makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Wana JF na Watanzania wenzangu,
Kuna uwezekano mkubwa sana kwa Chama cha Mafisadi na Majambazi(CCM)kushindwa vibaya kwenye Uchaguzi Mkuu hapo Okt,2015!Dalili zote zinaonyesha kuwa Watz wamechoshwa na utawala mbovu wa CCM.
Tayari kuna viongozi wa CCM wameiona hiyo hali na tayari wanaandaa mazingira ya kusababisha machafuko hatimaye nchi iingie kwenye umwagikaji wa damu iwapo upinzani watashinda.
Tukianzia na Magufuli mgombea wa CCM amesikika akisema Watanzania wakichagua upinzani nchi itakuwa kama Libya au Rwanda.Huu ni uchochezi!
BULEMBO naye amesikika wazi akisema kuwa iwapo upinzani watashinda Uchaguzi wao CCM hawako tayari kuwaruhusu kuingia Ikulu!Haya ni matamshi ya saw a na mwendawazimu asiyejua analofanya.Huu ni uchochezi.
NAPE a.k.a Nepi naye ametoa matamshi ya namna kama hiyo akisema wao CCM hawataruhusu Marehemu anayetembea aingie Ikulu akimlenga (Ndg.Edward Lowassa)mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA anayeungwa mono n.a. UKAWA.Huu ni uchochezi pia!
Livingstone Lusinde mtambo wa matusi wa CCM amekuwa akiropokwa na maneno ya aina hiyohiyo.Kichaa huyu aliyetoroka toka Mirembe ametoa matamshi yenye ubaguzi wa Ukanda na Ukabila akidai kuwa watu Kaskazini wamekuwa wakipewa upendeleo hivo Lowassa hawezi kuwa Rais wa JMT!
Sasa tunajua ICC tayari wana wawakilishi wao hapa TZ kufuatilia kinachoendelea kwenye kampeni za Uchaguzi na lazima watachukua hatua kwa machafuko yoyote yatakayotokea kufuatia matokeo ya Uchaguzi huu!
Lazima wapuuzi hawa wa CCM ambao hawajitambui wawe wa kwanza kushtakiwa kwenye Mahakama hii ya Kimataifa ICC!
Mungu ibariki Tanzania.
Kuna uwezekano mkubwa sana kwa Chama cha Mafisadi na Majambazi(CCM)kushindwa vibaya kwenye Uchaguzi Mkuu hapo Okt,2015!Dalili zote zinaonyesha kuwa Watz wamechoshwa na utawala mbovu wa CCM.
Tayari kuna viongozi wa CCM wameiona hiyo hali na tayari wanaandaa mazingira ya kusababisha machafuko hatimaye nchi iingie kwenye umwagikaji wa damu iwapo upinzani watashinda.
Tukianzia na Magufuli mgombea wa CCM amesikika akisema Watanzania wakichagua upinzani nchi itakuwa kama Libya au Rwanda.Huu ni uchochezi!
BULEMBO naye amesikika wazi akisema kuwa iwapo upinzani watashinda Uchaguzi wao CCM hawako tayari kuwaruhusu kuingia Ikulu!Haya ni matamshi ya saw a na mwendawazimu asiyejua analofanya.Huu ni uchochezi.
NAPE a.k.a Nepi naye ametoa matamshi ya namna kama hiyo akisema wao CCM hawataruhusu Marehemu anayetembea aingie Ikulu akimlenga (Ndg.Edward Lowassa)mgombea wa Urais kwa tiketi ya CHADEMA anayeungwa mono n.a. UKAWA.Huu ni uchochezi pia!
Livingstone Lusinde mtambo wa matusi wa CCM amekuwa akiropokwa na maneno ya aina hiyohiyo.Kichaa huyu aliyetoroka toka Mirembe ametoa matamshi yenye ubaguzi wa Ukanda na Ukabila akidai kuwa watu Kaskazini wamekuwa wakipewa upendeleo hivo Lowassa hawezi kuwa Rais wa JMT!
Sasa tunajua ICC tayari wana wawakilishi wao hapa TZ kufuatilia kinachoendelea kwenye kampeni za Uchaguzi na lazima watachukua hatua kwa machafuko yoyote yatakayotokea kufuatia matokeo ya Uchaguzi huu!
Lazima wapuuzi hawa wa CCM ambao hawajitambui wawe wa kwanza kushtakiwa kwenye Mahakama hii ya Kimataifa ICC!
Mungu ibariki Tanzania.