DuppyConqueror
JF-Expert Member
- Mar 30, 2014
- 9,466
- 6,970
Wewe lazima utakuwa Munyamurenge...tutawapiga tu, ardhi yetu hampati!!Everyone knows utawala wa CCM ndio kizingiti nambari moja ukuwaji wa EAC.
Wewe lazima utakuwa Munyamurenge...tutawapiga tu, ardhi yetu hampati!!Everyone knows utawala wa CCM ndio kizingiti nambari moja ukuwaji wa EAC.
Ukimya wao kuanashiria kutoridhika na mwenendo wa uchaguzi.Kuhudhuria kwao kuapishwa Magufuli hivi leo ni staili ya basi tuu tutimize wajibu jirani huyu. Kufutwa uchaguzi Zanzibar kumechukiza wengi.
We ni mburula.
Unawasubiri watu ambao nchini kwao demokrasia ishasahaulika.
Yaani unataka mpaka mseveni naye afurahie namna uchaguzi wa tanzania ulivofanyika.
Unajua uchaguzi wa uganda huwa unafanyikaje?
Unajua mambo anayowafanyia wapinzani wake kina byesige na mbambazi?
Kama unadhani upinzani unaminywa tanzania hebu kabip uganda uone.
Na kama unadhani polisi wa tanzania wanatumiwa vibaya na serikali basi kabip wale wa uganda upate dozi mujarabu kabisa
acha kumtisha bana kwani idadi ya wabunge wa upinzani uganda ni sawa hapa kwako.mnakwiba bila huruma, one day yes
We ni mburula.
Unawasubiri watu ambao nchini kwao demokrasia ishasahaulika.
Yaani unataka mpaka mseveni naye afurahie namna uchaguzi wa tanzania ulivofanyika.
Unajua uchaguzi wa uganda huwa unafanyikaje?
Unajua mambo anayowafanyia wapinzani wake kina byesige na mbambazi?
Kama unadhani upinzani unaminywa tanzania hebu kabip uganda uone.
Na kama unadhani polisi wa tanzania wanatumiwa vibaya na serikali basi kabip wale wa uganda upate dozi mujarabu kabisa
Hizo salamu zilipotajwa sikujua ni nchi gani wanamaanisha.Ndiyo,waarabu wenye kanchi kao ndani ya serengeti "The Emirate Empire of Loliondo" EAST AFRICA.
Hako kanchi kajiunge tu na EAC.
U CCM wako unakuvuruga akili kweli.Upuuzi wa kufutwa uchaguzi Zanzibar bado tu unaamini Tanzania ipo demokrasia.
Sababu ni moja tu! Kilichofanyika Tanzania haikuwa wizi wa kura tu..... Hapana! Ilikuwa Robbery With Violence (Wizi wa kimabavu)! Kama kweli Makifuli alishinda kwa kura kulikuwa na haja gani serikali kuyavamia vituo vya UKAWA vya kujumlisha kura? Kulikuwa na haja gani ya kuivamia ile shirika isiyo kiserikali (NGO) ambayo ilikuwa ikifuatilia mchakato wote was upigaji kura?
Tanzania imekua ikijionyesha kama nchi inayoongoza kwa kukuza demokrasia na amani Afrika Mashariki tofauti na Rwanda, Burundi, Kenya na Uganda. Katika uchaguzi wa Oct 25 serikali ya Kikwete walionyesha Ulimwengu wote their true colours. Kama viongozi wa upinzani walivyosema huu ulikuwa ubakaji wa demokrasia.
Iweje unatangazwa mshindi hakuna wa kushangilia?
Believe me the legitimacy of Magufuli presidency is in question the world over. Am eagerly waiting to see who'll attend the inauguration ceremony! Binafsi nasema hayajaisha...
Simtishiii.
Acha upofu.
Uganda sio nchi ya kwenda kujifunzia demokrasia.
Na hapo sio hata habari ya wizi...
Unataka kweli tukajifunze demokrasia kwa mseveni?
Na unataka tusubiri pongezi ya mseveni?
Si usubiri uone kama atakuja mtu siku ya kuapishwa kwa jamaa...
Mzalendo.....????Uzalendo huku ukilazimishwa wa kukutawala?Tunataka vingozi c watawala.Kusherekea ama kukaa kimya has nothing to do with the fate of Tanzanians...ungekuwa mzalendo ungeungana na watanzania wengine kusherekea kuapishwa kwa rais Magufuli siyo kukaa humu una bwabwaja....maana hakuna namna ni kumpa ushirikiano...by the way nasikia marais 8 watahudhuria malofa wamesusia
Si usubiri uone kama atakuja mtu siku ya kuapishwa kwa jamaa...
Mpo?
Kwa kawaida mgombea akishinda uchanguzi upongezwa.Lakini hii ni kinyume na rais mteule wa TZ. Sijapata kusikia rais wa Kenya, Uganda, Rwanda au Burundi akimpongeza Bw. Maguufuli kwa ushindi wake.
Huenda hawampendi? Ama hawafagilii namna alivyoshinda uchanguzi? Au wana sababu zao?
Kusherekea ama kukaa kimya has nothing to do with the fate of Tanzanians...ungekuwa mzalendo ungeungana na watanzania wengine kusherekea kuapishwa kwa rais Magufuli siyo kukaa humu una bwabwaja....maana hakuna namna ni kumpa ushirikiano...by the way nasikia marais 8 watahudhuria malofa wamesusia
Hebu toa mfano mmoja ku-defend hoja yako! Au ile ya kukataa matumizi ya vitambulisho kuwa hati halali ya kusafiria? Au ile ya kui-criticize CoW ambayo haikuwa na manufaa yoyote kwetu? Au ile ya kudhibiti watu waende watakako kwa kisingizio cha labor mobility? Hebu toa mifano ya kuthibitisha hoja yako manake nina hofu hata ikiwa timeline ya EAC unaifahamu vizuri!!!Everyone knows utawala wa CCM ndio kizingiti nambari moja ukuwaji wa EAC.
Mpo?
Kwa kawaida mgombea akishinda uchanguzi upongezwa.Lakini hii ni kinyume na rais mteule wa TZ. Sijapata kusikia rais wa Kenya, Uganda, Rwanda au Burundi akimpongeza Bw. Maguufuli kwa ushindi wake.
Huenda hawampendi? Ama hawafagilii namna alivyoshinda uchanguzi? Au wana sababu zao?