Magufuli ana akili kuhusu Ajira, cheki hapa

Mada iko poa, tatizo lugha tu ukifanyia editing au ukutana na mzee kifimbo chezaaa
Akiri= Akili
Apa= Hapa
Apo= Hapo
Adi= Hadi
Aya= Haya
 
Mm naona kwanza magu angeanza kujua nn chanzo cha kutokea kwa wafanyakazi hewa,hii timua timua haitosaidia kitu.
 
Hivi kiswahili ni lugha yako kweli! Mbona hatuna apo badala yake tuna hapo, adi apo ni hadi hapo. Inawezekana walimu wenu wa lugha hii nzuri wana vyeti vya kughushi. Mimi huchefuliwa sana na maandishi kama hayo hata kama mada ni nzuri huwa imepungua ladha.
 
Na kwa miaka hiyo mitatu watastaafu wangapi? Watakufa wangapi? Watapata ugonjwa au vilema vya kushindwa kulinda ajira zao wangapi? na.............wangapi? na.......... wangapi? na..........wangapi? Dunia haisimami, inasonga mbele.
Akiri ni nywere
 
Na kwa miaka hiyo mitatu watastaafu wangapi? Watakufa wangapi? Watapata ugonjwa au vilema vya kushindwa kulinda ajira zao wangapi? na.............wangapi? na.......... wangapi? na..........wangapi? Dunia haisimami, inasonga mbele.

tunaongelea ajira zitakazotengenezwa tokana na mishahara hewa na vyeti feki tu, na sio kwa sababu nyinginezo
 
amechafuta wafanyakazi hewa takribani=12,000.(zoezi LA uhakiki linaendelea idadi inaweza kufika 20,000)
Kwenye zoezi LA vyeti feki piga ,ua ataondoka na vichwa vya watumishi si chini ya=100,000
Sasa twende kwenye hesabu.
20,000+100,000=120,000.
Apo tayari ametengeneza ajira mpya 120,000.
Baada ya muda matangazo kwenye magazeti.
1.serikali yatangaza nafasi 50,000 mpya za ajira. 2016/2017.

2. 2017/2018/= nafasi mpya 40,000
3.2018/2019,,,nafasi mpya 30,000.
50,000+40,000+30,000=120,000.
Wanaondoka watumishi takribani120,000 feki,,ajira mpya 120,000 zinatengenezwa kwa ndani ya miaka3 ijayo...adi apo equation itakuwa imbalance,,duh ama kweli jpm uliitendea haki chemistry akiwa shule.
Aya kazi kwenu wazee wa vyeti feki...
Ndugu siamini kama hizo ajira zitapatikana kwa idadi hiyo uliyoiweka kwa sababu kuna nusu ya vyeo inaaminika vinafutwa eti havina tija kwani kazi ya kufanywa na mtu mmoja zinafanywa na watu zaid ya mmoja mfano kama kuna afisa elimu wawili sekondari na msingi basi atatakiwa kuwepo mmoja. Inamaana kama kitendo cha kufuta na kubadili miundo ya serikali kutatengeneza ukosefu wa ajira pia kama ulivyojionea wizara zilivyounganishwa badala ya kuwa na kuwa wizara mbili au tatu aliziunganisha na kuwa moja hivyo hapo tu makatibu na wengineo walifutwa. umefanya vizuri kijifariji kwa hoja hiyo uliyosema lakini kuna possibility ndogo sana ya wewe kuwepo ndani ya ajira mpya, chamsingi lifanye wazo lako kama la ziada tu na jielekeze kwenye mambo mengine ili uwe kama wakina mengi na bakhresa.
 
amechafuta wafanyakazi hewa takribani=12,000.(zoezi LA uhakiki linaendelea idadi inaweza kufika 20,000)
Kwenye zoezi LA vyeti feki piga ,ua ataondoka na vichwa vya watumishi si chini ya=100,000
Sasa twende kwenye hesabu.
20,000+100,000=120,000.
Apo tayari ametengeneza ajira mpya 120,000.
Baada ya muda matangazo kwenye magazeti.
1.serikali yatangaza nafasi 50,000 mpya za ajira. 2016/2017.

2. 2017/2018/= nafasi mpya 40,000
3.2018/2019,,,nafasi mpya 30,000.
50,000+40,000+30,000=120,000.
Wanaondoka watumishi takribani120,000 feki,,ajira mpya 120,000 zinatengenezwa kwa ndani ya miaka3 ijayo...adi apo equation itakuwa imbalance,,duh ama kweli jpm uliitendea haki chemistry akiwa shule.
Aya kazi kwenu wazee wa vyeti feki...
Watu wenye roho ya korosho uwaombea wenzao mabaya
 
Kuna hesabu nyingine naona nakiweka.

Serikali ya Tanzania imeahirishwa watu wangapi?

Inatumia kiasi gani kuwalipia mshahara kwa mwaka?

Je kwa nini haitaki kuweka invest kwenye e-goverment?
 
Back
Top Bottom