Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
hii ameitengeneza yeye, labda angesema kuwa jk anadhalaulika na watumishi wa serikali!mkuu kwenye wekundu hapo ni kweli maneno yhayo yametamkwa na ndg. Idd azzan au unamuwekea maneno kinywani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii ameitengeneza yeye, labda angesema kuwa jk anadhalaulika na watumishi wa serikali!mkuu kwenye wekundu hapo ni kweli maneno yhayo yametamkwa na ndg. Idd azzan au unamuwekea maneno kinywani?
hata kama hajasema maneno hayo moja kwa moja lakini halii inavyojionyesha ni kuwa jamaa ni lege lege ..kwa nini kauli zake hazifanyiwi kazi?hii ameitengeneza yeye, labda angesema kuwa jk anadhalaulika na watumishi wa serikali!
hata kama hajasema maneno hayo moja kwa moja lakini halii inavyojionyesha ni kuwa jamaa ni lege lege ..kwa nini kauli zake hazifanyiwi kazi?
KAULI ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, kuwa kwa vyovyote iwavyo lazima abomoe mabango yote ya biashara barabarani akisema kuwa hakuna wa kumzuia kuyaondoa kwa kuwa anatekeleza sheria za nchi, imetuma ujumbe mzito kwa wakubwa wake wa kazi.
Miongoni mwa viongozi walioguswa na kauli hiyo ya Magufuli ni Rais Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ambao kwa wakati tofauti walimkemea waziri huyo, wakimzuia kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria, kwa masilahi ya kisiasa.
Alipomtembelea wizarani kwake wiki chache zilizopita, Rais Kikwete alimwambia Magufuli, acha ubabe. Kabla ya hapo, Pinda alimfokeza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Chato, linalowakilishwa na Magufuli, akimtaka asitishe bomoabomoa mara moja.
Hata juzi wakati akifungua semina elekezi mjini Dodoma, Rais Kikwete alikemea tabia ya ubabe wa mawaziri na kauli za kupingana wenyewe kwa wenyewe kupitia kwenye vyombo vya habari.
Lakini katika wiki hii pekee, Magufuli ametoa kauli zinazoonyesha hayuko tayari kusitisha ubabe wake wala bomoabomoa, kazi ambayo amekuwa akiifanya kwa kuzingatia sheria zilizopo.
Source: Tanzania Daima
Hawa hawanijui ngoja..........anafikiri nji hii ni yake peke yake............
Mheshimiwa Magufuli, wenzako wanazingatia maslahi binafsi katika utendaji wao, ambapo wewe unaangalia maslahi ya taifa na vizazi vijavyo, na hivyo usishangae unapopingwa hadharani. Ukweli wako na uwazi wako unaogopwa nao kwa ndio maana hawakuiti ofisini mkaongea yaishe walivyozoea, we kaza kamba, hadi kieleweke. Umeona mwenzako Tibaigana alivyoburuzwa kutetea haki, na sasa naona kishafyata mkia maana sioni tena cheche zile. We usikubali, kaza kamba hadi kieleweke.
Tunaujua utendaji wako na moyo wako wa kujenga taifa, usisite milango iko wazi kupokewa na wapinzako kwa vile unaakisi kila wetu tunaotea. Miaka miwili ijayo tutakuwa na hadithi zaidi za kusimuliana.
Huyu jamaa namkubali sana.
Ndo waziri pekee aliyekwisha onyesha msimamo wa waziwazi dhidi ya rais na waziri mkuu katika kusimamia sheria na yale anayoyaamini.
Wengine wametusainisha mikataba mibovu kwa hofu ya simu za "mamlaka ya juu".
Msimamo wake dhidi ya jengo la Tanesco dhidi ya bomoa bomoa ya kimara pia ni ya kupigiwa mfano. Hakumung'unya maneno wala nini.
CCM huko waliko wanamwogopa huyu bwana kuliko wanavyoigopa Ukawa.
Kama kuna mtu mwenye uthubutu wa kuipindua system na wale mabilionea wanaoishikilia ni huyu jamaa.
Uthubutu wake na msimamo ni wa hatari. Alimshikia bango Bakhresa wakati ule dah...
Hakuna cha boss, tajiri, mwana ccm, ukawa...akikunyooshea rula kanyoosha.
Kwa hilo nampa pongezi.
Lowassa hana rekodi ya ujasiri, uthubutu na maamuzi magumu kama huyu bwana. Kumpinga rais na waziri mkuu hadharani inataka ubavu wa hatari.
daaah..!!mungu amsaidie ashike hii nchi
daaah..!!mungu amsaidie ashike hii nchi
Eti jamaa anasema jamaa anamsimamo sasa angetoa mabango barabaran leo picha zake za kugombea kaziweka wapi??
anatoa amri zinazomrudia mwenyewe.mbma haongelei "samaki wa magufuli?"
KAULI ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, kuwa kwa vyovyote iwavyo lazima abomoe mabango yote ya biashara barabarani akisema kuwa hakuna wa kumzuia kuyaondoa kwa kuwa anatekeleza sheria za nchi, imetuma ujumbe mzito kwa wakubwa wake wa kazi.
Miongoni mwa viongozi walioguswa na kauli hiyo ya Magufuli ni Rais Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ambao kwa wakati tofauti walimkemea waziri huyo, wakimzuia kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria, kwa masilahi ya kisiasa.
Alipomtembelea wizarani kwake wiki chache zilizopita, Rais Kikwete alimwambia Magufuli, acha ubabe. Kabla ya hapo, Pinda alimfokeza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Chato, linalowakilishwa na Magufuli, akimtaka asitishe bomoabomoa mara moja.
Hata juzi wakati akifungua semina elekezi mjini Dodoma, Rais Kikwete alikemea tabia ya ubabe wa mawaziri na kauli za kupingana wenyewe kwa wenyewe kupitia kwenye vyombo vya habari.
Lakini katika wiki hii pekee, Magufuli ametoa kauli zinazoonyesha hayuko tayari kusitisha ubabe wake wala bomoabomoa, kazi ambayo amekuwa akiifanya kwa kuzingatia sheria zilizopo.
Source: Tanzania Daima
yani anauza nyumba za serikali alaf nyumba2 anampa girfriend wake? Leo hii tumpe ikulu c atatumaliza huyu'
KAULI ya Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, kuwa kwa vyovyote iwavyo lazima abomoe mabango yote ya biashara barabarani akisema kuwa hakuna wa kumzuia kuyaondoa kwa kuwa anatekeleza sheria za nchi, imetuma ujumbe mzito kwa wakubwa wake wa kazi.
Miongoni mwa viongozi walioguswa na kauli hiyo ya Magufuli ni Rais Jakaya Kikwete na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, ambao kwa wakati tofauti walimkemea waziri huyo, wakimzuia kutekeleza majukumu yake kwa mujibu wa sheria, kwa masilahi ya kisiasa.
Alipomtembelea wizarani kwake wiki chache zilizopita, Rais Kikwete alimwambia Magufuli, acha ubabe. Kabla ya hapo, Pinda alimfokeza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Jimbo la Chato, linalowakilishwa na Magufuli, akimtaka asitishe bomoabomoa mara moja.
Hata juzi wakati akifungua semina elekezi mjini Dodoma, Rais Kikwete alikemea tabia ya ubabe wa mawaziri na kauli za kupingana wenyewe kwa wenyewe kupitia kwenye vyombo vya habari.
Lakini katika wiki hii pekee, Magufuli ametoa kauli zinazoonyesha hayuko tayari kusitisha ubabe wake wala bomoabomoa, kazi ambayo amekuwa akiifanya kwa kuzingatia sheria zilizopo.
Source: Tanzania Daima