jana jioni lilikuwepo zogo na vijikao pale MANZESE BIG BRAZA, personally nilikuwepo
1.Ushirika wa soko litakiwa kubomoa wenyewe line (mabanda) ya mbele tu kwani vimejengwa chini ya 3 phase umeme.
2.Waliwekeana deadline mara nnee ila viongozi wa soko walicheza rafu (rushwa) na wamiliki wa front line banda ambao ndio hasa matajiri wa hilo soko wasikubaliane na hiyo oda ya kubomoa
3.Manispaa waliwataarifu viongozi wa soko kuwa wanamhofia MAGUFULI in case akifika Manzese kwa hiyo wawai kutekeleza hiyo oda.Again viongozi wa soko wakakaa kimya kwa washirika wao.
4.Manispaa ikaamua kuvunja soko lote na siyo front line vibanda kwa kuwa ni hifadhi ya barabara
HAPO MAGUFULI HANA LAWAMA NA WANASOKO WANAWALAUMU KWA UWAZI VIONGOZI WAO WA SOKO WALIOKULA RUSHWA ILI FRONT LINE BANDA ZISIVUNJE
1.Ushirika wa soko litakiwa kubomoa wenyewe line (mabanda) ya mbele tu kwani vimejengwa chini ya 3 phase umeme.
2.Waliwekeana deadline mara nnee ila viongozi wa soko walicheza rafu (rushwa) na wamiliki wa front line banda ambao ndio hasa matajiri wa hilo soko wasikubaliane na hiyo oda ya kubomoa
3.Manispaa waliwataarifu viongozi wa soko kuwa wanamhofia MAGUFULI in case akifika Manzese kwa hiyo wawai kutekeleza hiyo oda.Again viongozi wa soko wakakaa kimya kwa washirika wao.
4.Manispaa ikaamua kuvunja soko lote na siyo front line vibanda kwa kuwa ni hifadhi ya barabara
HAPO MAGUFULI HANA LAWAMA NA WANASOKO WANAWALAUMU KWA UWAZI VIONGOZI WAO WA SOKO WALIOKULA RUSHWA ILI FRONT LINE BANDA ZISIVUNJE