Magufuli kila kitu unaiga UKAWA

Magufuli kila kitu unaiga UKAWA

Malilambwiga

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2015
Posts
485
Reaction score
296
Wana jamvi nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupata Ilani za ccm na ukawa.

Cha kushangaza ni kwamba mgombea wa ccm kila kinachofanywa na ukawa ana copy na ku pest.

Alianza na M4C na sasa ametengeneza matangazo ya Tv kuonyesha mgambo wanavyomwaga vyakula vya mama lishe baada ya kuona mgombea wa ukawa akinadi sera za kuwajali makundi hayo.

Najiuliza Ilani ya ccm ni miongoni mwa vitabu vikubwa mbona ameibwaga chini na kushikia bango mbinu za mwenzake.

Kweli mziki wa lowassa ni kiboko.
 
ccm ni ile ile ya miaka yote.... weka mbali na watanzania!
 
wana jamvi nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupata ilani za ccm na ukawa.

Cha kushangaza ni kwamba mgombea wa ccm kila kinachofanywa na ukawa ana copy na ku pest.

Alianza na m4c na sasa ametengeneza matangazo ya tv kuonyesha mgambo wanavyomwaga vyakula vya mama lishe baada ya kuona mgombea wa ukawa akinadi sera za kuwajali makundi hayo.

Najiuliza ilani ya ccm ni miongoni mwa vitabu vikubwa mbona ameibwaga chini na kushikia bango mbinu za mwenzake.

Kweli mziki wa lowassa ni kiboko.
unaanindika ujinga gani huu,hukuwa na haja ya kuandika vitu vya kipuuzi kama hivi,so what na ili tugundue nn?
 
Wana jamvi nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupata Ilani za ccm na ukawa.

Cha kushangaza ni kwamba mgombea wa ccm kila kinachofanywa na ukawa ana copy na ku pest.

Alianza na M4C na sasa ametengeneza matangazo ya Tv kuonyesha mgambo wanavyomwaga vyakula vya mama lishe baada ya kuona mgombea wa ukawa akinadi sera za kuwajali makundi hayo.

Najiuliza Ilani ya ccm ni miongoni mwa vitabu vikubwa mbona ameibwaga chini na kushikia bango mbinu za mwenzake.

Kweli mziki wa lowassa ni kiboko.
Mbona hajaharisha jukwaani?!
 
Wana jamvi nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupata Ilani za ccm na ukawa.

Cha kushangaza ni kwamba mgombea wa ccm kila kinachofanywa na ukawa ana copy na ku pest.

Alianza na M4C na sasa ametengeneza matangazo ya Tv kuonyesha mgambo wanavyomwaga vyakula vya mama lishe baada ya kuona mgombea wa ukawa akinadi sera za kuwajali makundi hayo.

Najiuliza Ilani ya ccm ni miongoni mwa vitabu vikubwa mbona ameibwaga chini na kushikia bango mbinu za mwenzake.

Kweli mziki wa lowassa ni kiboko.

Tofautisheni kuiga na mocking
 
Leo nimeshangaa eti magufuli anasema ''wenzangu wa Ukawa wanafanya ishara ya V sasa hii ukigeuza chini na zikawa mbili inakuwa M for Magufuli'', sasa najiuliza huyu mgombea hana think tank au ya kwake ni re active?
 
Chaguweni kufuri la kichina muone likibuma hata funguo yake haifungui
 
Wana jamvi nimefanikiwa kwa kiasi kikubwa kupata Ilani za ccm na ukawa.

Cha kushangaza ni kwamba mgombea wa ccm kila kinachofanywa na ukawa ana copy na ku pest.

Alianza na M4C na sasa ametengeneza matangazo ya Tv kuonyesha mgambo wanavyomwaga vyakula vya mama lishe baada ya kuona mgombea wa ukawa akinadi sera za kuwajali makundi hayo.

Najiuliza Ilani ya ccm ni miongoni mwa vitabu vikubwa mbona ameibwaga chini na kushikia bango mbinu za mwenzake.

Kweli mziki wa lowassa ni kiboko.

Mbona haigi kunjinyea ,kama kila kitu anaiga?
 
'Kila kitu anaiga Ukawa'. Mpaka pushup kaiga? Fisadi ukimwambia piga walau robo pushup upite bila kupingwa hawezi
 
ccm weka mbali ni hatari kama sumu ya panya ina uwa
 
Magufuli haigi vitu vya ukawa kwani ukawa ni sawa na mtoto ambaye hajaanza hata kutambaa huwezi linganisha ccm na ukawa ccm ina watu makini na wenye ujuzi wa hali ya juu hivyo kama kusema magufuli for change unaona ni kucopy basi umepotea nambie ni jina gani la mwana ukawa ambaye anaweza unganisha jina hilo nahiyo log pia kumbuka kuwa ilani ya ccm ni nzuri kuliko ya ukawa kwani inaelezea nini kilichofanyika na nini bado hakija fanyika na ukawa inaeleza nini itafanya na pia ni ilani inayobeza mambo mazuri yaliyofanywa na ccm hiyo ndiyo ilani ya ukawa
 
Hivi Ilani ya ukawa inaeleza nini kuhusu masuala ya mambo ambayo yameisha fanyika zaidi ya kejeri na dharau ni kwambie wananchi sasa wanaelimika kila kukicha na wanaelewa kuwa lowasa siyo chochote
 
Back
Top Bottom