Magufuli na kisa cha mfalume

Magufuli na kisa cha mfalume

ukawa2020

JF-Expert Member
Joined
Apr 1, 2016
Posts
339
Reaction score
1,315
Miaka ya zamani kidogo nchi ilikuwa inaongozwa na wafalume
Siku moja mfalume akiwa anatembea na kukagua maeneo yake akamkanyaga kijana mmoja mwenye Elimu yake nzuri tu

Yule kijana baada ya kuona amekanyagwa na mfalume akashuka chini na kumwambia mfalume " samahani mfalume kwa bahati mbaya niliweka mguu sehemu ambayo wewe ulikuwa unakuja kukanyaga naomba nisamehe"

Swali langu kwenu je magufuli akiwa anatembea njiani akikukanyaga unaweza " kumjaribu" kwa kumwambia mbona unanikanyaga?

Mimi naendelea kujenga ukuta
 
Bado unaishi kwenye nchi ya “MFALUME?”
Kweli hiki ni Kisa cha mFAlume!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom