JPM AMTIA PRESHA ENL:
Habari za ndani zinasema kuwa mgombea wa Ukawa amekuwa na tabiaa ya presha kupanda na kushuka kila mara kisa kikitonywa kuwa ni Magufuli,unaambiwa jamaa usingizi wake ni wa tabu kwa kumuwaza jamaa kwa kigezo kuwa jamaa ni muadilifu,mfatiliaji,mtekelezaji na muaminifu na hivyo kuhofu kuwa wananchi walio wengi na wana misimamo watamchagua
Habari za ndani zinasema kuwa mgombea wa Ukawa amekuwa na tabiaa ya presha kupanda na kushuka kila mara kisa kikitonywa kuwa ni Magufuli,unaambiwa jamaa usingizi wake ni wa tabu kwa kumuwaza jamaa kwa kigezo kuwa jamaa ni muadilifu,mfatiliaji,mtekelezaji na muaminifu na hivyo kuhofu kuwa wananchi walio wengi na wana misimamo watamchagua