livingafrican
Member
- Jun 11, 2009
- 58
- 19
The thing ni kwamba ccm wanadhani watanzania ni wale wa mwaka 1961,too late makufuli
huyu anaanza mdomo wakati ana madudu kibao
1.Kamzalisha mwanafunzi wa Geology pale UD anaiwa Sundi
2.Kamuuzia Sundi nyumba ya serikali kwa 170,000/= TZS
3.Akiwa waziri alikuwa analala mabibo Hostel kwa Sundi bila kificho
4.Akiwa waziri kamjengea kimada nyumba Kunduchi Mtongani na mkandarasi ni kampuni ya SKOL ( 10% kwa kuwapa kazi labda)
5.Akiwa waziri kaitia hasara serikali ya 3bilioni kwenye kesi ya kukamata meli ya samaki
6.Akiwa waziri kabainika kwenye report ya CAG ya mwaka huu kuwa 250bilioni hazijulikani ziliko wizarani kwake
7.Akiwa waziri kampuni ya Aashlef iligoma kumpa 10% wakati wa ujenzi wa barabara ya iringa-dodoma na akiifuuza kazi.
8.Akiwa waziri alionekana kwenda samunge kunywa kikombe kwa maradhi ambayo hayajulikani haswa anaumwa nini na hili ni hatari kwa taifa.
mengine yataendeleeeaaaa
Usiseme hamdanganyiki sema mmeshachagua wa kuwadanganya, na kwa muonekano wake wewe actor mamvi kishawashika masikio. Siasa zote maigizo tu ili mradi muwaweke wanaowafanyia shoo madarakani utajifunza siku moja.
NI KATIKA KAKAO CHA UVCCM DAR ES SALAAM JANA
Dk Magufuli alisema baadhi ya wapinzani ni waigizaji wakubwa ambao wamesomea uigizaji na wataufanya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kutawaliwa na mbwembwe na maigizo mengi.
Alisema kazi kubwa ya CCM ni kukabiliana na mbwembwe na maigizo hayo ili kuyashinda.
Magufuli alisema CCM siyo watu wa matumaini, bali ni watu wa maendeleo na safari ya uhakika.
Alisema wapinzani wa CCM sasa wameanza kunukuu kila kitu hasa nyimbo za chama.
Aliwaambia vijana hao: Katika mchakato huu na katika uchaguzi wa mwaka huu kuna mbwembwe nyingi, kuna mbinu nyingi na kuna maigizo mengi hasa kwa sababu wako wengine walisomea maagizo. Kwa hiyo tuna wajibu wa pamoja kuyashinda haya maigizo.
source (mwananchi 17 .08. 2015)
Watanzania wa Leo hatudanganyiki . Lowassa forever.
The thing ni kwamba ccm wanadhani watanzania ni wale wa mwaka 1961,too late makufuli
NI KATIKA KAKAO CHA UVCCM DAR ES SALAAM JANA
Dk Magufuli alisema baadhi ya wapinzani ni waigizaji wakubwa ambao wamesomea uigizaji na wataufanya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kutawaliwa na mbwembwe na maigizo mengi.
Alisema kazi kubwa ya CCM ni kukabiliana na mbwembwe na maigizo hayo ili kuyashinda.
Magufuli alisema CCM siyo watu wa matumaini, bali ni watu wa maendeleo na safari ya uhakika.
Alisema wapinzani wa CCM sasa wameanza kunukuu kila kitu hasa nyimbo za chama.
Aliwaambia vijana hao: Katika mchakato huu na katika uchaguzi wa mwaka huu kuna mbwembwe nyingi, kuna mbinu nyingi na kuna maigizo mengi hasa kwa sababu wako wengine walisomea maagizo. Kwa hiyo tuna wajibu wa pamoja kuyashinda haya maigizo.
source (mwananchi 17 .08. 2015)
huyu anaanza mdomo wakati ana madudu kibao
1.Kamzalisha mwanafunzi wa Geology pale UD anaiwa Sundi
2.Kamuuzia Sundi nyumba ya serikali kwa 170,000/= TZS
3.Akiwa waziri alikuwa analala mabibo Hostel kwa Sundi bila kificho
4.Akiwa waziri kamjengea kimada nyumba Kunduchi Mtongani na mkandarasi ni kampuni ya SKOL ( 10% kwa kuwapa kazi labda)
5.Akiwa waziri kaitia hasara serikali ya 3bilioni kwenye kesi ya kukamata meli ya samaki
6.Akiwa waziri kabainika kwenye report ya CAG ya mwaka huu kuwa 250bilioni hazijulikani ziliko wizarani kwake
7.Akiwa waziri kampuni ya Aashlef iligoma kumpa 10% wakati wa ujenzi wa barabara ya iringa-dodoma na akiifuuza kazi.
8.Akiwa waziri alionekana kwenda samunge kunywa kikombe kwa maradhi ambayo hayajulikani haswa anaumwa nini na hili ni hatari kwa taifa.
mengine yataendeleeeaaaa
Maigizo ni Kila kitu chochote ambacho si halisi, kwa mfano kwenye mpira wa miguu, uki-FUNGA GOLI kwa MKONO, Hilo ni igizo, siyo halisi kwa maana ya sheria za soka!NI KATIKA KAKAO CHA UVCCM DAR ES SALAAM JANA
Dk Magufuli alisema baadhi ya wapinzani ni waigizaji wakubwa ambao wamesomea uigizaji na wataufanya Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu kutawaliwa na mbwembwe na maigizo mengi.
Alisema kazi kubwa ya CCM ni kukabiliana na mbwembwe na maigizo hayo ili kuyashinda.
Magufuli alisema CCM siyo watu wa matumaini, bali ni watu wa maendeleo na safari ya uhakika.
Alisema wapinzani wa CCM sasa wameanza kunukuu kila kitu hasa nyimbo za chama.
Aliwaambia vijana hao: Katika mchakato huu na katika uchaguzi wa mwaka huu kuna mbwembwe nyingi, kuna mbinu nyingi na kuna maigizo mengi hasa kwa sababu wako wengine walisomea maagizo. Kwa hiyo tuna wajibu wa pamoja kuyashinda haya maigizo.
source (mwananchi 17 .08. 2015)
Magufuli hajuhi siasa... Yaani yeye anafikiri siasa ni kujua kuchanganya chemicals...?? Siasa ni sayani na sanaa kwa wakati mmoja...
Akinyamazaga anaonekana kama mwenye busara... Ishu inakuja akianza kuongea..
Nimemdharau sana Mr. JohnWalker Alcohol Mapadlock...Labda angeendelea kutembea na sururu kwenye gari kukagua ubora wa barabara...!!!