Upone haraka!
Nafuu tu mkuu au apone kabisa.Namtakia nafuu....
jimbo lingine hilo linakaribia
Mwakyembe, Mwakyusa Magufuli bravo hit squad!!Kuna taarifa nimezipata hivi punde kwamba waziri wa Ujenzi Jojn Magufuli ni mgonjwa na amelazwa ICU Dodoma kwa tatizo la heart attack.Naendelea kufuatilia kwa ukaribu zaidi.
what is happening to our president..au assassins wa magamba .......na kina ben pembe [silent killer] tayri wameingia kazini????...
confirm this news please ...its a serious note..
Naomba mnijuze juu ya uvumi wa kuwa waziri wa miundombinu yupo dodoma anaumwa na kuna mdogo wangu kaniambia hilo
Mpeni pole na rweganani naye si anaumwa?