Magufuli: Kuna mgombea amesomea maigizo

Magufuli: Kuna mgombea amesomea maigizo

Magufuliiiiiiii kwisha habari yake...hana kitu...

Poor kabisa...!!! Hana hoja...hana lolote...mara laptops kwa kila mwalimu..mara mil 50 kwa kila kijiji...mara kuna mtu kasomea maigizo...

Anazidi kuonyesha HAFAIIIII as we expected...!!!

Magufuli hata 5% ya Akili na Uwezo wa Lowassa kufanya mambo na mikakati hana...!!!

In comparison...!!! 👇👇👇👇👇👇

Magufuli ability overall 5%

Lowassa ability overall 95%...
 
ImageUploadedByJamiiForums1439811691.909491.jpg
Kama haya ni maigizo sawa maana wengine wa gazeti la Uhuru wamesema ni vibaka
 
Mwache alete dharau zake tu. Mwenzake JK anazidharau mdomoni lakini kisaikolojia maigizo hayo yanamkondesha, ndiyo maana ukimuangalia sasa hivi hata ngozi imeanza kumpwaya;
Ni 'Maigizo' hayo hayo yalimuweka Kikwete madarakani.
Amuulize JK kinachomkondesha, asidhani kuwa oabda JK anafanya diet ili ku maintain figure.
 

Attachments

  • 1439812508236.jpg
    1439812508236.jpg
    24.8 KB · Views: 240
NI KATIKA KAKAO CHA UVCCM DAR ES SALAAM JANA
Dk Magufuli alisema baadhi ya wapinzani ni waigizaji wakubwa ambao wamesomea uigizaji na wataufanya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kutawaliwa na mbwembwe na maigizo mengi.

Alisema kazi kubwa ya CCM ni kukabiliana na mbwembwe na maigizo hayo ili kuyashinda.

Magufuli alisema CCM siyo watu wa matumaini, bali ni watu wa maendeleo na safari ya uhakika.

Alisema wapinzani wa CCM sasa wameanza kunukuu kila kitu hasa nyimbo za chama.

Aliwaambia vijana hao: “Katika mchakato huu na katika uchaguzi wa mwaka huu kuna mbwembwe nyingi, kuna mbinu nyingi na kuna maigizo mengi hasa kwa sababu wako wengine walisomea maagizo. Kwa hiyo tuna wajibu wa pamoja kuyashinda haya maigizo.”
source (mwananchi 17 .08. 2015)
Hizo ni dalili za kuanza kudata huyo Makufuli wenu.
 
huyu anaanza mdomo wakati ana madudu kibao

1.Kamzalisha mwanafunzi wa Geology pale UD anaiwa Sundi
2.Kamuuzia Sundi nyumba ya serikali kwa 170,000/= TZS
3.Akiwa waziri alikuwa analala mabibo Hostel kwa Sundi bila kificho
4.Akiwa waziri kamjengea kimada nyumba Kunduchi Mtongani na mkandarasi ni kampuni ya SKOL ( 10% kwa kuwapa kazi labda)
5.Akiwa waziri kaitia hasara serikali ya 3bilioni kwenye kesi ya kukamata meli ya samaki
6.Akiwa waziri kabainika kwenye report ya CAG ya mwaka huu kuwa 250bilioni hazijulikani ziliko wizarani kwake
7.Akiwa waziri kampuni ya Aashlef iligoma kumpa 10% wakati wa ujenzi wa barabara ya iringa-dodoma na akiifuuza kazi.
8.Akiwa waziri alionekana kwenda samunge kunywa kikombe kwa maradhi ambayo hayajulikani haswa anaumwa nini na hili ni hatari kwa taifa.

mengine yataendeleeeaaaa

Katika yote hiyo ya kwenye red imeniuma sana....juzi juzi nilipita hiyo barabara hakika iko chini ya kiwango sana... bahati ni kuwa hakuna magari mengi sana ila kungekuwa na traffic kubwa sana...hii barabara soon yatakuwa mashimo.....same on you Malock!!!
 
teh teh teh. speechlessman & we all know dat. hakuna logic hapo. asipoangalia atakufa na stress
 
Tunakusubiri kigamboni mkuu upige MBIZI kuomba KURA Na HUPATI LOWASSA ni baba yetu
 
NI KATIKA KIKAO CHA UVCCM DAR ES SALAAM JANA
Dk Magufuli alisema baadhi ya wapinzani ni waigizaji wakubwa ambao wamesomea uigizaji na wataufanya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kutawaliwa na mbwembwe na maigizo mengi.

Alisema kazi kubwa ya CCM ni kukabiliana na mbwembwe na maigizo hayo ili kuyashinda.

Magufuli alisema CCM siyo watu wa matumaini, bali ni watu wa maendeleo na safari ya uhakika.

Alisema wapinzani wa CCM sasa wameanza kunukuu kila kitu hasa nyimbo za chama.

Aliwaambia vijana hao: “Katika mchakato huu na katika uchaguzi wa mwaka huu kuna mbwembwe nyingi, kuna mbinu nyingi na kuna maigizo mengi hasa kwa sababu wako wengine walisomea maagizo. Kwa hiyo tuna wajibu wa pamoja kuyashinda haya maigizo.”

CHANZO: Mwananchi 17 .08. 2015)

Lakini maigizo ya haina yoyote ile yanakuwa na ujumbe ndani yake wenye faida kwa jamii, na ndio maana anawaasa wanaCCM kuyadhibiti hayo maigizo yenye manufaa kwa watananzania. Hivi yeye Dr. Magufuli hakusoma vitabu vya maigizo kwenye somo la Kiingereza na Kiswahili wakati yuko shule ya msingi na sekondari? Yeye huwa aangalii maigizo kama ya akina Masanja Mkandamizaji?

Hivi akipata Urais atafuta discipline ya maigizo? Akina Prof. Mlama kila wanachofanya ni maigizo? Hivi ukisomea mfano utangazaji basi kila unapoongea unatangaza? Nimeanza kuwa na wasiwasi na PhD yake bwana huyu.
 
huyu anaanza mdomo wakati ana madudu kibao

1.Kamzalisha mwanafunzi wa Geology pale UD anaiwa Sundi
2.Kamuuzia Sundi nyumba ya serikali kwa 170,000/= TZS
3.Akiwa waziri alikuwa analala mabibo Hostel kwa Sundi bila kificho
4.Akiwa waziri kamjengea kimada nyumba Kunduchi Mtongani na mkandarasi ni kampuni ya SKOL ( 10% kwa kuwapa kazi labda)
5.Akiwa waziri kaitia hasara serikali ya 3bilioni kwenye kesi ya kukamata meli ya samaki
6.Akiwa waziri kabainika kwenye report ya CAG ya mwaka huu kuwa 250bilioni hazijulikani ziliko wizarani kwake
7.Akiwa waziri kampuni ya Aashlef iligoma kumpa 10% wakati wa ujenzi wa barabara ya iringa-dodoma na akiifuuza kazi.
8.Akiwa waziri alionekana kwenda samunge kunywa kikombe kwa maradhi ambayo hayajulikani haswa anaumwa nini na hili ni hatari kwa taifa.

mengine yataendeleeeaaaa

Sikiliza mfano wa kutoa rushwa alioutoa JK, je kwa nini alichagua wizara ya ujenzi na sio maji? Je, ilikuwa ni hypothetical bila kuwa na msukumo wa fununu au la?

 
Last edited by a moderator:
Kama ni kutia mimba, mbona wengi tu wametia hizo mimba.
 
Naye tumechoka,rais gani kila siku vijembe kwa wenzake.heee rais wa tz au uswahilini!!
 
Mwache alete dharau zake tu. Mwenzake JK anazidharau mdomoni lakini kisaikolojia maigizo hayo yanamkondesha, ndiyo maana ukimuangalia sasa hivi hata ngozi imeanza kumpwaya;
Ni 'Maigizo' hayo hayo yalimuweka Kikwete madarakani.
Amuulize JK kinachomkondesha, asidhani kuwa oabda JK anafanya diet ili ku maintain figure.

Jk anatia huruma kwa kweli....zaidi ya iuzorota kiafya...hata akiongea unaona kabisa kuna kitu kinamsumbua...hakika kwa vile yeye ndo mkuu wa nyumba...akili za kuambiwa na mke alitakiwa achanganye na za kwake....
 
Vikao vingi vya kamati kuu siku za nyuma walikuwa wanafanyia Ikulu ila nashangaa naona iki cha leo wamefanyia Lumumba.
 
CCM wanatapatapa. Kila kitu kinafanyika sasahv,kuzindua mradi wa magari yaendayo kasi,Rais Kuagwa na "shirikisho la wasanii" Rais kuagana na wafanyakaz wa wizara ya Ujenzi? why Ujenzi na sio fedha,Nishati na madini au Wizara ya Mali asili na utalii? Ni wazi "Haya ndo maigizo" Pumbaf zao wataisoma namba this tym.

Kabisa mkuu, yaani sasa naona miradi inayozinduliwa ni wizara ya magufuli tu utafikiri wizara zingine hazina miradi, na kibaya zaidi wanazindua hata kama bado kukamilika. Ugali haujaiva waipua tu!
 
CCM wanatapatapa. Kila kitu kinafanyika sasahv,kuzindua mradi wa magari yaendayo kasi,Rais Kuagwa na "shirikisho la wasanii" Rais kuagana na wafanyakaz wa wizara ya Ujenzi? why Ujenzi na sio fedha,Nishati na madini au Wizara ya Mali asili na utalii? Ni wazi "Haya ndo maigizo" Pumbaf zao wataisoma namba this tym.

Kabisa mkuu, yaani sasa naona miradi inayozinduliwa ni wizara ya magufuli tu utafikiri wizara zingine hazina miradi, na kibaya zaidi wanazindua hata kama bado kukamilika. Ugali haujaiva waipua tu!
 
Back
Top Bottom