Magufuli amtia presha Lowassa

Magufuli amtia presha Lowassa

JPM AMTIA PRESHA ENL:
Habari za ndani zinasema kuwa mgombea wa Ukawa amekuwa na tabiaa ya presha kupanda na kushuka kila mara kisa kikitonywa kuwa ni Magufuli,unaambiwa jamaa usingizi wake ni wa tabu kwa kumuwaza jamaa kwa kigezo kuwa jamaa ni muadilifu,mfatiliaji,mtekelezaji na muaminifu na hivyo kuhofu kuwa wananchi walio wengi na wana misimamo watamchagua
Kupata kichekesho kingine kama hiki,tuma neno kichekesho kwenda namba 1331
 
Hofu inazidi kumtanda Makufuri, kwan Edo akiingia madarakani lazima aeleze umma ufisadi alioufanya kwenye Ujenzi wa barabara kwa kuiba mita moja, si hilo tu hofu aliyonayo ni kurudishwa nyumba za serikali anahofu ya wale ndugu zake na demu wake kupokonywa nyumba walizojimilikishia kiujanja janja!

Msijipongeze kuna mengi tua ambayo Makufuri anawaza Na hapati jibu, ununuzi wa meli feki, hasara ya kukamata meli ya samaki kwa jeuri bila kufuata taratibu, yaani nyie acgeni Makufuri anashida kuliko mnavyosema! Time will tell subiri mtaona.

Absolutely! Ila one has to open-minded to see this! Wenye kufanya ushabiki wa chama hili hawataliona
 
Kwa kweli katika kipindi ambacho kimekuwa kigumu katika maisha ya Lowasa hakuna kama sasa: Bora hata alivyoenda "vitani" hakukutana na hali ngumu kama sasa, Nasikia hata kama anakula mtu akitamka tu "Magufuli" anasita kula kwa muda na kuangalia kulia na kushoto halafu ndio anaendelea kula. HAPA KAZI TU.

JENEZA LINALOTEMBEA = LOWASSA

CPe28QMXAAAFU4x.jpg




HALIWEZI KUSHINDANA NA MKAKAMAVU = MAGUFULI

CPfjeqeWEAAP0i9.jpg
 
haa haa eti maghufuli ni muadilifu duh... tunaomba rais yeyote akiingia madarakani aanze kuwasgughulikia wale waliouza nyumba za umma kwa bei ya kutupa nanyingine kuwagawia nyumba ndogo zao...
 
Kwa kweli Magufuli amefanya mengi mazuri, hata wakazi wa Dsm na Bagamoyo wanalifahamu hili. Meli ya kisasa kabisa ya gharama kubwa aliyotuletea haijawahi kutokea sehemu yoyote Duniani.
Kikubwa kabisa inafanya kazi saa 24 x 7.
 

Attachments

  • 1443919049666.jpg
    1443919049666.jpg
    21.6 KB · Views: 88
JPM AMTIA PRESHA ENL:
Habari za ndani zinasema kuwa mgombea wa Ukawa amekuwa na tabiaa ya presha kupanda na kushuka kila mara kisa kikitonywa kuwa ni Magufuli,unaambiwa jamaa usingizi wake ni wa tabu kwa kumuwaza jamaa kwa kigezo kuwa jamaa ni muadilifu,mfatiliaji,mtekelezaji na muaminifu na hivyo kuhofu kuwa wananchi walio wengi na wana misimamo watamchagua

Aisee, wewe lazima ni mganga wa kienyeji au una utaalamu wa kipekee! Hizo habari za ndani zinazoeleza kuwa Mgombea wa UKAWA halali kama hukuzipata kwa Regina basi ni za kutunga. Hizi habari ulizosema hapa anayeweza kuzijua ni mtu anayeshiriki naye kitanda kimoja na huyo ni mke wake. Kama wewe umezipata kwingine basi unatumia jini! Unasema presha inapanda na kushuka kwani imekuwa PUSH-UPS ?!?!
 
JPM AMTIA PRESHA ENL:
Habari za ndani zinasema kuwa mgombea wa Ukawa amekuwa na tabiaa ya presha kupanda na kushuka kila mara kisa kikitonywa kuwa ni Magufuli,unaambiwa jamaa usingizi wake ni wa tabu kwa kumuwaza jamaa kwa kigezo kuwa jamaa ni muadilifu,mfatiliaji,mtekelezaji na muaminifu na hivyo kuhofu kuwa wananchi walio wengi na wana misimamo watamchagua

Ataisoma namba hapa tunaenda na Magufuri
 
Kwa kweli Magufuli amefanya mengi mazuri, hata wakazi wa Dsm na Bagamoyo wanalifahamu hili. Meli ya kisasa kabisa ya gharama kubwa aliyotuletea haijawahi kutokea sehemu yoyote Duniani.
Kikubwa kabisa inafanya kazi saa 24 x 7.

Tuache Uongo Jamani. FISADI LOWASSA Hawezi Kushinda Uchaguzi Kwa Kupakaza Uongo. MV Dar-es-salaam Ni Meli Mpya Kabisa na ya Kisasa. Soma Kwenye Kurasa za Walioijenga Hapa;


JTF-1.jpg


JTF-1a-.jpg



JTF-21.jpg


JTF-Gallary-1.jpg


JTF-Gallary-3.jpg


JTF-Gallary-6.jpg


JTF-Gallary-2.jpg


JTF-Gallary-7.jpg


JTF-Gallary-5.jpg
 
JPM AMTIA PRESHA ENL:
Habari za ndani zinasema kuwa mgombea wa Ukawa amekuwa na tabiaa ya presha kupanda na kushuka kila mara kisa kikitonywa kuwa ni Magufuli,unaambiwa jamaa usingizi wake ni wa tabu kwa kumuwaza jamaa kwa kigezo kuwa jamaa ni muadilifu,mfatiliaji,mtekelezaji na muaminifu na hivyo kuhofu kuwa wananchi walio wengi na wana misimamo watamchagua

Bwahahahahahahaha ccm mnajitekenya Kwa nguvu nyieeee R.I.P FICCM
 
MAMA MAGUFUL mpuuz sana kukubali MBUNYE isiyo tahiriwa,!,!!!!Watanzania tukatae uchafu huuuu
 
Kipindi nikiwa Mdogo nilikuwa natengeneza gari la udongo naendesha.

Mimi ndio nalisukuma
Natambaa Mimi
Kwenye maji nalibeba Mimi
Naunguruma na mdomo wangu

Hii yote ilikuwa kujaribu kuzifanya ndoto kuwa kweli.
 
Unafikiri asipopata uraisi atafanyeje wakati katoa hela nyingi si chadema,si kuchukua hela za wafanyabiashara ili aingie ikulu,lazima apagawe
 
Back
Top Bottom