Elections 2010 Magufuli CHATO na BULANDES Karagwe Chali!!!

Status
Not open for further replies.
Nadhani kwa CCM....hawa ndio politisaints bado...Magufuli,Tibaijuka na Pinda...tunawahitaji bungeni
 
maweeee.................ccm yafwa, peoples power no jokes
But gives figure nianze kunywa rubisi
 
Tatizo magufuli bungeni kawa hana meno ngoja wamkomeshe!!!!!!... tunataka watu ngangari kama Mwakyembe, Anne Kilango, Ole Sendeka nk
 
Wanyambo mmenipa raha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Hata Blandes amebwagwa!

Kweli mti wa mbuyu umetikiswa na upepo
 
Pombe ni pombe tu. Under the proper circumstances it evaporates. Huyu jamaa mjanja mjanja tu, mkandamizaji na mzulumaji mkubwa. Ni yeye ameanzisha utamaduni wa bomoa bomoa bila fidia na ndiye aliyefanyaa yale mazingaombwe ya kugeuza nyumba za serkali zikawa "nyumba zao!" Na wasomi wengine wakaona anavyofanya hivyo ni vizuri hadi wakamtunukia ile degree ya wakosefu (Honorary Degree)! Ni wazi kuwa Wananchi wa jimbo lake wanamfahamu vizuri zaidi na huenda ndiyo maana wameimwaga pombe chini, licha ya kujenga kanisa nyumbani kwao kwa hela yake mwenyewe - au labda kwa sababu hiyo!

Habari zaidi za Pombe hizi hapa:

Magufuli: Shujaa au Mjanja kama wengine? from the KLH News (Kijijini Leo Hii) podcast

John Pombe Magufuri ana Phd ya kusomea darasani si kama JK ya kupewa halafu anaipamba wakati hata Masters hana.
 
Kama ni kweli basi atakuwa ameponzwa na ujasiri wake wa kuchoma kokolo za wavuvi.
 
Mhh.. objection...Magufuli hawezi kung'oka kirahisi rahisi hivyo..dizaini ya kina magufuli ndo tunawahitaji!..
 
Kuweni makini wazee - people are just THINKING ALOUD an bila kujijua wanashtuka wameshapost kile wanachopenda kitokee.
 
Namuomba MODERATOR kiongozi anipe uMOD (na uwezo wa kufuta haraka) kwa leo tu nishughulike na upupu wowote wa aina hii
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom