Lowassa anasifiwa kwa kutowajibu wanaomtuhumu kwa ufisadi, lakini mimi naona Magufuli ndo anastahili sifa zaidi. Kwa sababu zifuatazo;
1. Lowassa ana kashfa moja ya ufisadi, ambayo ni Richmond, licha ya kukaa kimya kwa muda mrefu, amesema huo ulikua ni mradi wa Kikwete.
2. Magufuli ana kashfa kadhaa za ufisadi,
A. Kuuza nyumba za serikali kwa hawala yake na mdogo wake
B. Kupiga hela kwenye ununuaji wa boat mbovu ya kwenda Bagamoyo
C. Kupiga fedha kwenye mradi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi
D. Upotevu wa Mabilioni yasiyo wizarani kwake.
Lakini Magufuli hajawahi kujibu hata moja, hii inaonyesha kwamba ana busara zaidi kuliko Lowassa.
1. Lowassa ana kashfa moja ya ufisadi, ambayo ni Richmond, licha ya kukaa kimya kwa muda mrefu, amesema huo ulikua ni mradi wa Kikwete.
2. Magufuli ana kashfa kadhaa za ufisadi,
A. Kuuza nyumba za serikali kwa hawala yake na mdogo wake
B. Kupiga hela kwenye ununuaji wa boat mbovu ya kwenda Bagamoyo
C. Kupiga fedha kwenye mradi wa barabara ya mabasi yaendayo kasi
D. Upotevu wa Mabilioni yasiyo wizarani kwake.
Lakini Magufuli hajawahi kujibu hata moja, hii inaonyesha kwamba ana busara zaidi kuliko Lowassa.