Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,007
- 9,873
DKT. MAGUFULI AMSIFIA UTENDAJI WA ANNA MGHWIRA
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM ambaye pia ni Rais wa Tanzania amesifu utendaji wa Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira
Dkt. Magufuli amesema Mama Anna Mghwira alikuwa mgombea Urais wa upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 lakini alifanya siasa safi kwa kunadi sera za chama alichokuwa bila kutukana mtu, hali iliyopelekea kumteua kuwa Mkuu wa Mkoa
Amesema tangu amemteua kuwa Mkuu wa Mkoa, Anna Mghwira amekuwa mmoja kati ya wakuu wa mikoa wanaofanya kazi vizuri
Aidha amesisitiza kuna maisha baada ya Uchaguzi hivyo hakuna haja ya kuwa na matusi kwa vyama vingine kwa kipindi hiki cha kampeni
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM ambaye pia ni Rais wa Tanzania amesifu utendaji wa Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Anna Mghwira
Dkt. Magufuli amesema Mama Anna Mghwira alikuwa mgombea Urais wa upinzani katika Uchaguzi Mkuu wa 2015 lakini alifanya siasa safi kwa kunadi sera za chama alichokuwa bila kutukana mtu, hali iliyopelekea kumteua kuwa Mkuu wa Mkoa
Amesema tangu amemteua kuwa Mkuu wa Mkoa, Anna Mghwira amekuwa mmoja kati ya wakuu wa mikoa wanaofanya kazi vizuri
Aidha amesisitiza kuna maisha baada ya Uchaguzi hivyo hakuna haja ya kuwa na matusi kwa vyama vingine kwa kipindi hiki cha kampeni