Magufuli punguza mdomo baba ona unavyoumbuka. Hadi kuhonga mabinti nyumba za serkali? Hii kitu si mara moja kuisikia. Niliickia mwaka jana nikiwa versty moja za Tumaini nikajisemea aah mambo za wasomi wachanga. Pia kwamba hata binti yake aliefariki kisa alikosa matibabu effectively ya maralia "very stupid" na hii huwa inawakumba wanandoa wanaoendekeza uzinzi. Ila huwa napata shida kidogo ni kwanini haya mambo huwa yanaibuka wanapokuwa wamewaguswa viongozi wa cdm? Kwamba wananchi wamewachoka viongozi walioko madarakani? Je habari hizo ni za ukweli? Vilevile napata picha kuwa watu wanafahamu sana viongozi wao kuliko wanavyofikiri. Basi ni vyema wawe wanapitia jf na wakachkua hatua. Na wafanye kazi na waache siasa za majukwaani watu wengi sasa hivi wanawachora tu hata wa vijijini.