Magufuli epuka majaribu, ruhusu UKUTA kuepuka mtego

Imani2

Member
May 6, 2014
93
43
MAGUFULI EPUKA MAJARIBU, RUHUSU UKUTA KUEPUKA MTEGO

Mh Rais kama unapitiaga huku, nikushauri kidogo na kwa ufupi tu jinsi ya kuruka huu mtego wa UKUTA uliojitengenezea mwenyewe kwa kutotazama mambo katika mapana yake.

Inavyoonekana Maandamano ya UKUTA yatafanyika Sept Mosi, sio kauli za viongozi wala mazoezi ya polisi yatakayorudisha maandamano hayo nyuma. Vyama vya upinzani vinaamini kabisa kuwa polisi watatumia nguvu na hata kuumiza ama kuua watu na wamejipanga kuhakikisha vurugu zozote zitakazotokea zitapewa coverage ya vyombo vya habari hasa international media. Mashirika ya habari ya kimataifa yamejipanga kukuza hiyo habari zaidi ya unavyofikiria. Kumbuka tumeshawaudhi baadhi ya nchi kubwa kwa kuwachunia na kuwabania maslahi nchini. Watafurahi sana wakipata pa kuanzia kukuweka madoa na kuku-destabilise. Wakati ule wa kusaini tu sheria ya makosa mtandaoni, nchi zaidi ya 10 za magharibi zililaani hilo na hata kupelekea kunyimwa misaada fulani. Wanakucheki tu. Kuna watu wengi wanatamani sana mambo yakuharibike uonekane huwezi kuongoza.

Lengo lako ni zuri, tunahitaji kufanya kazi, tuna deni kubwa la Taifa la kulipa, hatuna pesa za kulipia huduma za jamii. Kila kona umekuta mambo ni hewa, hewa tu. Binafsi naamini watanzania wengi wa kawaida wanahitaji zaidi uhakika wa chakula, maji, makazi kuliko haki ya maandamano ama majumuiko. Ila haki za majumuiko ni muhimu pia, kinachotakiwa ni utaalam wa ku ”manage” ili zisikutoe kwenye mstari.

Cha kufanya sasa ni kuhakikisha maandamano ya UKUTA yanafanyika kwa amani na kwa msaada mkubwa wa vyombo vya usalama. Ndio fanya hivyo. Sasa hivi upinzani unategemea msuguano na vyombo vya dola ili kupata sera ya kujinadi zaidi. Na polisi nao ni vipofu hawaoni hilo. Ukiruhusu Maandamano, niamini, kwanza unashusha mihemko ya watu kwa 50%; watu wengi wataona hakuna jipya, hawatapa kuona ule mkwaruzano waliotegemea, na believe me maandamano yakipewa go ahead, idadi ya wanaotarajia kuandamana itapungua kwa kiasi kikubwa.

Ondokana na hofu ya kuonekana ”umebana, umeachia”, Kwa kuruhusu UKUTA ni positive kwako, na kwa UKUTA sio. Waambie anayetaka kuandamana aende barabarani, aandamane salama, anayetaka kufanya kazi tuonane makazini. Ukiendelea na msimamo wako wa kukataza , halafu wao waka-force kufanya maandamano ni hasara kwako, kwa sababu serikali italazimika kutumia nguvu ili isionekane imeshindwa na pengine kusababisha watu kuumizwa. Tusingependa kuona we Rais wetu , the special one, ukianza kwa kumwaga damu, na hilo ndilo baadhi ya wanasiasa wanaliombea ili kuharibu rekodi, wasifu na sifa nzuri ulizojitengenezea ndani ya muda mfupi. Wanasiasa wa UKUTA hawatajali kuona baadhi wa wananchi wa kawaida wakipoteza maisha kwenye maandamano, kwanza hilo litawasaida kukuza hoja yao ya dikteta asiyeruhusu mikutano ya kisiasa (ikitokea vurugu watu wakaumizwa watsema dikteta muua watu). Hilo ndilo jaribu kubwa liliopo mbele yako


Pia wakanye watendaji wako wasiwe wanadakia kauli zako na kuzifanya zao ama kuzivumisha. Hili linakuharibia maana wakati mwingine wanaishia kukuza ishu au tatizo kuliko hata wewe ulivyomaanisha. Hili ni muhimu kwani wakati mwingine utalazimika kuja kutoa ufafanuzi unaopingana na matamshi wanayotoa na hivyo kuonekana hamshauriani vizuri.
 
Dola ni sawa na Ncha ya Mkuki haikomolewi kwa kuikalia.

Seif Sharif Hamad anajua kilichotokea Zanzibar January 27, 2001 ndio sababu hajashabikia UKUTA
 
Dola ni sawa na Ncha ya Mkuki haikomolewi kwa kuikalia.
Seif Sharif Hamad anajua kilichotokea Zanzibar January 27, 2001 ndio sababu hajashabikia UKUTA

Ndio mkuu Pohamba, ukweli unabaki kuwa serikali in nguvu kubwa na kuna wanasiasa wangetamani serikali itumie nguvu hiyo ili ijiharibie sifa.
 
MAGUFULI EPUKA MAJARIBU, RUHUSU UKUTA KUEPUKA MTEGO

Mh Rais kama unapitiaga huku, nikushauri kidogo na kwa ufupi tu jinsi ya kuruka huu mtego wa UKUTA uliojitengenezea mwenyewe kwa kutotazama mambo katika mapana yake.

Inavyoonekana Maandamano ya UKUTA yatafanyika Sept Mosi, sio kauli za viongozi wala mazoezi ya polisi yatakayorudisha maandamano hayo nyuma. Vyama vya upinzani vinaamini kabisa kuwa polisi watatumia nguvu na hata kuumiza ama kuua watu na wamejipanga kuhakikisha vurugu zozote zitakazotokea zitapewa coverage ya vyombo vya habari hasa international media. Mashirika ya habari ya kimataifa yamejipanga kukuza hiyo habari zaidi ya unavyofikiria. Kumbuka tumeshawaudhi baadhi ya nchi kubwa kwa kuwachunia na kuwabania maslahi nchini. Watafurahi sana wakipata pa kuanzia kukuweka madoa na kuku-destabilise. Wakati ule wa kusaini tu sheria ya makosa mtandaoni, nchi zaidi ya 10 za magharibi zililaani hilo na hata kupelekea kunyimwa misaada fulani. Wanakucheki tu. Kuna watu wengi wanatamani sana mambo yakuharibike uonekane huwezi kuongoza.

Lengo lako ni zuri, tunahitaji kufanya kazi, tuna deni kubwa la Taifa la kulipa, hatuna pesa za kulipia huduma za jamii. Kila kona umekuta mambo ni hewa, hewa tu. Binafsi naamini watanzania wengi wa kawaida wanahitaji zaidi uhakika wa chakula, maji, makazi kuliko haki ya maandamano ama majumuiko. Ila haki za majumuiko ni muhimu pia, kinachotakiwa ni utaalam wa ku ”manage” ili zisikutoe kwenye mstari.

Cha kufanya sasa ni kuhakikisha maandamano ya UKUTA yanafanyika kwa amani na kwa msaada mkubwa wa vyombo vya usalama. Ndio fanya hivyo. Sasa hivi upinzani unategemea msuguano na vyombo vya dola ili kupata sera ya kujinadi zaidi. Na polisi nao ni vipofu hawaoni hilo. Ukiruhusu Maandamano, niamini, kwanza unashusha mihemko ya watu kwa 50%; watu wengi wataona hakuna jipya, hawatapa kuona ule mkwaruzano waliotegemea, na believe me maandamano yakipewa go ahead, idadi ya wanaotarajia kuandamana itapungua kwa kiasi kikubwa.

Ondokana na hofu ya kuonekana ”umebana, umeachia”, Kwa kuruhusu UKUTA ni positive kwako, na kwa UKUTA sio. Waambie anayetaka kuandamana aende barabarani, aandamane salama, anayetaka kufanya kazi tuonane makazini. Ukiendelea na msimamo wako wa kukataza , halafu wao waka-force kufanya maandamano ni hasara kwako, kwa sababu serikali italazimika kutumia nguvu ili isionekane imeshindwa na pengine kusababisha watu kuumizwa. Tusingependa kuona we Rais wetu , the special one, ukianza kwa kumwaga damu, na hilo ndilo baadhi ya wanasiasa wanaliombea ili kuharibu rekodi, wasifu na sifa nzuri ulizojitengenezea ndani ya muda mfupi. Wanasiasa wa UKUTA hawatajali kuona baadhi wa wananchi wa kawaida wakipoteza maisha kwenye maandamano, kwanza hilo litawasaida kukuza hoja yao ya dikteta asiyeruhusu mikutano ya kisiasa (ikitokea vurugu watu wakaumizwa watsema dikteta muua watu). Hilo ndilo jaribu kubwa liliopo mbele yako


Pia wakanye watendaji wako wasiwe wanadakia kauli zako na kuzifanya zao ama kuzivumisha. Hili linakuharibia maana wakati mwingine wanaishia kukuza ishu au tatizo kuliko hata wewe ulivyomaanisha. Hili ni muhimu kwani wakati mwingine utalazimika kuja kutoa ufafanuzi unaopingana na matamshi wanayotoa na hivyo kuonekana hamshauriani vizuri.
UKUTA manake nini wajameni ??what is UKUTA ??. UKUTA inaweza kunitoa kiuchumi mahala nilipo kunipandisha juu zaidi. Itaweza kutusaidia kuongeza kitu kwenye kipato changu cha kila siku. UKUTA ni nini wajameni.
Itaweza kunifanya nijenge nyumba ili niondokane na biashara ya kupanga au itaniwezesha kununua kiwanja.?? Jamani UKUTA ni nini.??? Baada ya UKUTA nitaoweza kuona mabadiliko gani katika maisha yangu na familia yangu. Wajameni UKUTA ni nini? ?? Itaweza kufanya madawa yaongezeke mahospitalini au kuongeza madarasa ya kusomea ya wanafunzi nchi nzima. Wajameni UKUTA ni nini.?? Itaweza kuhakikisha madawati yanaongezeka watoto wetu wasikae chini mashuleni au itatuwezesha kupaa kwenda katika uchumi wa kati. ?? Wajameni nauliza? ?? Kama majibu ya msingi hakuna basi we Better shut up our mouth and do other things. Ndio maana mliambiwa malo.fa na wapumba.f. kwa sababu idea nzima inaonekana ni kutaka kupaisha umaarufu wa watu wachache na of course kuwanyooshea fursa ya kupata ufadhili kutoka kwa hao wanaojiita wafadhili baada ya kuridhika tumechomana mikuki vya kutosha
 
UKUTA manake nini wajameni ??what is UKUTA ??. UKUTA inaweza kunitoa kiuchumi mahala nilipo kunipandisha juu zaidi. Itaweza kutusaidia kuongeza kitu kwenye kipato changu cha kila siku. UKUTA ni nini wajameni.
Itaweza kunifanya nijenge nyumba ili niondokane na biashara ya kupanga au itaniwezesha kununua kiwanja.?? Jamani UKUTA ni nini.??? Baada ya UKUTA nitaoweza kuona mabadiliko gani katika maisha yangu na familia yangu. Wajameni UKUTA ni nini? ?? Itaweza kufanya madawa yaongezeke mahospitalini au kuongeza madarasa ya kusomea ya wanafunzi nchi nzima. Wajameni UKUTA ni nini.?? Itaweza kuhakikisha madawati yanaongezeka watoto wetu wasikae chini mashuleni au itatuwezesha kupaa kwenda katika uchumi wa kati. ?? Wajameni nauliza? ?? Kama majibu ya msingi hakuna basi we Better shut up our mouth and do other things. Ndio maana mliambiwa malo.fa na wapumba.f. kwa sababu idea nzima inaonekana ni kutaka kupaisha umaarufu wa watu wachache na of course kuwanyooshea fursa ya kupata ufadhili kutoka kwa hao wanaojiita wafadhili baada ya kuridhika tumechomana mikuki vya kutosha

Well said..
 
Hiyo ndio point.. Lakini mkuu kumbuka unavyotumia nguvu nyingi kuzima kitu ndo unavyokipa umaarufu...

Nakubaliana na wewe. Tatizo vyombo vyetu vya usalama hawana uelewa huo,
wao wanadhani wanaijenga serikali kwa kudhibiti kwa nguvu zote bila kutafakari namna
ya kusimamia haya matukio , kumbe ni kubomoa zaidi.
 
Upo sahii mkuu. Ila acha tu watumie vile vifaa vya kutuliza gasia alivyonunua JK maana inaonekana wanahamu ya kuvitest kwenye miili ya watu.
 
UKUTA manake nini wajameni ??what is UKUTA ??. UKUTA inaweza kunitoa kiuchumi mahala nilipo kunipandisha juu zaidi. Itaweza kutusaidia kuongeza kitu kwenye kipato changu cha kila siku. UKUTA ni nini wajameni.
Itaweza kunifanya nijenge nyumba ili niondokane na biashara ya kupanga au itaniwezesha kununua kiwanja.?? Jamani UKUTA ni nini.??? Baada ya UKUTA nitaoweza kuona mabadiliko gani katika maisha yangu na familia yangu. Wajameni UKUTA ni nini? ?? Itaweza kufanya madawa yaongezeke mahospitalini au kuongeza madarasa ya kusomea ya wanafunzi nchi nzima. Wajameni UKUTA ni nini.?? Itaweza kuhakikisha madawati yanaongezeka watoto wetu wasikae chini mashuleni au itatuwezesha kupaa kwenda katika uchumi wa kati. ?? Wajameni nauliza? ?? Kama majibu ya msingi hakuna basi we Better shut up our mouth and do other things. Ndio maana mliambiwa malo.fa na wapumba.f. kwa sababu idea nzima inaonekana ni kutaka kupaisha umaarufu wa watu wachache na of course kuwanyooshea fursa ya kupata ufadhili kutoka kwa hao wanaojiita wafadhili baada ya kuridhika tumechomana mikuki vya kutosha
Jadili hoja acha kutuchanganya
 
Back
Top Bottom