Waziri WA misitu na Mali asili.akalinde faruAlipaswa kuwa waziri wa ujenzi. Mambo ya kutafuta hela hayawezi.
Which God?A president is next to God...!!
Inaonekana mmepunguza maombi, mwenyewe anawasisitiza kila wakati mumuombee hamumuelewi. Zidisheni maombi ndugu. Hili suala la Hapa kazi tu ni gumu, bila maombi kwa Mungu ni zigo la misumari.
Napigia mstari jibu lako Na rangi ya gold star....Hafai hata kuwa mganga wa kienyeji
Swissme
Mwaka wa 2 huu yuko Magogoni lakini bado anaongea neno hilohilo akifikiri bado yuko kwenye kampeni za uchaguzi, sorry!Kila ninapomsikia Magufuli akisema Sitawaangusha nabaki kucheka tu.
Sote tunajua Magufuli anataka kuwa rais kwa 'ajali' tu..hana dira wala maono ya kiongozi mkuu wa nchi zaidi ya kusubiri ilani ya CCM kama anavyosema kila siku.Kwa kukosa dira binafsi ni wazi atatuangusha tu kwa sababu HAKUJIANDAA.
Heshima kwako mkuu, bado unaamini ulikuwa sahihi hadi leo au unaungana na mleta uzi?Atakapoanza kampeni tarehe 22 mwezi huu ndipo mtajua kuwa jamaa alikuwa amehifadhi nondo a.k.a madini yake na atakuwa akiyatoa hadi nyie watu wa chadema na ukawa mtabadili uamuzi na mtampigia kura wenyewe. Kwani si hata mkapa alipopitishwa na ccm mlikuwa mnamdharau hivi hivi lakini aliposhika tu nchi je mafanikio tuliyaona au hatukuyaona? Psychologically binadamu wamegawanyika katika makundi haya mawili ya kitabia " extroverts " na " introverts " ambapo extroverts ni waropokaji, wazungumzaji na wataka sifa na publicity na hapa lowassa wenu ndiyo mahala pake lakini introverts huwa ni wataratibu, wana uhakika, wanajiamini na huwa na upeo mkubwa na akili nyingi na hapa magufuli ndiyo mahala pake.
Heshima kwako mkuu, bado unaamini ulikuwa sahihi hadi leo au unaungana na mleta uzi?
Kila ninapomsikia Magufuli akisema Sitawaangusha nabaki kucheka tu.
Sote tunajua Magufuli anataka kuwa rais kwa 'ajali' tu..hana dira wala maono ya kiongozi mkuu wa nchi zaidi ya kusubiri ilani ya CCM kama anavyosema kila siku.Kwa kukosa dira binafsi ni wazi atatuangusha tu kwa sababu HAKUJIANDAA.