Magufuli anatutoa kwenye dhuluma, utapeli na wizi kutupeleka kwenye usawa na kuheshimiana

mgt software

JF-Expert Member
Nov 1, 2010
13,767
7,115
Wana JF,

Kwenye mwanga usilete giza, hata kama ukinuna mashavu yakaota sugu lakini kusema ukweli, Rais Magufuri ni Nyota ingaayo kwa mbali kwani mwanga wake unaweza usione kama unakusaidia usiku wa giza totolo. Mheshimiwa Rais tangia aingie madarakani nchi imebadilika sana, ameweza kututoa kwenye dhuruma, utapeli na wizi, ngoja nifafanue kwa yale niliyoyaweka kwenye kichwa cha habari.

DHURUMA
Rais wetu alikuta watu wengi wananyasika kwa kudhurumiwa mali kama mashamba, nyumba hata fedha. Aina ya dhuruma alizozikuta ni kunyanganywa mali kwa wajane, kurudisha mashamba kwa wanakijiji yaliyotolewa kwa majanja na wakayatumia kukopea wakati hawayaendelezi. Kurudisha viwanda vilivyotelekezwa n.k

UTAPELI.
katika awamu zote , utapeli ulikuwa umetamalaki kila kona, kuna aina nyingi za utapeli, kuna utapeli wa madini, mashamba, magari, fedha. Katika kundi la utapeli wa madini kundi la akina Ndama ambalo linapendelea kukaa viti virefu maeneo ya Ambrosia, The billionear club , kundi hili lilikubuhu kutapeli wazungu, watu binafsi, vile vile kwa upande wa nyumba, lakini leo hii wengi wao wanaishi kwa duku duku milija yote imekatwa kwani madini yoote yatakuwa yanaratibiwa na benk kuu.

WIZI
Hili lilikuwa lishakuwa jambo la kawaida kwa kuwa baadhi ya waliopewa dhamana walikuwa wanawalinda sana majambazi ya kwenye mabenki, taasisi za fedha, tangu aingie madarakani kesi za ujambazi wa kuvamia benki zimeisha, Wezi wa kutumia pikipiki wamepungua. Vibaka ambao wengi walipatikana vituo vya mabasi wamepungua.

USAWA NA HAKI
Awamu zilizopita huko maofisini, ulikuwa ukienda mkurugenzi anakuangalia kama kinyago, unaweza kusoteshwa muda mrefu ukifatilia kitu wakati kitu hicho ni cha kumalizwa dakika kumi. Tumeona kunyoosha kwa wahudumua wa kada mbalimbali kama mahospitali, Jeshi la polisi bandarini, machimbo ya Madini.

Kwa nini hapendi siasa, Rais yeye ni mwanasayansi mbobezi kwani alishaona kuwa siasa ni mchezo mchafu ambao una ulaghai ndani yake, tumeshuhudia wanasiasa wengi wakibadilika kama shale wa saa. Angalia kinachoendelea baada ya Zitto kubadilika, angalia Mbowe alivyomkaribisha Lowasa, angalia Mwapachu malamiko yake alipokuwa anarudi CCM, angalia njaa ya Mpendazoe mzee wa kuhama vyama CCK, CCJ CDM CCM maneno yake ya sasa.
Angalia mwenendo wa Nape baada ya kutoka kwenye gamu. hapo ndipo utajua kuwa maana ya siasa ni si-asaaa. yaani sio kitu cha ukweli.
 
Wana JF,

Kwenye mwanga usilete giza, hata kama ukinuna mashavu yakaota sugu lakini kusema ukweli, Rais Magufuri ni Nyota ingaayo kwa mbali kwani mwanga wake unaweza usione kama unakusaidia usiku wa giza totolo. Mheshimiwa Rais tangia aingie madarakani nchi imebadilika sana, ameweza kututoa kwenye dhuruma, utapeli na wizi, ngoja nifafanue kwa yale niliyoyaweka kwenye kichwa cha habari.

DHURUMA
Rais wetu alikuta watu wengi wananyasika kwa kudhurumiwa mali kama mashamba, nyumba hata fedha. Aina ya dhuruma alizozikuta ni kunyanganywa mali kwa wajane, kurudisha mashamba kwa wanakijiji yaliyotolewa kwa majanja na wakayatumia kukopea wakati hawayaendelezi. Kurudisha viwanda vilivyotelekezwa n.k

UTAPELI.
katika awamu zote , utapeli ulikuwa umetamalaki kila kona, kuna aina nyingi za utapeli, kuna utapeli wa madini, mashamba, magari, fedha. Katika kundi la utapeli wa madini kundi la akina Ndama ambalo linapendelea kukaa viti virefu maeneo ya Ambrosia, The billionear club , kundi hili lilikubuhu kutapeli wazungu, watu binafsi, vile vile kwa upande wa nyumba, lakini leo hii wengi wao wanaishi kwa duku duku milija yote imekatwa kwani madini yoote yatakuwa yanaratibiwa na benk kuu.

WIZI
Hili lilikuwa lishakuwa jambo la kawaida kwa kuwa baadhi ya waliopewa dhamana walikuwa wanawalinda sana majambazi ya kwenye mabenki, taasisi za fedha, tangu aingie madarakani kesi za ujambazi wa kuvamia benki zimeisha, Wezi wa kutumia pikipiki wamepungua. Vibaka ambao wengi walipatikana vituo vya mabasi wamepungua.

USAWA NA HAKI
Awamu zilizopita huko maofisini, ulikuwa ukienda mkurugenzi anakuangalia kama kinyago, unaweza kusoteshwa muda mrefu ukifatilia kitu wakati kitu hicho ni cha kumalizwa dakika kumi. Tumeona kunyoosha kwa wahudumua wa kada mbalimbali kama mahospitali, Jeshi la polisi bandarini, machimbo ya Madini.

Kwa nini hapendi siasa, Rais yeye ni mwanasayansi mbobezi kwani alishaona kuwa siasa ni mchezo mchafu ambao una ulaghai ndani yake, tumeshuhudia wanasiasa wengi wakibadilika kama shale wa saa. Angalia kinachoendelea baada ya Zitto kubadilika, angalia Mbowe alivyomkaribisha Lowasa, angalia Mwapachu malamiko yake alipokuwa anarudi CCM, angalia njaa ya Mpendazoe mzee wa kuhama vyama CCK, CCJ CDM CCM maneno yake ya sasa.
Angalia mwenendo wa Nape baada ya kutoka kwenye gamu. hapo ndipo utajua kuwa maana ya siasa ni si-asaaa. yaani sio kitu cha ukweli.
Mi huwa napata shida sana na nyie mnaokuja huku kuanzisha hizi nyuzi bila kuwa na hoja,nadhani hii ni Kampeni ya Watu flani na inazidi kushika chati,kosa ni moja tu kwenye hayo mafunzo mnayopewa tatizo huwa hampewi fact za kuja kusifia huu utawala wa awamu ya tano.

Unapotuambia dhuluma imepungua ni kwa kiasi gani?Matukio ya Utapeli kabla yalikuwa kwa ukubwa upi na sasa yamepungu kwa ukubwa upi?

Any way tunaposifia lakini tukumbuke kuja na mambo ya Msingi ambayo yanatugusa moja kwa moja wananchi wa Kawaida na kutoa majibu yanayoonekana au kupimika.

Ili tusifie utawala wowote ni lazima tuongelee maendeleo ya nchi na Wananchi,kubwa tuongelee maendeleo ya Wananchi,hayo mengine tutakuja kuendelea baada ya kushiba.

Tuliowengi tutapenda kujua gharama za kutibu Malaria zimepungua kwa kiasi gani kwa Mwananchi wa kawaida?Hali ya Upatikanaji wa dawa ipoje na ilikuwaje kabla.

Kilimo,Je kuna chochote kilichoongezeka kwa Mkulima,mazingira?Sera?ikizingatiwa kilio cha wakulima wengi na cha Muda mrefu ni gharama kubwa za Pembejeo,Masoko na sasa hali ya hewa kutokana na Upungufu wa Mvua.

Hii ya kupunguza kodi/ruzuku ni matokeo tu,ni bora kutoza kodi lakini tukalima kwa gharama nafuu.

Hali ya Elimu ipoje n.k?Mikopo kwa Wanafunzi wetu wa Vyuo Vikuu?

Ajira?

Kwa Watumishi wa Umma kuna maboresho gani yaliyofanyika?

Tunaacha ya Msingi tunapambana na na yasiyo kuwa ya msingi.

Na ndio mana hata mnaokuja huku mnaishia kuongea Vitu vyepesi vyepesi tu na juu juu?

Zinanunuliwa ndege,sisi ndege zina faida gani kwetu kwa sasa?Sisi tuna njaa.

Hizi bilioni za manunuzi ya ndege since 2015 zingeingizwa kwenye kilimo na kujenga muundombinu leo hii tungekuwa wapi?

Mkija huku kwenye mitandao na kutaka kusifia sifia tu muwe mnajipanga.

Sent Using Sumsung S6 Edge
 
kwanza tunatanguliza AMANI UPENDO na USAWA hayo uliyoyasema yatakuja nchi ikitulia , uwezi kuyafanya haya kama kuna dhuruma, wizi utapeli na kutoheshimiana, hivi ni vikiisha ndipo tunaenda kwenye maendeleo pasipo shaka
 
Mi huwa napata shida sana na nyie mnaokuja huku kuanzisha hizi nyuzi bila kuwa na hoja,nadhani hii ni Kampeni ya Watu flani na inazidi kushika chati,kosa ni moja tu kwenye hayo mafunzo mnayopewa tatizo huwa hampewi fact za kuja kusifia huu utawala wa awamu ya tano.

Unapotuambia dhuluma imepungua ni kwa kiasi gani?Matukio ya Utapeli kabla yalikuwa kwa ukubwa upi na sasa yamepungu kwa ukubwa upi?

Any way tunaposifia lakini tukumbuke kuja na mambo ya Msingi ambayo yanatugusa moja kwa moja wananchi wa Kawaida na kutoa majibu yanayoonekana au kupimika.

Ili tusifie utawala wowote ni lazima tuongelee maendeleo ya nchi na Wananchi,kubwa tuongelee maendeleo ya Wananchi,hayo mengine tutakuja kuendelea baada ya kushiba.

Tuliowengi tutapenda kujua gharama za kutibu Malaria zimepungua kwa kiasi gani kwa Mwananchi wa kawaida?Hali ya Upatikanaji wa dawa ipoje na ilikuwaje kabla.

Kilimo,Je kuna chochote kilichoongezeka kwa Mkulima,mazingira?Sera?ikizingatiwa kilio cha wakulima wengi na cha Muda mrefu ni gharama kubwa za Pembejeo,Masoko na sasa hali ya hewa kutokana na Upungufu wa Mvua.

Hii ya kupunguza kodi/ruzuku ni matokeo tu,ni bora kutoza kodi lakini tukalima kwa gharama nafuu.

Hali ya Elimu ipoje n.k?Mikopo kwa Wanafunzi wetu wa Vyuo Vikuu?

Ajira?

Kwa Watumishi wa Umma kuna maboresho gani yaliyofanyika?

Tunaacha ya Msingi tunapambana na na yasiyo kuwa ya msingi.

Na ndio mana hata mnaokuja huku mnaishia kuongea Vitu vyepesi vyepesi tu na juu juu?

Zinanunuliwa ndege,sisi ndege zina faida gani kwetu kwa sasa?Sisi tuna njaa.

Hizi bilioni za manunuzi ya ndege since 2015 zingeingizwa kwenye kilimo na kujenga muundombinu leo hii tungekuwa wapi?

Mkija huku kwenye mitandao na kutaka kusifia sifia tu muwe mnajipanga.

Sent Using Sumsung S6 Edge
Wewe nadhani aidha ni mwathirika wa vyeti feki au mwajiriwa feki au mwanafunzi feki , au shamba boy wa Rugemalila au teja au kuadi wa Sethi au Manji ,
 
Wana JF,

Kwenye mwanga usilete giza, hata kama ukinuna mashavu yakaota sugu lakini kusema ukweli, Rais Magufuri ni Nyota ingaayo kwa mbali kwani mwanga wake unaweza usione kama unakusaidia usiku wa giza totolo. Mheshimiwa Rais tangia aingie madarakani nchi imebadilika sana, ameweza kututoa kwenye dhuruma, utapeli na wizi, ngoja nifafanue kwa yale niliyoyaweka kwenye kichwa cha habari.

DHURUMA
Rais wetu alikuta watu wengi wananyasika kwa kudhurumiwa mali kama mashamba, nyumba hata fedha. Aina ya dhuruma alizozikuta ni kunyanganywa mali kwa wajane, kurudisha mashamba kwa wanakijiji yaliyotolewa kwa majanja na wakayatumia kukopea wakati hawayaendelezi. Kurudisha viwanda vilivyotelekezwa n.k

UTAPELI.
katika awamu zote , utapeli ulikuwa umetamalaki kila kona, kuna aina nyingi za utapeli, kuna utapeli wa madini, mashamba, magari, fedha. Katika kundi la utapeli wa madini kundi la akina Ndama ambalo linapendelea kukaa viti virefu maeneo ya Ambrosia, The billionear club , kundi hili lilikubuhu kutapeli wazungu, watu binafsi, vile vile kwa upande wa nyumba, lakini leo hii wengi wao wanaishi kwa duku duku milija yote imekatwa kwani madini yoote yatakuwa yanaratibiwa na benk kuu.

WIZI
Hili lilikuwa lishakuwa jambo la kawaida kwa kuwa baadhi ya waliopewa dhamana walikuwa wanawalinda sana majambazi ya kwenye mabenki, taasisi za fedha, tangu aingie madarakani kesi za ujambazi wa kuvamia benki zimeisha, Wezi wa kutumia pikipiki wamepungua. Vibaka ambao wengi walipatikana vituo vya mabasi wamepungua.

USAWA NA HAKI
Awamu zilizopita huko maofisini, ulikuwa ukienda mkurugenzi anakuangalia kama kinyago, unaweza kusoteshwa muda mrefu ukifatilia kitu wakati kitu hicho ni cha kumalizwa dakika kumi. Tumeona kunyoosha kwa wahudumua wa kada mbalimbali kama mahospitali, Jeshi la polisi bandarini, machimbo ya Madini.

Kwa nini hapendi siasa, Rais yeye ni mwanasayansi mbobezi kwani alishaona kuwa siasa ni mchezo mchafu ambao una ulaghai ndani yake, tumeshuhudia wanasiasa wengi wakibadilika kama shale wa saa. Angalia kinachoendelea baada ya Zitto kubadilika, angalia Mbowe alivyomkaribisha Lowasa, angalia Mwapachu malamiko yake alipokuwa anarudi CCM, angalia njaa ya Mpendazoe mzee wa kuhama vyama CCK, CCJ CDM CCM maneno yake ya sasa.
Angalia mwenendo wa Nape baada ya kutoka kwenye gamu. hapo ndipo utajua kuwa maana ya siasa ni si-asaaa. yaani sio kitu cha ukweli.
Nakuunga mkono sana mkuu. Sasa hawa WACHAGGA ooooooh sorry hawa CHADEMA hawalioni hili. Labda kwa kuwa wao walikuwa sehemu ya wizi huo......

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani mpaka madiwani wa Chadema wanaona mbali 2020, wanaachia ngazi kuja CCM
 
Teh teh teh
Huo unga wa ndere mnaolishwa mnafanana na kuku aliyekatwa kichwa. Kama yakutoa uzi tafakari kwanza
usifikiri wote humu hawajaenda shule.
Huwa nawaambia ccm muwe makini sana mnapotaka kuongea na watu
 
Mi huwa napata shida sana na nyie mnaokuja huku kuanzisha hizi nyuzi bila kuwa na hoja,nadhani hii ni Kampeni ya Watu flani na inazidi kushika chati,kosa ni moja tu kwenye hayo mafunzo mnayopewa tatizo huwa hampewi fact za kuja kusifia huu utawala wa awamu ya tano.

Unapotuambia dhuluma imepungua ni kwa kiasi gani?Matukio ya Utapeli kabla yalikuwa kwa ukubwa upi na sasa yamepungu kwa ukubwa upi?

Any way tunaposifia lakini tukumbuke kuja na mambo ya Msingi ambayo yanatugusa moja kwa moja wananchi wa Kawaida na kutoa majibu yanayoonekana au kupimika.

Ili tusifie utawala wowote ni lazima tuongelee maendeleo ya nchi na Wananchi,kubwa tuongelee maendeleo ya Wananchi,hayo mengine tutakuja kuendelea baada ya kushiba.

Tuliowengi tutapenda kujua gharama za kutibu Malaria zimepungua kwa kiasi gani kwa Mwananchi wa kawaida?Hali ya Upatikanaji wa dawa ipoje na ilikuwaje kabla.

Kilimo,Je kuna chochote kilichoongezeka kwa Mkulima,mazingira?Sera?ikizingatiwa kilio cha wakulima wengi na cha Muda mrefu ni gharama kubwa za Pembejeo,Masoko na sasa hali ya hewa kutokana na Upungufu wa Mvua.

Hii ya kupunguza kodi/ruzuku ni matokeo tu,ni bora kutoza kodi lakini tukalima kwa gharama nafuu.

Hali ya Elimu ipoje n.k?Mikopo kwa Wanafunzi wetu wa Vyuo Vikuu?

Ajira?

Kwa Watumishi wa Umma kuna maboresho gani yaliyofanyika?

Tunaacha ya Msingi tunapambana na na yasiyo kuwa ya msingi.

Na ndio mana hata mnaokuja huku mnaishia kuongea Vitu vyepesi vyepesi tu na juu juu?

Zinanunuliwa ndege,sisi ndege zina faida gani kwetu kwa sasa?Sisi tuna njaa.

Hizi bilioni za manunuzi ya ndege since 2015 zingeingizwa kwenye kilimo na kujenga muundombinu leo hii tungekuwa wapi?

Mkija huku kwenye mitandao na kutaka kusifia sifia tu muwe mnajipanga.

Sent Using Sumsung S6 Edge
Maendeleo unayodai huoni hayawez kufikiwa kwny jamii inayoish katkat ya wizi, utapeli, dhuluma, uvivu nk na hayo ndio Rais ameyaondoa..sasa km maendeleo kwako unatak uletewe trekta mlangon..subiri itakuja, oga vzr lala subiri vyote ulivyotaja vitakuja vyenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanza tunatanguliza AMANI UPENDO na USAWA hayo uliyoyasema yatakuja nchi ikitulia , uwezi kuyafanya haya kama kuna dhuruma, wizi utapeli na kutoheshimiana, hivi ni vikiisha ndipo tunaenda kwenye maendeleo pasipo shaka

Amani,Upendo na Usawa unaozungumzia haupo.Hao wanyonge ndiyo wanaobomolewa nyumba zao kwa sababu walipigia upinzani na ili kupunguza basi kisingizio ni miundombinu.

Hivi walipopewa viwanja hivyo hiyo serikali nilikuwa haijui??

Unapoongelea Usawa,Upendo na Amani hivi hawa wapinzani kwanini wakitaka kufanya mikutano hao hata ya ndani wanswekwa rumande??Leo Geita kuna vijana 51 waliopewa dhamana na Mahakama lakini kwa sababu ya chuki,visasi,na ubaguzi vijana hawa wako rumane km 100 toka Geita yaani wamewekwa rumande Kagera na Mahakama haina hata njia ya kukemea vijana hawa wakawekwa guru bila kwa sababu ya chuki,visasi na ubaguzi halafu unakuja kuelezea upumbavu wenu ati Amani na Upendo,hivi JPM.anajua maana ya amani,Usawa na Upendo??

Unawafilisi matajiri kosa waliwapa upinzani pesa halafu inaanzisha Uzi ati wanyonge, mwambieni awe baba wa familia zenu basi kama mnampenda sana
 
Back
Top Bottom