Magufuli msikilize huyu Mzungu!



Wewe hauna akili, kama unafikiri ni rahisi kulima maua na kupata soko Ulaya la kuuza maua ni kazi rahisi basi nenda ukachukuwe hao wahitimu wako wa SUA muende Njombe mkalime maua halafu mpeleke kwenye soko la Maua Amsterdam mkauze, kwani mmekatazwa na nani? Benki za kuwakopesha zipo, ardhi ipo, Viwanja vya ndege vipo nendeni mkalime!
 
Hawa wazungu ndio hatuwataki kabisa, ati anacheleweshwa border? Wezi wakubwa atuwekee hapa amelipa kodi kiasi gani tangu aanze hiyo biashara? Analipa mishahara kiasi gani kwa wafanyakazi wake wote kuanzia management hadi wa kipato cha chini. Je, anafuata sheria zote ''the health and safety'' zinazohusiana na biashara ya maua? Hiyo ni pamoja na vitendea kazi kwa wafayakazi wake wote. Je, anafanya in house training mara ngapi kwa mwaka kwa wafanyakazi wake? Wapya na wazoefu. Je, anawapa wafanyakazi wake ''risk assessment'' ya kufanya kazi kwenye uzalishaji wa maua?

Walizoea kumfuata yule aliyekuwa anafuga majambazi Magogoni.
 

OSHA hawafiki huko! Ni taasisi ya serikali inayosimamia usalama mahala pa kazi ikimhitaji mwajiri kumpatia vitendea kazi vinavyohitajika
 
...we kwako kitu rahisi ndicho cha kufanya kwasababu ya ujinga wako...mimi nimekwambia ukweli we akili yako ma.vi tu...we ni mfano wa watanzania wengi....mnafikiri wazungu ndio wenye uwezo wa kuwafanyia kila kitu...maana akili zenu matope..unachoweza kufanya sana ni kulala na wanawake wengi....hizo ndio sifa mnazopeana...mnaishia kufa na ma ukimwi...we mjinga lakini hujui kuwa mjinga...ama nikuite mpumbavu...ndio sababu unatuletea clip wa wazungu humu ukifikiri wao ndio wa kutuonyesha njia...kumbe anachoongea wala si kigumu kufanywa na watanzania....kama ume copy mahali hiyo clip kaa upya ujifunze...inaelekea wala huielewi...idiot...
 
Secta binafsi ya Tanzania hawataki kuripa kodi wanataka kuiba tu,
Wajifunze
 

wewe mjinga, mimi ni ccm lakini siwezi tete ujinga kama huu...
 
Hawa watu wa maua wanawalipa wafanyakazi sh laki moja.

Mazingira ya kazi ni sumu tupu.

Kama ni hizi kampuni hapa arusha muulizeni kwa nini maua yanapitia Nairobi kuwekwa label ya kenya?


Kampuni inayomiliki mikahawa ya Mcdonalds ni kampuni kubwa inayoajiri watu wengi sana lakini waajiriwa wanalipwa mishahara midogo ukilingansha na wafanya kazi wengine lakini kampuni hiyo inatoa huduma zake kama sikosei duniani kote,juu ya kuwa unawalipa wafanya kazi wake mishahara midogo lakini bado serikali za nchi nchi inakaribisha mcdonalds kufungua mikahawa yake ,,

Issue hapa sio mishahara ishu ni kuwapatia watanzania kazi,watanzania wengi wanaishi chini ya kiwango cha umasikini yaani wanaishi kuliko maskini wa kawaida,watanzania ni mafukara,,,

Kama inatokea kampuni inawalipa watanzania mishahara ya kulisha familia zao,zisikilizwe zibadilishane mawazo na serikali kwa manufaa ya watanzania....
 
Naona wanakimbilia kilimo cha maua, wakati kuna vilimo vingi ambavyo vinalisha Nchi na kukimu wakulima wetu... Watu wanataka Mzungu asikilizwe! Tena anayeua watu kwa sumu na kukausha maji ya bonde la mto...

Maua ni pesa,siku hizi bangi imekuwa kilimo kikubwa majimbo 24 ya nchi ya marekani imehalalisha bangi kama kilimo cha kawaida,watanzania lazima tubadilisha vipi tunaiona dunia,bado tuko nyuma sana kimawazo.tunashindwa hata na jirani zetu kama nchi ya Kenya.

Kenya wanafanya biashara kubwa sana ya mirungi wakati watanzania mirungi inaitwa dawa ya kulevya,watanzania wengi wanakwennda jela kwa kukamatwa na mirungi,Mkuu tujaribu tusiwe tafauti na watu wengine kama tutajitafautisha na na mawazo ya watu wengine na mawazo ya nchi nyengine tukajiona sisi ni tafauti basi tutakuwa nyuma kimaendeleo,tutakuwa mkiani mwa dunia...
 
Hawa watu wa maua wanawalipa wafanyakazi sh laki moja.

Mazingira ya kazi ni sumu tupu.

Kama ni hizi kampuni hapa arusha muulizeni kwa nini maua yanapitia Nairobi kuwekwa label ya kenya?



Barbarosa, Naweka sehemu ya maelezo yako pamoja na wale wanaojua hali halis ya wamiliki wa mashamba ya maua ili ujue kwamba huyo Mzungu na wenzake hawafai. Hali iliyopo hapo ni mbaya na Baadhi ya watumishi wao wanakufa bila tiba baada ya kubugia madawa ya wadudu wyanayotumika ktk mashamba hayo.

Ni vizuri kuondoa vikwazo ktk biashara, lakini nadhani huyu ameona sasa aliyeko juu kuna siku atawaibukia tu. Mahesabu uliyopiga ya idadi ya wategemezi ni kama haipo maana kuajiliwa ktk mashamba ni kama nyoka wa kule kwenye Tanzanite. Maisha yako unayalaani tu!
 

Watu tumieni akili jamaa amezungumza jambo la maana,hundred thousand kwako sio kubwa kwa wengine wana miaka hajawai kuishika...
 


Usiongee usichokifahamu, ni dhambi kubwa kuhukumu usilolijua!


[video=vimeo;40504176]https://vimeo.com/40504176[/video]

 

JK aliishushia hadhi sana ikulu na kwa kipindi cha miaka kumi aliwafanya watu waichukulie Ikulu kama nyumba ya mtu binafsi, wengine hata wanakwenda pale bila appointment kuonana na ndugu zao wanaofanya kazi pale. Hii isiendekezwe. True kama anavyosema MWanakijiji huyu mzungu ni mwajiri ambaye nchi yetu inawahitaji lakini wa kuongea naye ni waziri labda au hata kabla ya hapo kuna vyombo vya serikali ambavyo vina mamlaka ya kuwasikiliza na kuwasaidia wakulima wa aina yake.
 
Usiongee usichokifahamu, ni dhambi kubwa kuhukumu usilolijua!


Hopeless creature!
Kumbe wewe ulileta thrd hapa ili tuunge mkono hiyo hotuba ya mzungu! Hii ni JF na usihodhi ufahamu. Hayo mashamba tunayafahamu na tumeyafanyia utafiti. Ulileta hoja ya kuajiliwa kwenye mashamba wakati huna mfano wowote wa mtu aliye na maisha ya mfano baada ya kuajiliwa kwenye mashamba.

Watembelee TPRI uliza matokeo ya utafiti juu ya afya chafu za watumishi ktk mashamba ya maua.
 

#Vipaumbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…