Kun Jr JF-Expert Member Joined May 29, 2013 Posts 700 Reaction score 363 Oct 19, 2015 #81 Gambas said: nitumie nami mkuu +19093597598 Click to expand... download Kun Jr said: download https://mmf.cdn.whatsapp.net/d/Kxnh...cZJ_ILAeq3oVdL5n-XTg-6HCuXIF6mwV4oMU0ZWXG.mp4 Click to expand... teh teh nimekusoma mtumiaji wa vovox
Gambas said: nitumie nami mkuu +19093597598 Click to expand... download Kun Jr said: download https://mmf.cdn.whatsapp.net/d/Kxnh...cZJ_ILAeq3oVdL5n-XTg-6HCuXIF6mwV4oMU0ZWXG.mp4 Click to expand... teh teh nimekusoma mtumiaji wa vovox
M Mogwa JF-Expert Member Joined Jul 12, 2015 Posts 302 Reaction score 18 Oct 19, 2015 #82 Namie nitumi vidéo kwenye hiyo no.0757469345
S Scarlet Senior Member Joined Mar 28, 2014 Posts 116 Reaction score 44 Oct 19, 2015 #83 Huyo ndiye Magufuli, kwa kulazimisha mambo hajambo. Pamoja na zomea zomea, mwisho wa siku alisalimu amri. Kwani umma ukiamua umeamua, halali mtu hadi kieleweke. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Huyo ndiye Magufuli, kwa kulazimisha mambo hajambo. Pamoja na zomea zomea, mwisho wa siku alisalimu amri. Kwani umma ukiamua umeamua, halali mtu hadi kieleweke.
Bavaria JF-Expert Member Joined Jun 14, 2011 Posts 53,092 Reaction score 53,568 Oct 19, 2015 #84 Wale watu walio kwenye ule mkutano usikute ametoka nao mkoa wa pwani.
A al4nce JF-Expert Member Joined Apr 1, 2012 Posts 397 Reaction score 102 Oct 19, 2015 #85 Hata siku tukimuapisha mtamzomea hivyo hivyo.......viroba na desperation hazipigi kura.
kamtesh JF-Expert Member Joined Jul 26, 2014 Posts 1,395 Reaction score 514 Oct 19, 2015 #86 al4nce said: Hata siku tukimuapisha mtamzomea hivyo hivyo.......viroba na desperation hazipigi kura. Click to expand... Kubalini hali yenu nimbaya
al4nce said: Hata siku tukimuapisha mtamzomea hivyo hivyo.......viroba na desperation hazipigi kura. Click to expand... Kubalini hali yenu nimbaya
O omusimba JF-Expert Member Joined Jul 25, 2012 Posts 310 Reaction score 78 Oct 19, 2015 #87 Jamani ukawa wenzangu Hapo ni Kimanzichana Msililizeni Makomeo anasema " ndg zangu wa Kimanzichana" #Mabadiliko ni Lazima
Jamani ukawa wenzangu Hapo ni Kimanzichana Msililizeni Makomeo anasema " ndg zangu wa Kimanzichana" #Mabadiliko ni Lazima
A Akilinzangu Senior Member Joined Aug 15, 2015 Posts 133 Reaction score 22 Oct 19, 2015 #88 Huwezi lazimisha watu kiongozo wasie mtaka
S Silentobserver007 Member Joined Jun 26, 2015 Posts 69 Reaction score 30 Oct 19, 2015 #89 Naona mwanza waliamua kwenda kumzomea kwa wingi jana. Nahisi hawa jamaa walijaa mpaka kwenye milima kule na kwenye maji wangesimama wangekuwa na uwezo. Attachments 1445217080305.jpg 113.9 KB · Views: 295
Naona mwanza waliamua kwenda kumzomea kwa wingi jana. Nahisi hawa jamaa walijaa mpaka kwenye milima kule na kwenye maji wangesimama wangekuwa na uwezo.
P pacoma JF-Expert Member Joined Apr 6, 2014 Posts 650 Reaction score 415 Oct 19, 2015 #90 0755477149
technically JF-Expert Member Joined Jul 3, 2016 Posts 13,563 Reaction score 57,888 Oct 16, 2016 #91 Haaaaah wakuu sasa hivi huu ni uchochezi