Magufuli anga'ra urais 2015

Magufuli anga'ra urais 2015

B.G TANTAWI

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2013
Posts
496
Reaction score
379
Taarifa za uhakika kabisa kutoka kwa viongozi wa ngazi za juu wa CCM zinatanabaisha kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa aliunda kamati ya siri ya kutafuta maoni ya wananchi juu ya nani anayetajwa-tajwa na kukubalika kwa wananchi, Taarifa zinasema ingawa kamati hiyo bado haijamaliza kazi yake lakini jina la JONH POMBE MAGUFULI limeonekana likikubalika sana miongoni mwa wananchi, Jina la Lowassa linafuatia kwa mbali huku jina la Samweli Sita likiwa nyuma ya Lowasa lakini kwa mbali sana.

source: mimi mwenyewe nilikuwepo
.
 
dikteta atagombea tanganyika au jamhuri?ingawa ndio mfumo unaofaa kuleta maendeleo africa!
 
Hayo ni mapendekezo ya chama na mwenyekiti wao. Je? wananchi nao wataamua ni nani anawafaa,,, hiyo tusubri 2015
 
cha msingi msije mkaanza kuwekeana Pollonium kwa sababu ya Urais
 
babayako; Juzi si umetoka kumsifia Lowassa au umenunuliwa tena ili uhamie kambi ya Magufuli?
 
Last edited by a moderator:
babayako; Juzi si umetoka kumsifia Lowassa au umenunuliwa tena ili uhamie kambi ya Magufuli?
Siyo kila mtendaji mzuri anaweza kuwa mwanasiasa bora. Magufuli ni mtendaji na siyo mwanasiasa. Ni bora tungempa mkataba wa kujenda barabara zetu, kwa kuwa ameonekana anaweza. tumpe wa miaka 10 tu then tuone.
 
Taarifa za uhakika kabisa kutoka kwa viongozi wa ngazi za juu wa CCM zinatanabaisha kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa aliunda kamati ya siri ya kutafuta maoni ya wananchi juu ya nani anayetajwa-tajwa na kukubalika kwa wananchi, Taarifa zinasema ingawa kamati hiyo bado haijamaliza kazi yake lakini jina la JONH POMBE MAGUFULI limeonekana likikubalika sana miongoni mwa wananchi, Jina la Lowassa linafuatia kwa mbali huku jina la Samweli Sita likiwa nyuma ya Lowasa lakini kwa mbali sana.

source: mimi mwenyewe nilikuwepo
.

huyu dicteta, mbaguzi na mbinafsi kamwe hawezi kuwa raisi wa nchi hii ana laana ya wananchi wa jimbo la Biharamulo kwa kuwachakachuwa haki zao za kupata barabara ya lami na kuipindisha kwenda kupitia kwao chato
 
Taarifa za uhakika kabisa kutoka kwa viongozi wa ngazi za juu wa CCM zinatanabaisha kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa aliunda kamati ya siri ya kutafuta maoni ya wananchi juu ya nani anayetajwa-tajwa na kukubalika kwa wananchi, Taarifa zinasema ingawa kamati hiyo bado haijamaliza kazi yake lakini jina la JONH POMBE MAGUFULI limeonekana likikubalika sana miongoni mwa wananchi, Jina la Lowassa linafuatia kwa mbali huku jina la Samweli Sita likiwa nyuma ya Lowasa lakini kwa mbali sana.

source: mimi mwenyewe nilikuwepo
.



Kabla hajafikiria kuchukua form ya kugombea nafasi ya U Rais, kwanza ajitakase kwa watanzania kwa kurudisha nyumba za serikali zilizotokana na kodi ya wananchi, walizogawana kama njugu, na yeye akawagawia hata mahawara zake.
Ndani ya CCM hakuna muadilifu na hicho ndiyo kiama kikubwa kisichokuwa na suluhisho, kila mmja ni mdau mkubwa ktk rushwa na ufisadi.
 
Taarifa za uhakika kabisa kutoka kwa viongozi wa ngazi za juu wa CCM zinatanabaisha kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa aliunda kamati ya siri ya kutafuta maoni ya wananchi juu ya nani anayetajwa-tajwa na kukubalika kwa wananchi, Taarifa zinasema ingawa kamati hiyo bado haijamaliza kazi yake lakini jina la JONH POMBE MAGUFULI limeonekana likikubalika sana miongoni mwa wananchi, Jina la Lowassa linafuatia kwa mbali huku jina la Samweli Sita likiwa nyuma ya Lowasa lakini kwa mbali sana.

source: mimi mwenyewe nilikuwepo
.

Mimi naona wewe mleta mada unaota matokeo ya uchaguzi wa juzi huko ARUSHA, kwani hiyo ndoto yako ya Arinacha ni tamu kweriiiii...mimi naona bwana POMBE MAGUNIA ameng'ara kwenye kata za arusha juzi,. kwani huko ni kuweweseka kwa magamba.
 
Magufuli hawezi kupewa nchi yetu..bado anamadhambi mengi sana ukilinganisha na wengine...ila kuliko Membe bora Magufuli..
 
Taarifa za uhakika kabisa kutoka kwa viongozi wa ngazi za juu wa CCM zinatanabaisha kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa aliunda kamati ya siri ya kutafuta maoni ya wananchi juu ya nani anayetajwa-tajwa na kukubalika kwa wananchi, Taarifa zinasema ingawa kamati hiyo bado haijamaliza kazi yake lakini jina la JONH POMBE MAGUFULI limeonekana likikubalika sana miongoni mwa wananchi, Jina la Lowassa linafuatia kwa mbali huku jina la Samweli Sita likiwa nyuma ya Lowasa lakini kwa mbali sana.

source: mimi mwenyewe nilikuwepo
.

Nakubaliana na wewe hata mimi nilidokezwa na rafiki yangu:

http://m.youtube.com/watch?v=rDWmqKh8NB4&feature=youtu.be&desktop_uri=%2Fwatch%3Fv%3DrDWmqKh8NB4%26feature%3Dyoutu.be
 
Alaaaaaaaaaaaaaaah kumbe jf kuna ma infomres wa uhakika!
 
Back
Top Bottom