Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

Anaeteua ndie anaetoa majukumu.
 
Mkuu wakina Kitwanga hao wanamuharibia nia yake ni njema kwa hili taifa washauri sasa na tunaambiwa ndio watu wa karibu kwake nafikiri kidogo kidogo anaanza pata uelewa Nina imani atakaa sawa isije ikawa shinikizo la LUGUMI inaweza rudi kwa JK.
 

Utasubiri uchunguzi huo mpaka 2018 viwanda tunavyoambiwa vitaanza kuzalisha sukari kwa wingi vitakapanza kuzalisha na hakuna mtu yeyote atakayepelekwa mahakamani!!

Hii ni administrative tactic tu ya serikali hii inayoongozwa na CCM kucheza na akili za watu kwa kuzua matukio kuficha aibu ya mfalme wao!!

Maamuzi mabovu ya kukurupuka ndiyo matokeo yake haya!!
 
Wewe mtoa hamjui JPM vizuri na pengine unadhani anatafutaga sifa ,ebu time mda zaidi.Fahamu kua kuna aliyoyafanya kwa kipindi cha miezi 6 alichokaa madarakani ambayo watangulizi wake wameshindwa kuyafanya kwa miaka 30.Ameonyesha uthubutu wa kipekee sana,tusimhukumu kwa ambayo hajayafanya kabla ya kuzingatia kwanza yale ambayo ameweza kuyafanya.
 
Uthubutu wa kutumbua vipele, wengi tu wanao. Watz wanaona kuliko unavyodhani. Yapo majipu makubwa kama ya rada, kagoda, meremeta, mabehewa, barabara mbovu, escrow etc wananchi wanasononeka, wahusika wanapeta. Anavyozidi kuyakwepa na mvuto hivyo hivyo unazidi kumkwepa. Hiyo lugha ya mpe muda nayo imeshachuja.
 
Kwani mda wake umeisha?Zingatia aliyofanya kwanza na kama unaona hayo aliyoyafanya ni sawa na kutumbua vipele naomba nikushauri usubiri hadi siku utakapokua na wadhifa kama wa JPM ili tukuone kasi yako vinginevyo tumpe mda zaidi kwakua sasa hivi ni mapema mno kuanza kumuona hafanyi Kazi.So far amejitahidikwa mtazamo wangu.
 
Pole sana kumbe no seriousness. Over and out.
 
Huo ni uamuzi uliopangiliwa kisayansi na si wa kukurupuka. Sijui wewe mshipa unakutoka kwa nini? Au ni kwa sababu hutumii akili zako kufikiri?
 
duh kazi kwelikweli. rais hajamaliza hata mwaka tayari unasema amechuja. tusipende kuendeshwa kwa matukio ndugu zangu watz. kuna mengi tu yanafanyika sio lazima kila jambo aje kutangaza kwenye vyombo vya habari.
 
Huo ni uamuzi uliopangiliwa kisayansi na si wa kukurupuka. Sijui wewe mshipa unakutoka kwa nini? Au ni kwa sababu hutumii akili zako kufikiri?

Hiyo sayansi ya miaka 50+ chini ya utawala wa CCM isiyo na majibu kwa ishu ya sukari tu basi tutahitaji sayansi ya miaka 1,000,000 kuja kutengeneza automobile brand ya Tanzania!!

Sijui umenielewa hapo au imedunda tu kama ilivyo kawaida yako?...Usijali mimi niko full unaweza kuendelea kujadiliana nami.

Nakupa guarantee kuwa, hiyo sumu uliyolishwa na CCM itakutoka tu na ufahamu wako utafunguka Msororo69!!
 
Huwezi kushinda uchaguzi katika uchaguzi ambao hauko huru na si wa haki. Hata kama chaguzi za Tanzania zingekuwa zinafanyika kila baada ya mwaka mmoja sahau kabisa kwa upinzani kuchukua madaraka kwa mazingira haya tuliyonayo ya katiba ya chama kimoja na tume fake ya uchaguzi ambayo haiko huru.

kabisa mkuu!

upinzani ndio ume to let down, it seems for 20 yrs they dont know how to win election..pity
 
Usivyo ifahamu nchi yako utafiriri mkimbizi wa kutoka kuzimu. Toka miaka ya sabini Tanzania inayo aina ya gari inayoitengeneza nayo ni NYUMBU inayotengenezwa na wnajeshi. Baadhi ya magari hayo yamewahi kuoneshwa hapo bungeni. Sijui ulikuwa umelazwa kwa tatizo la akili? au ndio umepevuka miaka miwili iliyopita na kukuta wenzio wakideki barabara baada ya zibguo la mahaba?
Pata hilo somo na uwajulishe wajinga wenzio kwani ndondondo si chururu mwishoe utajikuta unauelewa wa mtoto wa darasa la nne kutoka kwnye kiwango cha Ujinga na kwenye hamna.
 
Jana kaongeza kasi ya kuchuja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…