MTK
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 8,925
- 6,850
Una matatizo ya kusikia au kuelewa wéwe sio bure! tafuta ushauri wa daktari.Ni kweli aliyasema Leo wakati wanazindua ujenzi wa barabara wakiwa na marais wa EAC. Jamaa anaongea kinachokuja mdomoni tu
Una matatizo ya kusikia au kuelewa wéwe sio bure! tafuta ushauri wa daktari.Ni kweli aliyasema Leo wakati wanazindua ujenzi wa barabara wakiwa na marais wa EAC. Jamaa anaongea kinachokuja mdomoni tu
Okey nitamtafuta mkuuUna matatizo ya kusikia au kuelewa wéwe sio bure! tafuta ushauri wa daktari.
Mm mdau, mimi ni mmoja wa wale wasiunga mkono style ya JPJM huku nikifurahiswa na matokeo ya style hiyo. Hata hivyo, nafikiri umemwelewa JPJM visivyo. Nilichosikia amesema ni kwamba wananchi hawahitaji vyama bali wanahitaji maendeleo. Huu ni ukweli mtupu japo ni rahisi kumwelewa ulivyomwelewa.
Kwa nyongeza tu, JPJM si mwana siasa na si mwana diplomasia na akiachwa kuzungumza bila manuscript (extemporaniously) lazima utarajie kuwa ataropoka, na ndivyo alivyofanya leo.
Tulimchagua wenyeee! Sasa tumvumilie!
Sio kila kinacholetwa na wazungu ni lazima ukipokee, mbona nchi nyingi za kiafrika zinaupinga ushoga hadharani?. Tuhubiri maisha chanya yenye muelekeo chanya na sio yale yanayoongozwa na uhasama wa kipuuzi.Hata hii ICT unayotumia imeletwa na wazungu, mwaafrika jpm amewahi kuleta nini, nenda kalipwi kwa kupotosha
Katika nchi hii na kwa katiba hii iliyochoka na kuchokwa; na kwa sheria zilizopo opinion za "kitengo kilimchagua nani" null and void yaani ni irrelevant. Huwezi kuwaambia wananchi waliunga mstari wakapiga kura kuwa "kitengo" kilikuwa na mtu wake na eti kupiga kura ni kubariki tu mambo ya "kitengo". Baada ys "Kivuitu" wetu kumtangaza JPJM tunasema watanzania wamemchagua. Na zingatia pia kuwa si lazima JPJM awe chaguo la Mungu ila Ameruhusu tuongozwe naye kama wana wa Israeli walivyo mng'ang'ania Sauli na Mungu akaruhusu.Na kitengo kilimchagua nani?
Unataka kusema Tanzania hufanya uchaguzi?
Nimewasikia wengi wanasema Kivuitu kwa kawaida huwa ana mshindi wake mfukoni, anachofanya ni maigizo tu. Kama "tulimchagua" mgombea ambaye "si mwanasiasa" basi Tanzania ni nchi ya DOMOkrasia la kweli.
Kutii tu wakati unajua uvuitu na ukitengo umefanyika ni upoyoyo. Kama hujui maana ya upoyoyo itisha NyaniNgabu akusaidie.Katika nchi hii na kwa katiba hii iliyochoka na kuchokwa; na kwa sheria zilizopo opinion za "kitengo kilimchagua nani" null and void yaani ni irrelevant. Huwezi kuwaambia wananchi waliunga mstari wakapiga kura kuwa "kitengo" kilikuwa na mtu wake na eti kupiga kura ni kubariki tu mambo ya "kitengo". Baada ys "Kivuitu" wetu kumtangaza JPJM tunasema watanzania wamemchagua. Na zingatia pia kuwa si lazima JPJM awe chaguo la Mungu ila Ameruhusu tuongozwe naye kama wana wa Israeli walivyo mng'ang'ania Sauli na Mungu akaruhusu.
Sisi wajibu wetu ni kuitii mamlaka ya serikali ya JPJM licha ya utashi a itikadi zetu za kidini na au kisiasa.
Ni kweli aliyasema Leo wakati wanazindua ujenzi wa barabara wakiwa na marais wa EAC. Jamaa anaongea kinachokuja mdomoni tu
Tunakushukuru sana mkuu .Anasema kinachohitajika ni maendeleo ya wananchi. Km kuna wengine bado wanategemea democracy Tz labda waombe wawepo baada ya miaka 200 ijayo. Vinginevyo tafuteni njia nyingine, inawezekana tuna laana au kuna makosa ya evolution kwa waafrika
Bado unaamini aliwekewa maneno kinywani ?Naona mnamuwekea JPM maneno kinywani kwake. Sitegemei na siamini raisi awe na ufinyu wa kufikiri kiasi hicho.
Haya aliyasem zairi shairiAnasema kinachohitajika ni maendeleo ya wananchi. Km kuna wengine bado wanategemea democracy Tz labda waombe wawepo baada ya miaka 200 ijayo. Vinginevyo tafuteni njia nyingine, inawezekana tuna laana au kuna makosa ya evolution kwa waafrika
ime will tellNguvu ya UMMA itahusika! Haki haiombwi! Inadaiwa! Vinginevyo abadilishe katiba!
Wew ni mpumbavu kabisa huwezo tetea ukoloni tukakuchekea mbwa kabisaYupo sahihi kabisaaa!!!
Afrika hakuna Demokrasia
Hakuna demokrasia,kwasababu demokrasia haiwezi kutekelezwa na watu au vyama vyenye uchu wa madaraka kama CCM.
Heri wakoloni waje,si kututawala tena
Bali waje kutufundisha demokrasia kwa vitendo,
Hata dhahabu tutawapa.
Waafrika hatuna laana,tuna ujinga wa kurithi.
Ujinga mpaka kwenye damu.
Erythrocyte asante kwa kunikumbusha. Niruhusu nisijibu wewe fanya tafakuri tu utanipata.Bado unaamini aliwekewa maneno kinywani ?
Nimekuruhusu mjomba .Erythrocyte asante kwa kunikumbusha. Niruhusu nisijibu wewe fanya tafakuri tu utanipata.
Kwanini unasema sio mwanasiasa!!!? Mbona kabla ya urais alikuwa mbunge? Na nijuavyo mimi ubunge ni siasa per se.Mm mdau, mimi ni mmoja wa wale wasiunga mkono style ya JPJM huku nikifurahiswa na matokeo ya style hiyo. Hata hivyo, nafikiri umemwelewa JPJM visivyo. Nilichosikia amesema ni kwamba wananchi hawahitaji vyama bali wanahitaji maendeleo. Huu ni ukweli mtupu japo ni rahisi kumwelewa ulivyomwelewa.
Kwa nyongeza tu, JPJM si mwana siasa na si mwana diplomasia na akiachwa kuzungumza bila manuscript (extemporaniously) lazima utarajie kuwa ataropoka, na ndivyo alivyofanya leo.
Tulimchagua wenyeee! Sasa tumvumilie!
Bado unashauri apewe muda. Hii post yako toka Mwezi wa 3Khaaa...... embu tumpe muda afanye kazi... maana vitu vingine vinachanganya kweli