Miradi inafanikishwa na pesa,molari kwa askari anaoenda kuwaongoza italetwa na maslahi yao kufikiriwa vizuri.
Angalau nimekuwa katika kufatilia utekelezaji wa bajeti kimsingi Magereza unawaonea bure pamoja na kwamba wana mapungufu yao kama zilivyo taasisi nyngine za kijeshi na kiraia ila pesa mnayowapa ni ndogo sana.
Jana nimeshangaa kukuta bajeti ya magereza mpaka sasa imetekelezwa kwa %36 tu wakati nimeangalia JWTZ bajeti yao inaelekea %78 sasa hapa lazima mmoja anafanya vizuri na mwingine vibaya hata huyu br.gen usipompa pesa sahau matokeo mazuri utamlaumu tu we mpe hela alafu mdai matokeo.
Hilo jeshi si la askari magereza bali ni la watanzania linapofeli watz wanakuwa wamefeli hebu Mh. Lifikirie kwa kina hilo jeshi kama ukiwekeza vizuri huko utapata faida kubwa mno maana kuna nguvu kazi isiyohitaji mshahara(wafungwa) kaa na general mpya mlikwamue hilo jeshi mtapata matokeo makubwa.
Kuhusu mafunzo ya askari magereza sina wasiwasi kabisa wako vizuri sana bali tu wape kozi mbali mbali za Ku refresh kama ilivo kwa JWTZ.
Angalau nimekuwa katika kufatilia utekelezaji wa bajeti kimsingi Magereza unawaonea bure pamoja na kwamba wana mapungufu yao kama zilivyo taasisi nyngine za kijeshi na kiraia ila pesa mnayowapa ni ndogo sana.
Jana nimeshangaa kukuta bajeti ya magereza mpaka sasa imetekelezwa kwa %36 tu wakati nimeangalia JWTZ bajeti yao inaelekea %78 sasa hapa lazima mmoja anafanya vizuri na mwingine vibaya hata huyu br.gen usipompa pesa sahau matokeo mazuri utamlaumu tu we mpe hela alafu mdai matokeo.
Hilo jeshi si la askari magereza bali ni la watanzania linapofeli watz wanakuwa wamefeli hebu Mh. Lifikirie kwa kina hilo jeshi kama ukiwekeza vizuri huko utapata faida kubwa mno maana kuna nguvu kazi isiyohitaji mshahara(wafungwa) kaa na general mpya mlikwamue hilo jeshi mtapata matokeo makubwa.
Kuhusu mafunzo ya askari magereza sina wasiwasi kabisa wako vizuri sana bali tu wape kozi mbali mbali za Ku refresh kama ilivo kwa JWTZ.