Lisemwalo lipo
That's all i can saySaying it so doesn't make it so.
Heshima ni kwa kila mtu/mwanadamu sio kiongozi pekee, tambua na thamini thamani yako. Hata wewe unaweza kuwa rais wa kesho. Huwa naona ni upumbavu sana mtu kudhani kiongozi anatakiwa kuthaminiwa sana kuliko watu wengine, wote tumeumbwa sawa, ndio mana kila mtu anakula, anakojoa, anakunya, n.kKuwa na heshma kwa kiongozi wa nchi. Tumia lugha ya busara. Kama una hoji ungeomba tu ushahidi wa tuhuma na sio kutaka majina ya nani sijui. Watu wanajua lakini kufanya hivyo ni kumdhalilisha. Tumkosoe lakini tusimdhalilishe
Hili ni CCM damu, rudia andiko utalielewa. CCM kufa na kupona, anatoka usukumani angalia kijiji hiki kiko wapi.....Ikungulyabashashi, ni homeboy, mwelewe vizuri.sijajua lengo lako! unachichea uchochezi au?
That's all i can say
Kabula aka Kebby's Hotel.Mdogo wake ndo kimada?
Kwa muda mwingi sasa kumekuwepo na minong'ono kuwa Rais Magufuli pindi akiwa waziri aliwahi kuuza nyumba za serikali kwa bei za kutupwa na kwamba pia aliwahi kumgaia/ kuwagaia kimada/vimada wake mojawapo ya hizo nyumba.
Inasemekana kuwa hilo zoezi zima lilikuwa ni la kifisadi, jambo ambalo linamfanya Magufuli naye awe mmojawapo wa kubwa la mafisadi, kinyume kabisa na anavyojipambanua kuwa ni mpinga ufisadi.
Sasa inawezekana labda huyo kimada au hao vimada wanajulikana lakini ni mimi tu na/au wengine walio wachache ndo hatumjui/ hatuwajui.
Huyo kimada au hao vimada ni akina nani? Anaitwa au wanaitwa nani na wanaishi wapi na wanafanya kazi wapi?
Hiyo nyumba au hizo nyumba walizopewa na Magu nazo ziko wapi na [1] kuna ushahidi gani unaoonyesha na kuthibitisha kuwa kweli yeye au wao ni vimada wake na [2] alipewa au walipewa bure hizo nyumba?
Kwa ufupi mimi naamini hakuna...!
Anayeamini wapo na hizo nyumba zipo ataje humu!
What i mean is try to google. Then nenda bamaga for futher info'sStill, it doesn't make it so.
Mbona kichwa cha habari na contents haviendani?