Hujajua kuwa jamaa betri imeover shoot kwa hiyo anasema hovyo tuu? Kaulize Vunjo, yule mgombea wake aliyesema alitaka kupewa milioni 250 akamtosa baada ya kumuona Mrema. Ili ashangiliwe ikabidi aseme mchagueni Mrema.
Jamaa siku hizi ana ropoka kama kabugia viroba.
Kwa hiyo Nape jimbo lake ni Lumumba? Nimeipenda hiyo.Wamuangushe kwani jimbo lake hilo..... Lindi sio LUMUMBA
Mbona unagunaDuuh!
Umesoma hiyo habari?Mbona unaguna
Nimeisoma vizuri ya tangu 2015 enzi za kampeni ndo maana nikakuuliza mbona umeguna mkuuUmesoma hiyo habari?