Magufuli kazaliwa Migodi ya Matabe Chato; anajua changamoto na ugumu wa maisha ya migodini

R.B

JF-Expert Member
May 10, 2012
6,296
2,573
Magufuli kazaliwa Migodi ya Matabe Chato; Tupo tayari kwa passive resistance vs Acacia.

Nikutie moyo Raisi Magufuli, najua umezaliwa Chato ambapo kuna mgodi wa dhahabu wa Matabe - ukiwa unapita Chato mjini kwa mbele utaoma mchanga mwingi na nyumba za matenti au turubali.

Najua changamoto na ugumu wa maisha ya migodini unayajua.

Tumeambulia:-

UKIMWI

UMALAYA

HALI NGUMU YA MAISHA WATU WA MIGODINI

UKAME;

MATAJIRI WALIOIJENGA MWANZA KWA PESA ZA MADINI WOTE WAMEFILISIKA BAADA YA KUTIMULIWA MIGODINI KISA UWEKEZAJI. NYEUNGE, SHERATON N.K

Wanachofanya wenye migodi ni kuchangisha pesa za UKIMWI mlima Kilimanjaro.

Mgodi wa Tulawaka haujulikani mkoani Kagera ingawa upo mkoa Kagera; Hatuuzi nyanya wala nyama migodini, siku za weekend ndege inaruka toka mgodini hadi Dar ; wafanyakazi wanaspend Dar.

Sisi tunaomba kura watu wa migodini kama wawekezaji tunawahitaji ili wanaowaunga mkono Acacia waipate habari.

Watu wa ukanda wa Gold tupo radhi kuunga mkono Raisi wetu through PASSIVE RESISTANCE;

TUMESHINDA VITA TOKA MAJIMAJI, UHURU,VITA YA AMIN, NZUWANI, M23----- TUPO RADHI KUFUNGA MKANDA
 
Wewe huelewi hata maana ya mgodi. Mgodi wa Matabe unamilikiwa na nani? Ni leseni namba ngapi? Uzalishaji wake upoje? Katika kumbukumbu zote hakuna mgodi wa Matabe.

Pale kulikuwa na uchimbaji holela uliokuwa unafanywa na Watanzania bila kufuata sheria wala taratibu zozote.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hii ni shida,sasa hao wawekezaji mnawataka hamuwataki?Unapoteza muda umeandika upuuzi mtupu
 
Angejua ugumu wa maisha. Basi zile ajira za walimu na madakitari asingezipiga panga kweupe. Mm huwa namuona km dikiteta fulani hivi tena uchwara
Kiongoz gani unakula rambi rambi?
 
Hakuna hata siku moja amewahi simama bungeni nakuwakemea wawekezaji kuwanyang'anya machimbo ya matambe chato na ambalo lilikuwa jimbo lake kwa miaka 20.....leo anatafuta attention ya watz kuwa tumenyonywa DAH!!!!!!!
 
Hakuna hata siku moja amewahi simama bungeni nakuwakemea wawekezaji kuwanyang'anya machimbo ya matambe chato na ambalo lilikuwa jimbo lake kwa miaka 20.....leo anatafuta attention ya watz kuwa tumenyonywa DAH!!!!!!!
waziri haruhusiwi
 
upload_2017-6-1_11-26-1.jpeg
 
Back
Top Bottom