mamabaraka
Member
- Oct 18, 2011
- 92
- 14
Inatia aibu kuona kipande kidogo sana kinachukua zaidi ya miaka mitano kujengwa na bila kumalizika. Unajua mi nashindwa kuelewa hao wakandalasi wanafanya kazi gani. WAZIRI Magufuli na Mbuge wa jimbo la Biharamulo Anthony Mbasa hamulioni hilo? Au mnafurahia wananchi wa B.mulo wanaotokea Kahama, Dar na mikoa mingine kuzunguka Bwanga bila sababu? Mheshimiwa Magufuli tunajua unalipendelea jimbo lako la Chato ndo maana barabara za kupitia Choto zilijengwa kwa less than two years kisingzio lami za majaribio, lakini kumbuka hii barabara ya Lusahunga Muleba inakutia aibu kama waziri wa ujenzi, umesahau kuwa hii barabara inaunganisha nchi za Uganda, Tanzania na Rwanda? Au ndo unataka kupindisha barabara hiyo iwe ya Chato? Tumestuka na sisi wana Biharamulo tumefumbuka macho sio wale wa enzi zile,.?