Alisema serikali ya Magufuli na siyo ya CCM itahakikisha inashirikana na Watanzania katika kuongoza nchi
Nimesoma ilani ya CHADEMA na kuona mambo yote anayojaribu kuyafanya mgufuli mpaka sasa yapo kwenye ilani ya CHADEMA ya 2015-2020 na wala sijayaona kwenye ilani yake CCM.
View attachment 305632
Safi sana, halafu mseme hamsikilizwi.
Nampongeza magufuli kwamba anafanya jambo lililo jema hata kama ni la upinzani, yes tunataka kiongozi kama huyo asiye na makundi kikubwa ni kujenga taifa kwa ushirikiano
Nenda mahakamani kushitaki na sio kutupotezea muda hapa.Nimesoma ilani ya CHADEMA na kuona mambo yote anayojaribu kuyafanya Magufuli mpaka sasa yapo kwenye ilani ya CHADEMA ya 2015-2020 na wala sijayaona kwenye ilani yake CCM.
View attachment 305632