania, basi huenda huyu akawa mtu hatari sana kwa demokrasia yetu ya vyama vingi.
cc crabat