MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,415
- 4,881
Leo Jumamosi, Rais Dr. Magufuli akutana na Makatibu Wakuu wote wa Serikali.
Huu ni Mkutano Maalum.
makatibu wakuu waliochuguliwa na JK hawambii kitu. Kwani baraza lake la mawaziri lina wizara ngapi hadi sasa?