Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,760
Namshangaa sana Raisi mteule wa Tanganyika (Zanzibar uchaguzi umefutwa)anapowambia wananchi kuwa sasa anaona zile ahadi zake ni nyingi sana na kuzitekeleza itakuwa mtihani ,hivyo anaomba wananchi wote bila ya kujali itikadi zao wamuombee ili azikamilishe.
Nimefurahi kuona Magufuli ameshinda ili nione ni kwa jinsi gani atakamilisha ahadi lukuki vinginevyo wale waliompa kura milioni sita baada ya miaka mitano nao wataelewa kuwa ndani ya CCM huwezi kufanya kitu. :hand:
Nimefurahi kuona Magufuli ameshinda ili nione ni kwa jinsi gani atakamilisha ahadi lukuki vinginevyo wale waliompa kura milioni sita baada ya miaka mitano nao wataelewa kuwa ndani ya CCM huwezi kufanya kitu. :hand: