DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Ndo kawaida yake. Umemsahau nini?
Tulishazoea hivi vikao vya chai..wenzake walivifanya vingi tu.
Ndo kawaida yake. Umemsahau nini?
UKAWA maswali yenu ya ajabu jibu ni hili rais mpya alipoapishwa baraza la mawaziri la Kikwete nalo lilimaliza muda wake.
wanaposema kuvunjwa kwa baraza la mawaziri usifikiri wanavunja kwa kutumia nyundo.
Ndo kawaida yake. Umemsahau nini?
Acha hizo,twataka point c ushabikiKasi ya huyu jamaa inatisha.
Hiyo HAPA KAZI TU inatekelezwaje kama haukutani na watendaji kazi wako wakuu? Acheni chuki!
Kwani hao makatibu wakuu wapo mpaka lini? Au hao wa awamu ya 4 ndio haohao wataendelea? kama sivyo......
Kwani hao makatibu wakuu wapo mpaka lini? Au hao wa awamu ya 4 ndio haohao wataendelea? kama sivyo......
Hivi baraza la mawaziri lilishavunjwa?
Nikikuambia unieleze "mfumo" ni nini yawezekana hata usiweze kuniambia. Acheni chuki binafsi, msaidieni ili afanye kazi yake kwa mafanikio.
ingekua mm ningeanza na kushughulikia Zanzibar ili seif apewe haki yake mapema
Ana kasi ya ajabu!
Saaafi. . . . .
Kwani AG ni cheo cha kisiasa?makatibu sio viongozi wa kisiasa ni watumishi wa serikali kwahiyo ajira zao hazikomi baada ya miaka mitano
Ana kasi ya ajabu!
Khaa!!! Kwa mujibu wa katiba yetu kama JK hakulivunja basi JPM inabidi aendelee nalo tu. Hana namna nyingine