Magufuli anasalitiwa

Magufuli alikuwa na baadhi ya mapungufu kama binadamu wengine. Kwa muono wangu, huyu alipaswa kurekebisha mapungufu ya Magufuli na kuendeleza mengine yote kwani anasimamia ilani ileile.

Juzijuzi hapa kuna kauli ya kutisha imetolewa kuwa ikibidi sheria zipindishwe ili kuwavuta waporaji wanaoitwa wawekezaji.

Where this nation is headed to, only God knows. Nchi inapoteza dira ndani ya muda mfupi sana.
 
Kama walikuwa wana Mapinduzi ya kweli, na wanaonewa basi dhamira y kweli itainuka tena hata baada ya kizazi chao, na kwa kuwa ule mfumo wa kitanzania wa kuvumilia ya waliopita na mapungufu yao nao unaelekea ktik nyumba ya milele, na kuingia kizazi cha kuhoji yaliyopita, japo waliong'oa Meno ya Ulimboka hawatafutwi , aliompoteza ghafla pale kizota hawaulizwi. Basi watakaokuja nao walikula na wanaoshangilia sasa hata kam sio wao kizazi chao.

Hizi ibada tunazofanya ni za nini ikiwa kusamehe ni bidhaa adimu?

Maana imeandikwa
"Kisasi ni chake Bwana atalipa"
 
Utawala wa damu, ambao haukuwa na baraka za Muumba!! mwisho wake ndiyo huwa hivi.
Na bado...mtatajana wote!! Tumeanza na huyo mtoboa watu misumari kwenye miguu..bado yule serial killer na yeye ataingia tu kwa 18 za Jamhuri...damu ya mtu huwa haimwagiki bure - never..hii siyo mimi bali ni sheria katika ulimwengu wa roho.
 
Nahuzunika sana kuona ndoto za Mwanamapinduzi wa kweli, JPM zinafifishwa siku hadi siku.
Lakini ninachofurahi ni kwamba, Damu ya Mwanamapinduzi huwa haipotei bure.
Si mbali si siku nyingi watapatikana wanamapinduzi wengi na wenye moyo mmoja na ujasiri usiomithilika. Hao ndio watakaoipambania Tanzania na kutimiza ndoto za Mwanamapinduzi, JPM.
Mungu mkubwa.
 
Kudadadeeki lazima mtaota vibiyongo safari hii maana mama Samia hana muda mchafu wa kusikiliza majungu yenu na kumramba miguu.
 
Mtalia sana nyinyi MATAGA
 
Punguani mkubwa, kama sabaya alikua bwanako kamtoe rumande jambawazi mkubwa yule

Sent from my SM-G973U using JamiiForums mobile app
 
Umesahau kuwa ndege wa rangi moja huruka pamoja?
 
Ni mtazamo tu ila hata wakiweka mabarabara ya lami kulikobakia na kujenga Airport kila kona bado ni nchi moja inajengwa
 
Who is magufuli in our life.
Usilete old story hapa.
 
Watajitahidi kumfubaza Magufuli, lakini nakuhakikkshia ukifika uchaguzi watalazimika kujinasibisha na Magufuli. Hii ni kwa sababu wapiga Kura wa kweli ni wananchi wa kawaida ambao wanampenda. propaganda na harakati za mitandaoni zilizotekwa na kakikundi kadogo hazitapiga kura
 
Mzee amelala mwacheni Apumzike hayo mambo Yenu pambanieni kwenye jamii zenu bila kumhusisha mzee Huyu
 
Subiri wakifikishwa mahakamani ukawatolee utetezi wa kimapinduzi. Hizo hela umekula za kuwasafirisha hao madhalimu ni bora urudishe, maana unakula haramu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…