BOMBAY
JF-Expert Member
- Apr 16, 2014
- 4,744
- 3,546
Nikweli mkuu lakini tuachane na ushabiki kwanza na badala yake tumtafakari vizuri huyu mtu HEBU SOMA KWANZA COMMENT YA UKUU@wikileksi halafu tumtafakari huyu mzee kwa kina!
Unashangaa msafara rasmi wa magufuri kuwa na magari 26 tu?! aise we hujui kinachoendelea... uliona msafara wa lowassa dar? Hayo kwanza tuachane nayo magari yalikuwa hayana idadi. Na jana pia alipokuwa anaenda msibani arusha alikuwa na magari 40 na pimipiki 400. Achana na lowassa wewe