Magufuli, barabara ya Lusahunga - Muleba vipi?

mamabaraka

Member
Oct 18, 2011
92
14
Inatia aibu kuona kipande kidogo sana kinachukua zaidi ya miaka mitano kujengwa na bila kumalizika. Unajua mi nashindwa kuelewa hao wakandalasi wanafanya kazi gani. WAZIRI Magufuli na Mbuge wa jimbo la Biharamulo Anthony Mbasa hamulioni hilo? Au mnafurahia wananchi wa B.mulo wanaotokea Kahama, Dar na mikoa mingine kuzunguka Bwanga bila sababu? Mheshimiwa Magufuli tunajua unalipendelea jimbo lako la Chato ndo maana barabara za kupitia Choto zilijengwa kwa less than two years kisingzio lami za majaribio, lakini kumbuka hii barabara ya Lusahunga Muleba inakutia aibu kama waziri wa ujenzi, umesahau kuwa hii barabara inaunganisha nchi za Uganda, Tanzania na Rwanda? Au ndo unataka kupindisha barabara hiyo iwe ya Chato? Tumestuka na sisi wana Biharamulo tumefumbuka macho sio wale wa enzi zile,.?
 
Inatia aibu kuona kipande kidogo sana kinachukua zaidi ya miaka mitano kujengwa na bila kumalizika. Unajua mi nashindwa kuelewa hao wakandalasi wanafanya kazi gani. WAZIRI Magufuli na Mbuge wa jimbo la Biharamulo Anthony Mbasa hamulioni hilo? Au mnafurahia wananchi wa B.mulo wanaotokea Kahama, Dar na mikoa mingine kuzunguka Bwanga bila sababu? Mheshimiwa Magufuli tunajua unalipendelea jimbo lako la Chato ndo maana barabara za kupitia Choto zilijengwa kwa less than two years kisingzio lami za majaribio, lakini kumbuka hii barabara ya Lusahunga Muleba inakutia aibu kama waziri wa ujenzi, umesahau kuwa hii barabara inaunganisha nchi za Uganda, Tanzania na Rwanda? Au ndo unataka kupindisha barabara hiyo iwe ya Chato? Tumestuka na sisi wana Biharamulo tumefumbuka macho sio wale wa enzi zile,.?


Hivi ni mreba au muleba?

 
Dah, hv hii barabara bdo haijajengwa tu?nakumbka ilianza kujengwa bdo nikingali nasoma pale katoke seminary.magufuri atakua na matatizo na jimbo lenu si bure kabisa.
 
Back
Top Bottom