Magufuli atuma salamu kwa Kikwete na CCM

mkuu kwenye wekundu hapo ni kweli maneno yhayo yametamkwa na ndg. Idd azzan au unamuwekea maneno kinywani?
hii ameitengeneza yeye, labda angesema kuwa jk anadhalaulika na watumishi wa serikali!
 
Unajua akuna siasa mbaya kama za utapeli rais kikwete amekuwa akidanganya wananchi
sasa naona kunamengine anadanganya akijua yuko vijijini kumbe yuko mjini na watu wanamsubir
ahadi zake

kwa mnaokumbuka kuna upuuzi mmoja amechukua kiwanja cha jangwani nampaka leo hii ajabomoa
kama agizo la rais kikwete lakini mpaaka leo hii amekuwa kimya akipita juu angani kama anatafuta
sayari nyingine ..kwa upande wa magufuli pamoja na mapungufu yake jamani huyu bana akikomaa
sijui huko kwake mkewe anaisikiliziaje amri zake..akisema kesho siuitaji huu ukuta wanabomoa usiku
sasa nimeka nikajiuliza kuna haja ganai ya kuwa na rais hewa asiesikilizwa ama anashiriki kwenye
huo mgao wa jangwani anajifanya kutufanya wapumbavu watanzania

tanzania tuamke ni wakati wa kurudisha mali zetu zote walioiba huku mjini kumejaa watu wa nchi mbalimbali
wamekalia magorofa ambayo mimi na wewe tulipaswa kuyapangisha lakini kwa kuwa wana hela ya kuhonga
nhc leo hii mi na wewe tunaishi buza na bonyokwa

watanzania tuamke
 
hii ameitengeneza yeye, labda angesema kuwa jk anadhalaulika na watumishi wa serikali!
hata kama hajasema maneno hayo moja kwa moja lakini halii inavyojionyesha ni kuwa jamaa ni lege lege ..kwa nini kauli zake hazifanyiwi kazi?
 
hata kama hajasema maneno hayo moja kwa moja lakini halii inavyojionyesha ni kuwa jamaa ni lege lege ..kwa nini kauli zake hazifanyiwi kazi?

Mkuu huyu Idd Azzan ni miongoni mwa watu waliokuwa wakilalamika kwamba kuna mtu amejinyakulia kiwanja jangwani kumbe ni kituo cha mradi wa mabasi yaendayo kasi. Idd Azzan ana maslahi na kiwanja hicho kwa kuwa team ya Villa Squad ambayo Idd ana maslahi ndani yake ilikuwa ikitumia sehemu hiyo kufanya mazoezi!
 

Hawa hawanijui ngoja..........anafikiri nji hii ni yake peke yake............


Hivi keshaacha UBABE ama waliamua kumwachia JUMBA BOVU.....
 

Huyu jamaa namkubali sana.
Ndo waziri pekee aliyekwisha onyesha msimamo wa waziwazi dhidi ya rais na waziri mkuu katika kusimamia sheria na yale anayoyaamini.
Wengine wametusainisha mikataba mibovu kwa hofu ya simu za "mamlaka ya juu".

Msimamo wake dhidi ya jengo la Tanesco dhidi ya bomoa bomoa ya kimara pia ni ya kupigiwa mfano. Hakumung'unya maneno wala nini.

CCM huko waliko wanamwogopa huyu bwana kuliko wanavyoigopa Ukawa.

Kama kuna mtu mwenye uthubutu wa kuipindua system na wale mabilionea wanaoishikilia ni huyu jamaa.

Uthubutu wake na msimamo ni wa hatari. Alimshikia bango Bakhresa wakati ule dah...
Hakuna cha boss, tajiri, mwana ccm, ukawa...akikunyooshea rula kanyoosha.

Kwa hilo nampa pongezi.
Lowassa hana rekodi ya ujasiri, uthubutu na maamuzi magumu kama huyu bwana. Kumpinga rais na waziri mkuu hadharani inataka ubavu wa hatari.
 

daaah..!!mungu amsaidie ashike hii nchi
 
namsikitikia sana kwa kuwa nia anayo lakini uwezo wa kiutekelezaji hataupata maana hataweza kuufumua mfumo wa kulindana ambao umeota mizizi ndani ya ccm.amuulize kikwete kwa nini alishindwa kutimiza kwa vitendo kauli yake ya "urais wangu hauna ubia na mtu".na mwenyekiti wa chama chake si atakuwa huyu huyu? masikini john pombe magufuli! pooole!
 
Eti jamaa anasema jamaa anamsimamo sasa angetoa mabango barabaran leo picha zake za kugombea kaziweka wapi??
 

Kwa huyu jamaa lazima wataisoma number.
 
yani anauza nyumba za serikali alaf nyumba2 anampa girfriend wake? Leo hii tumpe ikulu c atatumaliza huyu'
 
yani anauza nyumba za serikali alaf nyumba2 anampa girfriend wake? Leo hii tumpe ikulu c atatumaliza huyu'

Hizo nyumba Lowasa na Sumaye wamejigawia nyingi, waambie waongelee hoja hiyo ya kurudisha nyumba majukwaani uone watakwambia nini! by the way Jambo hilo liliridhiwa na baraza la mawaziri na Hao mafisadi walikuwamo na mmoja alikuwa waziri mkuu! acha kuropoka usichojua utawaaibisha akina Lowasa na Sumaye.
 

Na huyu ndie Rais wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…