Magufuli ni mungu

Magufuli siyo MUNGU.
Na Hafanani na MUNGU.
Na Siyo kama MUNGU.

Kwa imani ya dini yangu vitabu vinasema MUNGU Hafananishwi na chochote.
 
Nyie mnaomuabudu,siku yenu ya ibada ni lini?
 
Ameshavunja sheria nyingi... Hii sio ya kwanza.. Ye c ndo kijigodi uchwara..
 
Kweli watanzania wengi hawapendi kusoma, wanajifanya wanaimani sana wakati vibanda vya waganga wa kienyeji vipo kibao kiashiria kuwa washirikina ni wengi au ndio namtegemea Mungu kumbe kifuani chale kibao ...
 

oppress & bogus

MAGUFURI MUNGU

mi nilikua nawacheka wasambaa wa tanga kumbe sio peke yao hata humu wapo vitengo kama wewe
 
Jaman mbona mnataka kuliletea taifa mikosi na laana nyie watu
 
shindwa nonesense!Anaepigiwa magoti ni Mungu tu!Huna haya hata kuandika hivyo!!!!!!!kweli mmepigika kila kitu ni yes sir poor you!!
Mamchu## Unamatatizo kwenye mfumo wa faham
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…