Magufuli kamzidi Lowassa kwa hili

Magufuli kamzidi Lowassa kwa hili

Nakuhurumia sana MUSSA ALLAN. Sijui baada ya keshokutwa utaelekea wapi? Je utamfuata Lowasa Monduli kuchunga ng'ombe?
Mkuu kila siku nakushauri uangalie namna ya kutafuta kibarua kingine, hiki cha kuipigia chapuo CCM hapa JF, Kinakoma jumapili!
 
Kama ulikuwa mradi wa Kikwete naye lowasa hakutaka kumkatalia wewe huoni kama huyu mtu naye siyo mwadilifu? Kwanini hakutaka kujiuzulu au ndiyo alipenda sana kile kilichomfanya apige kimya?

waziri haruusiwi kusema mambo ya rais wake. yeye ndie anayebeba mabaya ya rais kama nyerere na kawawa.
 
Mkuu kila siku nakushauri uangalie namna ya kutafuta kibarua kingine, hiki cha kuipigia chapuo CCM hapa JF, Kinakoma jumapili!
Pole sana ndugu. Mwisho wako kuonekana hapa ni keshokutwa. Baada ya hapo sijui utajificha nani
 
Tushafanya maamuzi sieeee Lowasa ndie chaguo letu we huko kwenu sawa tu subirini kunyolewa jpl .na kuhusu Richmond kasema mwenyewe ushahidi aende mahakamani so yupoooo mbona hamumkamati mwapiga keleleee?
 
waziri haruusiwi kusema mambo ya rais wake. yeye ndie anayebeba mabaya ya rais kama nyerere na kawawa.

Mkuu hii iko kikatiba au basi ni mazoea tu ya hapa tanzania..kwamba hata rais akiwa analipeleka taifa kubaya na waziri mkuu hakubaliani nae inambidi akae kimya tu?
 
Hilo fisadi lenu lijiandae kwenda kuchunga ng'ombe.
halafu ma hizo ng'ombe alizowazulumu wameru tutazirudisha mikononi mwa wameru
 
JPM pia hana chochote cha kunishawishi kwamba anaweza badili mfumo uliopo.. Sababu haujui mfumo anaouzungumzia..
 
Anayemshabikia EL, akapimwe akili by Mwasigwa
 
Back
Top Bottom